Papa Francis atetea watu wanaojihisisha na Mapenzi ya jinsia moja

Papa Francis atetea watu wanaojihisisha na Mapenzi ya jinsia moja

Kwanza kuna mambo mengi yalishanichanganya ndani ya hili kanisa langu,ambayo naona hayapatani na Biblia kwa ujumla wake. Sasa hili ndo funga kazi kwa utata wote, niko mbioni kuachana na hili dhehebu langu.

Inasikitisha sana ila basi tu.
Mkuu, mimi navuja damu! Hili Holly Church wanadam wanabadilisha misingi yake.
 
Sasa unataka source kutoka kwangu??


Ukiwa na akili unajiongeza, wee kama mkatoliki nikweli??

Unaingia chimbo unatafuta ukweli


Shida yenu ni wavivu wakufatilia mambo mnooo kila kitu mnataka kutafuniwa.


Tafuta weee utaipata iyo ..

Kwan mtoa mada kaitoa wapi????.
Aiseee!!!!_Chuki za kidini mbaya sana.

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Kama hii habari ni ya kweli, naunga mkono alichosema huyo papa.

Labda tu niweke sawa, namuunga mkono si kwa sababu ya kuhusianisha swala hili na dini, lakini kwa sababu amezungumza swala ambalo ni dhahiri kwa macho ya kawaida bila hata kutumia biblia kuhalalisha.

Watu wazima walioridhia kufirana wenyewe vyumbani mwao, kwanini wawe ni swala linalohitaji kuwa tatizo la jamii nzima?

Watu wasifanywe ama wasifanyike kuwa wahanga (victimized) kwa sababu tu ya nani wanampenda au nani wanalala naye kitandani. Sio swala la jamii, ni swala binafsi.

Hayo mengine ya biblia mimi sijui. Hayanihusu sana.
Maadili ya kiroho hayaruhusu
 
Mkuu unalosema ni kweli! Lakin kumbuka yule ni Baba mtakatifu influence yake ni kubwa sana katika ulimwengu wa kiroho.
Itoshe kusema kama kweli hii habari ni ya kweli, kuna haja ya kujiongeza zaidi ya hapa nilipo, maana nilishajiongeza kitambo
Mkuu.. mzee wangu ni Mkatoliki.

Ila vijana wake wote tumeamua kua wasabato .

Kilamoja alipoamua kusoma biblia aligundua yakwake.


Embu fikiria, ikiwa nihabari yakweli, alafu huyu nikiongozi mkuu wa kanisa , maana yake sasa hata zile maneno za mapadre kulawiti n.k sasa zimepata majibu..... Nikwamba sasa kanisa limeamua kuwapa nafasi wafiraji na wasagaji ,limeamua kutoa kiburi cha watu kuendelea hili sasa.

Roma ikisema maana yake Dunia inahitaj kutekeleza.

Unadhan miaka 10 ijayo tutakua na Dunia ya Aina gan???.

Kufirana na kusagana itakua nijambo lakawaida tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Saaa kwanini unapenda kukomalia kitu ambacho hujakitafiti??.

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Jaamaaa acha uozo kichwan.

Wewe kwann unatetea kitu ambacho hujalitafit??

Hizi akili zako, naweza kubashiri hata 28/10/2020 utampigia nani Kura na kupitia chama gan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu.. mzee wangu ni Mkatoliki.

Ila vijana wake wote tumeamua kua wasabato .

Kilamoja alipoamua kusoma biblia aligundua yakwake.


Embu fikiria, ikiwa nihabari yakweli, alafu huyu nikiongozi mkuu wa kanisa , maana yake sasa hata zile maneno za mapadre kulawiti n.k sasa zimepata majibu..... Nikwamba sasa kanisa limeamua kuwapa nafasi wafiraji na wasagaji ,limeamua kutoa kiburi cha watu kuendelea hili sasa.

Roma ikisema maana yake Dunia inahitaj kutekeleza.

Unadhan miaka 10 ijayo tutakua na Dunia ya Aina gan???.

Kufirana na kusagana itakua nijambo lakawaida tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inauma sana!
 
Jaamaaa acha uozo kichwan.

Wewe kwann unatetea kitu ambacho hujalitafit??

Hizi akili zako, naweza kubashiri hata 28/10/2020 utampigia nani Kura na kupitia chama gan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe uliye timamu kichwani ungeleta source ya habari hii ili kujitofautisha na mimi mwenye uozo kichwani.

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Wewe uliye timamu kichwani ungeleta source ya habari hii ili kujitofautisha na mimi mwenye uozo kichwani.

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Usiumie ndugu yangu,Sio kweli.Hakuna Waraka wa hivyo.Hata ukimwuliza mtoa post kuwa akupe source hawezi kukupatia.

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app

Acha kua na Jeuri za ujinga

Mimi nisiyemkatoliki nmeamua kutafuta.




Mtoa mada kanukuu CNN.View attachment 1607703
IMG_20201021_214903_135.jpg
 
Back
Top Bottom