Papa Francis atetea watu wanaojihisisha na Mapenzi ya jinsia moja

Papa Francis atetea watu wanaojihisisha na Mapenzi ya jinsia moja

unajua kilichowapa sodoma na gomora?
Hahahahahaaaaaaaaa

Kuna jamaa mmoja hapo juu anasema kama Mungu anawachukia mashoga kwanini amewaacha hataki kuwaangamiza!

It makes sense to me as well.

Mungu awaangamize basi hao mashoga kama kweli anawachukia kwa dhati.

Akishindwa kuwaangamiza tuhitimishe kwamba aidha anawapenda au hana uwezo wa kuwaangamiza.

Na kama hana uwezo wa kuwaangamiza, basi biblia nzima imejaa maneno ya ulaghai na udanganyifu.

Tuliaminishwa mungu ni muweza wa yote, lakini kumbe hawezi kitu.

If the latter is not true, then God loves homosexuals.

Tuchagua moja kati ya hayo!

Ama mungu ni dhaifu, ama anawapenda mashoga.
 
Unajibu maswali yangu kishabiki pasipo mantic yoyote na hili linathibitishwa na aya yako ya Mwisho.
Mantiki ya maelezo fulani huwa unayapima kwa mizani gani ?

Maana usiwe unatumia tamko "Mantiki" halafu hujui mipaka yake.

Kadhalika si "Mantic" bali sahihi ni "Mantiki" kwa Kiswahili cha kutoholewa au "Mantiq" kwa asili ya utamkwaji toka katika Kiarabu.
 
Unajua kilichowapata sodoma na gomora?
Ndugu swali langu kwako ni moja tu,kama Mashoga ni wabaya sana si Mungu apambane nao wakati au muda atakao yeye?Yaani Mungu amemuumba binadamu halafu anashindwa kumwadhibu?Kama mashoga ni watu wabaya sana basi Mungu awaadhibu.Unataka kuwa na kiherehere cha kutaka kulaumu na kuadhibu Mashoga kwani umeumba binadamu?Kwa nini usiachie alieumba binadamu awaadhibu mwenyewe pale wanapokosea?!
 
Unajua kilichowapata sodoma na gomora?

Ndugu kama Sodoma na gomora ilikuwa ni adhabu ya Allah kwa Mashoga kwa nini sasa hivi tunaweweseka na kuhaha juu ya mashoga badala ya kumwachia Allah atimize wajibu wake tena wa kuwaletea tena gomora na sodoma nyingine mashoga wa kileo?
 
Naona unaanza kuelewa maneno. Alkah hashindwi ndiyo maana ameweka kila kitu mahala pake. Angetaka angefanya ila sababu yeye ni mjuzi wa yote na wala si kigeu geu. Maana sababu mna hila waja wake angekuwa anabadilika badilika mngesema Allah ni kigeu geu. Yeye mwenyewe amsehasema ya kuwa wala hamkuti katika taratibu zake ni zenye kubadilika

Naendelea kusisitiza ya kuwa, jaribu kuuliza maswali magumu yenye tija, ila maswali unayo uliza ni mepesi na ya kijinga.

Angefanya unavyotaka wewe, mngesema Allah hajatupa uhuru, lakimi ametupa uhuru wa kuamua tunachotaka.

Ona upendo wa Allah ulivyo timilifu hapa unamsema vibaya na kuhoji upuuzi lakin, anakupa rizki na anakupa uhai. Hapa utaona ya kuwa wewe ni mgonjwa wa akili na unamkana usie mjua.

Maradhi huwa ni kengele ya kukukumbusha wapi ulipokosea na urejee katika usahihi bali ufanye toba kabisa. Maradhi kama mtihani huwa ni sababu ya kufutiwa madhambi yako. Kwahiyo maradhi huwa yanakuja na faida zake.

Kwahiyo tunaona kabisa ya kuwa Upendo wa Allah kwa waje nitimilifu.

Labda nikuulize swali rahis unajuaje kama jambo fulani halipo ? Maana hitimisho lako limejengeka katika kutokumjua Allah. Sasa turudi katika uhalisia.

