Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Pole mkuu kwa povu. Haya bana kila kitu mlikianzisha waislam hadi adamu na eva ni wenu. Furahi sasa,mnapenda wiziiiii
Quran 4:11
Mwenyezi Mungu anakuusieni juu ya watoto wenu: Fungu la mwanamume ni kama fungu la wanawake wawili. Na ikiwa wanawake zaidi ya wawili, basi watapata thuluthi mbili za alicho kiacha maiti. Lakini akiwa mtoto mwanamke ni mmoja, basi fungu lake ni nusu. Na wazazi wake wawili, kila mmoja wao apate sudusi ya alicho kiacha, ikiwa anaye mtoto. Akiwa hana mtoto, na wazazi wake wawili wamekuwa ndio warithi wake, basi mama yake atapata thuluthi moja. Na akiwa anao ndugu, basi mama yake atapata sudusi. Haya ni baada ya kutolewa alicho usia au kulipa deni. Baba zenu na watoto wenu, nyinyi hamjui ni nani baina yao aliye karibia zaidi kwenu kwa manufaa. Hiyo ni Sharia iliyo toka kwa Mwenyezi Mungu. Bila ya shaka Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mwenye hikima.
Hayo mahesabu yaliyopo hapo ambayo Mtume Muhammad aliwafundisha waislam karine 6
Wewe jinsi ulivyo kilaza ukipewa Mbuzi 70 uwagawanye Kwa hayo maelezo hapo hauwezi
Hesabu za Alijebra ulizosoma shule msingi wake ndio upo hapo katika hiyo aya
Aliyeandika na kufundisha hizo hesabu alikuwa anaitwa ALLY JABIRi wazungu wakaziita hesabu za Aljebra Ili kuondoa chembechembe za uislam katika somo la hesabu Ili waendelee kuwadanganya vilaza kama wewe