Papa Francis: Hisani ya Kichungaji itumike wapenzi wa jinsia moja wanapowaomba mapadri baraka

Status
Not open for further replies.
Weka link ya source ya information yako
 
sio wakanza tulitarajia hilo na naandika hapa hata makkah watakuja kukubali hii ndoa za jinsia moja

haya mambo ni kuwa nayo makini sana ni lazima tukubali tunautamaduni wa tofauti baina yetu na wazungu muhimu kila jamii izingatie utamaduni wa mazingira yao ingawa imani haibadiliki na aina maana kama ni mkatoliki basi kwa kuwa papa amepitisha hili swala basi na wewe ukatoliki wako unapotea hapana.
 
Tukiwaambia watu kwamba Mungu hayupo, ni stori za uongo zisizo na kichwa wala miguu watu hawaelewi.

Sasa dini iliyosema mungu kaumba mke na mume, leo inakuja kusema haina ubaya mume kuoa mume mwenzie na iko tayari kubariki, sasa unajiuliza huyo mungu kabadili mawazo ama ni nini?

Dini ni taasisi za kitapeli, mungu wanaemsema hayupo wala hajawahi kuwepo.
 
Daima Mungu hajawahi kumficha mnafiki bali ni suala la muda tu...... nyakati zinatubainishia mambo yaliyojificha ili wenye macho na akili timamu wapate kujionea wenyewe na sio kuhadithiwa tena...........

Vichwa watumwa wa fikra na walevi wa Imani vipo njia panda huku wakificha macho yao wasione wanachokiona....huku vichwa vya watu wenye akili timamu wakitafakari na kuanza kuchukua hatua kwani hizi ni nyakati muhimu kwao........

YULE AMBAYE HAIKUMFAA AKILI YAKE, BASI UTAMDHURU UJINGA WAKE
 
Sikupingi ofisaa
 
Aliongeza, hata hivyo, kwamba Kanisa bado linachukulia uhusiano wa jinsia moja "kuwa dhambi" na halitatambua ndoa za jinsia moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mbona ameruhusu kuzibariki... Kitu hukitambui au unasema ni dhambi alafu unakinariki vipi...

Kubariki maana yake umekubaliana nacho na unakitakia maisha mazuri... Yani wasiachane na waendelee
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…