Unajinasibu kuwa Maradhi huwa ni kengele ya kukukumbusha wapi nilipokosea na nirejee katika usahihi,kwani huyu Allah tunaehubiriwa kuwa ana upendo wote na nguvu zote ameshindwa kuniepusha kufanya makosa?Huyu huyu Allah tunaehubiriwa kuwa ana upendo mwingi sana kwa nini tena anipe mitihani tena mitihani migumu na ya kuudhi?Haya yote yanathibitisha kuwa Allah huyu hayupo bali ni hadithi na porojo za wanadamu tu
 
Usije ukaomba adhabu ya sodoma na gomora ikaja maana haichagui nani ni nani.
Labda nikufahamishe kitu.
Katika kila Zama kulikuwa na mitume wake na manabii wake.
Kuna Zama walikuwa wakifanya makosa Wana adhibiwa kwa kuangamizwa wote na wanakuja watu wengine.
Nafikir Zama za mtume Muhammad tuna bahati ya kutoadhibiwa kwa makosa yetu Kama watu wa zamani.
Ila haimaanishi kuwa Mungu anapenda tunayoyafanya..
Mashoga wanapatana adhabu hapa duniani na wakifa watapata adhabu zaidi.
Labda Kama watatubia wakiwa hai
Ndugu kama Sodoma na gomora ilikuwa ni adhabu ya Allah kwa Mashoga kwa nini sasa hivi tunaweweseka na kuhaha juu ya mashoga badala ya kumwachia Allah atimize wajibu wake tena wa kuwaletea tena gomora na sodoma nyingine mashoga wa kileo?
 
Naona unaanza kuelewa maneno. Alkah hashindwi ndiyo maana ameweka kila kitu mahala pake. Angetaka angefanya ila sababu yeye ni mjuzi wa yote na wala si kigeu geu. Maana sababu mna hila waja wake angekuwa anabadilika badilika mngesema Allah ni kigeu geu. Yeye mwenyewe amsehasema ya kuwa wala hamkuti katika taratibu zake ni zenye kubadilika

Naendelea kusisitiza ya kuwa, jaribu kuuliza maswali magumu yenye tija, ila maswali unayo uliza ni mepesi na ya kijinga.

Angefanya unavyotaka wewe, mngesema Allah hajatupa uhuru, lakimi ametupa uhuru wa kuamua tunachotaka.

Ona upendo wa Allah ulivyo timilifu hapa unamsema vibaya na kuhoji upuuzi lakin, anakupa rizki na anakupa uhai. Hapa utaona ya kuwa wewe ni mgonjwa wa akili na unamkana usie mjua.

Maradhi huwa ni kengele ya kukukumbusha wapi ulipokosea na urejee katika usahihi bali ufanye toba kabisa. Maradhi kama mtihani huwa ni sababu ya kufutiwa madhambi yako. Kwahiyo maradhi huwa yanakuja na faida zake.

Kwahiyo tunaona kabisa ya kuwa Upendo wa Allah kwa waje nitimilifu.

Labda nikuulize swali rahis unajuaje kama jambo fulani halipo ? Maana hitimisho lako limejengeka katika kutokumjua Allah. Sasa turudi katika uhalisia.

Mungu mwenye upendo wote pamoja na uwezo wote inawezekana vipi aumbe waja wenye hila?Mungu huyo mwenye uwezo wote,upendo wote pamoja na nguvu zote ameshindwaje kuumba waja wasio na hila?
 
Usije ukaomba adhabu ya sodoma na gomora ikaja maana haichagui nani ni nani.
Labda nikufahamishe kitu.
Katika kila Zama kulikuwa na mitume wake na manabii wake.
Kuna Zama walikuwa wakifanya makosa Wana adhibiwa kwa kuangamizwa wote na wanakuja watu wengine.
Nafikir Zama za mtume Muhammad tuna bahati ya kutoadhibiwa kwa makosa yetu Kama watu wa zamani.
Ila haimaanishi kuwa Mungu anapenda tunayoyafanya..
Mashoga wanapatana adhabu hapa duniani na wakifa watapata adhabu zaidi.
Labda Kama watatubia wakiwa hai
Kwa nini unakua na kiherehere cha ku-address watenda dhambi wakati Mungu alieumba binadamu hao yupo?Unafikiri kuwa Mungu anaweza akaumba binadamu halafu binadamu huyo huyo atende dhambi halafu Mungu ashindwe kujua cha kumfanya binadamu huyo mpaka wewe ndiyo uchukue majukumu ya Mungu ya kuzungumzia adhabu za watenda dhambi?
 
