Papa Francis hapaswi kukosolewa dhidi ya uamuzi wake juu ya LGBTQ

Yesu alipanguswa miguu kwa nywele na Kahraba, akashiriki chakula na mtoza ushuru, serikali ya Kirumi ilimind pia sana, kama ambavyo waprotestanti na waisilamu wanavyoshangaa afanyacho Papa
Dini ipo kwaajili ya kuokoa wapotevu
 
Wabongo unafikii unawasumbua.
 
Asipo kuelewa hapa, haelewi tena.
 
Ukristo ni ushetani, hivi sodoma na gomora ipo wapi na ni mji wa kikristo ama upi maana ushakithiri kwa ushoga karne kadhaa huko nyuma hafi ukachomwa
Sasa huu ushoga mpyaa umekujaje na uliteketezwa kwa motoo hapo zaman
 
Ndo Papa ameshasema na kila anayetaka kwenda tofauti na yeye ana mfurusha.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kanisa la mashoga ,Roman katholiki na papa shoga
 
Kama hukumu yao ni kuuawa utaua wangapi? Je wale wazazi waliowazaa hao mashoga utawaacha kwenye hali gani baada ya kuwanyonga. Manake wazazi wa hawa mashoga wanamaumivu kama ya kuuguza mgonjwa nafikiri ungewaza namna ya kusaidia na sio kuhukumu
Ua wote hadi papa
 
Katoliki siyo kanisa ni ushetani
 
Yesu alipanguswa miguu kwa nywele na Kahraba, akashiriki chakula na mtoza ushuru, serikali ya Kirumi ilimind pia sana, kama ambavyo waprotestanti na waisilamu wanavyoshangaa afanyacho Papa
Du,mashoga?
 
Kwenye mada yako tenganisha ukristo na ukatoliki, kama wakatoliki mmeamua kuvutia mashoga ili muwe wengi duniani basi rekebisha contents za andiko lako.
Wakatoliki na kiongozi wenu papa ndo mmeruhusu ushoga kwenye madhehehu yenu siyo Wakristo.
 
Kama mtoto wa jirani yako ni mwizi basi kabla hujamnyooshea kidole hakikisha wako sio mwizi
Wahalifu wapo kila sehemu, ila hawaruhusiwi. Ndo maana wanapingwa na wakijulikana wana adhibiwa. Na mashoga ni wahalifu Sasa kama wakatoliki mmeruhusu kufirn haina maana huko kwingine hawapo, wapo ila hawajaruhusiwa na wanahama na kuja huko mnako ruhusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…