Hatimaye Papa Francis akubali kubariki ndoa za jinsia moja, kwa kudai mashoga nawo ni watoto wa Mungu na hakuna sababu ya kuwabagua.

Je, makanisa Katoliki Afrika, Asia, Mexico, Brazil na kwingineko watakubaliana na uamuzi huu? Tukumbuke kwenye biblia haisomeka ndoa za jinsia moja au za ushoga kukubalika, na kusomeka kwenye hichi kitabu kitakatifu kuwa sodom na gomorrah kuchomwa moto.

Je, ndiyo mwanzo wa kanisa katoliki kuvunjika au imani zao ndiyo zitazidi?
Karibuni.

=======

Papa Francis ameviunga mkono vikundi vya harakati vinavyotetea ndoa za jinsia moja akiwa Mjini Roma wakati wa Maazimisho ya uzinduzi wa filamu iliyoitwa Fransisco.

Aidha, katika kuelezea jambo hili Papa Fransis amesema "Mashoga (Wapenzi wa jinsia Moja) wana haki ya kuwa katika familia. Wao ni watoto wa Mungu. Hakuna mtu anayepaswa kuwabagua au kufadhaishwa juu yao. "

Aliongeza kuwa wakati alipokuwa Askofu Mkuu wa Buenos Aires alipinga sheria ya kuidhinisha ndoa za jinsia moja lakini aliunga mkono aina fulani ya ulinzi wa kisheria kwa haki za wenzi wa jinsia moja.

Zaidi Soma:
Pope Francis has endorsed same-sex civil unions, saying in a documentary that homosexual people are 'children of God' and that they 'have the right to be in a family'.

His approval came midway through a feature-length film, titled Francesco, which had its premiere at the Rome Film Festival earlier today.

The film delves into issues Francis cares about most, including the environment, poverty, migration, racial and income inequality, and the people most affected by discrimination.

'Homosexual people have the right to be in a family. They are children of God. Nobody should be thrown out or be made miserable over it,' the 83-year-old said in one of his sit-down interviews for the film.

'What we have to have is a civil union law; that way they are legally covered.'

He added that he 'stood up for that' in an apparent reference to his time as archbishop of Buenos Aires when he opposed legislation to approve same sex marriages but supported some kind of legal protection for the rights of gay couples.

The Pope's remarks will come as a shock to millions of Roman Catholics who have long followed the doctrine that gay relationships are sinful and accepted the Church's stand against the worldwide advance of gay rights.

source: MailOnline
Toka nimeiona hii taarifa kwenye website ya bbcswahili.com, nikawa nadhani papa amepatwa na kichaaa na nivyema pia angeolewa yeye ili awe mfano
 
Asipobadirika atapata hukumu yake. Ukristo umejengwa katika misingi ya upendo na kusamehe.
Upendooo kwa mashoga? hakuna ushahidi, wowote Yesu alizungumzia mashoga, maana ni mambo ambayo ata mnyamaa asie, na ufahamu, awezi fanya
 
Muwe mnajiongeza basi, kama hamkushtuka mtakuja kulia huko mbeleni, Paolo ni hatari sana
 
Unajinasibu kuwa Maradhi huwa ni kengele ya kukukumbusha wapi nilipokosea na nirejee katika usahihi,kwani huyu Allah tunaehubiriwa kuwa ana upendo wote na nguvu zote ameshindwa kuniepusha kufanya makosa?Huyu huyu Allah tunaehubiriwa kuwa ana upendo mwingi sana kwa nini tena anipe mitihani tena mitihani migumu na ya kuudhi?Haya yote yanathibitisha kuwa Allah huyu hayupo bali ni hadithi na porojo za wanadamu tu
Naona umeishiwa hoja unarudia rudia maswali. Unapofanya madhambi huwa unalazimishwa au unafanya kwa hiari yako ? Ulipoumbwa hukuachwa hivi hivi,bali ulipewa akili ya utambuzi,akili ya kujua jema na baya na ukapewa uwezo wa kuacha baya na kufanya mema. Kwahiyo hapo wakulaumiwa ni wewe sababu umepewa kila kitu.

Unajua mpaka najiuliza kwanini huulizi maswali magumu na yenye tija badala yake unauliza maswali mepesi yasiyo na tija.

Hakuna mtihani ambao Allah anampa mja wake ambao mja huyo hawezi kufaulu, yaani kila mtu anapewa mtihani na Allah kulingana na "level" yake ya Imani, hata hao mashoga hufanya kwa hiari yao na kama walitenzwa nguvu lakini baadae wakaamua wenyewe kuendelea na tabia hiyo.

Nataka uje na hoja siyo huu utoto.
 
Mungu mwenye upendo wote pamoja na uwezo wote inawezekana vipi aumbe waja wenye hila?Mungu huyo mwenye uwezo wote,upendo wote pamoja na nguvu zote ameshindwaje kuumba waja wasio na hila?
Hizo hila hakuna aliye zaliwa nazo bali ni tabia watu wanakuwa nazo na siyo kila mtu anazo. Kama ilivyo tabia ya wizi au uzinzi.

Huwezi ukaea na hoja au akili timamu ukaupigia chapuo ushoga au usagaji, ndiyo maana hamna hoja wala hamjawahi kuwa na hoja.

Hili ukiachiloa mbali tu vitabu vya dini,ila akili tu ya kawaida ina kataa uhalali wa jambo hili.
 
Kwani wale sodoma na gomora walisulubiwa na nani?.
hivi ushoga nao unataka mpaka mungu akupe adhabu ndo ujue KUWA ushoga ni mbaya?
Kwa nini unakua na kiherehere cha ku-address watenda dhambi wakati Mungu alieumba binadamu hao yupo?Unafikiri kuwa Mungu anaweza akaumba binadamu halafu binadamu huyo huyo atende dhambi halafu Mungu ashindwe kujua cha kumfanya binadamu huyo mpaka wewe ndiyo uchukue majukumu ya Mungu ya kuzungumzia adhabu za watenda dhambi?
 
Naona umeishiwa hoja unarudia rudia maswali. Unapofanya madhambi huwa unalazimishwa au unafanya kwa hiari yako ? Ulipoumbwa hukuachwa hivi hivi,bali ulipewa akili ya utambuzi,akili ya kujua jema na baya na ukapewa uwezo wa kuacha baya na kufanya mema. Kwahiyo hapo wakulaumiwa ni wewe sababu umepewa kila kitu.

Unajua mpaka najiuliza kwanini huulizi maswali magumu na yenye tija badala yake unauliza maswali mepesi yasiyo na tija.

Hakuna mtihani ambao Allah anampa mja wake ambao mja huyo hawezi kufaulu, yaani kila mtu anapewa mtihani na Allah kulingana na "level" yake ya Imani, hata hao mashoga hufanya kwa hiari yao na kama walitenzwa nguvu lakini baadae wakaamua wenyewe kuendelea na tabia hiyo.

Nataka uje na hoja siyo huu utoto.

Narudia rudia maswali kwa sababu hujayajibu.Hujayajibu kwa sababu huna majibu yake.Huna majibu yake kwa sababu Allah unaemuhubiri ana walakini.Ana walakini kwa sababu hayupo.

Ninapofanya madhambi huwa nalazimishwa au nafanya kwa hiari yangu:Kwani huyo Allah tunaehubiriwa kuwa hashindwi kufanya chochote kile na ana upendo usiyo na kifani ameshindwa vipi kuniondolea hiyo hiari ya kufanya maovu?Yaani anifanye niwe mtenda mema tu?Alishindwa vipi wakati ana uwezo wa kufanya hivyo?

Nilipoumbwa sikuachwa hivi hivi,bali nlipewa akili ya utambuzi,akili ya kujua jema na baya na nkapewa uwezo wa kuacha baya na kufanya mema:Huyo Allah mwenye kuweza yote na mwenye upendo sana alishindwaje kunipa akili ya kutenda mema peke yake?

Hakuna mtihani ambao Allah anampa mja wake ambao mja huyo hawezi kufaulu:Inawezekana vipi Mungu mwenye upendo mkubwa kuliko bahari awape watu mitihani?
 
Hawa hawa. Ndo wameileta dini ya ukristo kwetu tukaona ile ya kwetu haifai Leo hii wanageuza maandiko, Leo tunasimama kuwapinga.. Nitaendaje kanisani wanakonihubiria wanako hubir na kuruhusu usodoma!
 
Back
Top Bottom