Papa Sylvester alisoma madrasa. Alifuzu somo la hesabati

Papa Sylvester alisoma madrasa. Alifuzu somo la hesabati

Pole mkuu kwa povu. Haya bana kila kitu mlikianzisha waislam hadi adamu na eva ni wenu. Furahi sasa,mnapenda wiziiiii
Quran 4:11
Mwenyezi Mungu anakuusieni juu ya watoto wenu: Fungu la mwanamume ni kama fungu la wanawake wawili. Na ikiwa wanawake zaidi ya wawili, basi watapata thuluthi mbili za alicho kiacha maiti. Lakini akiwa mtoto mwanamke ni mmoja, basi fungu lake ni nusu. Na wazazi wake wawili, kila mmoja wao apate sudusi ya alicho kiacha, ikiwa anaye mtoto. Akiwa hana mtoto, na wazazi wake wawili wamekuwa ndio warithi wake, basi mama yake atapata thuluthi moja. Na akiwa anao ndugu, basi mama yake atapata sudusi. Haya ni baada ya kutolewa alicho usia au kulipa deni. Baba zenu na watoto wenu, nyinyi hamjui ni nani baina yao aliye karibia zaidi kwenu kwa manufaa. Hiyo ni Sharia iliyo toka kwa Mwenyezi Mungu. Bila ya shaka Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mwenye hikima.


Hayo mahesabu yaliyopo hapo ambayo Mtume Muhammad aliwafundisha waislam karine 6

Wewe jinsi ulivyo kilaza ukipewa Mbuzi 70 uwagawanye Kwa hayo maelezo hapo hauwezi

Hesabu za Alijebra ulizosoma shule msingi wake ndio upo hapo katika hiyo aya

Aliyeandika na kufundisha hizo hesabu alikuwa anaitwa ALLY JABIRi wazungu wakaziita hesabu za Aljebra Ili kuondoa chembechembe za uislam katika somo la hesabu Ili waendelee kuwadanganya vilaza kama wewe
 
Tunashukuru ukitutajia hesabu za kwenye Qur'an zinapatikana kwenye aya gani nasi tufanye mrejesho.
Ziko aya nyingi za mirathi na zaka.Anza kuangalia aya za 11-12 sura ya 4.Kuna mahakimu wa mahakama za kawaida na za kiislamu wanasomeshwa na wanafeli itakuwa wewe.
 
Pole mkuu kwa povu. Haya bana kila kitu mlikianzisha waislam hadi adamu na eva ni wenu. Furahi sasa,mnapenda wiziiiii
Ikiwa mpaka hapo umeelewa basi ni kheri kubwa
Endelea kufaidi matunda.
Nikusahihishe tu kuwa Adamu na Hawa sio kwamba ni wetu bali ni wa Allah na waislamu wa mwanzo.
 
Kutangulia si kitu, bali tunaangalia mwisho, leo mataifa ya Ulaya wako mbali sana, waarabu na waafrika ni sawa tu ila wanatuzidi tu kitu kimoja upendo wa wao kwa wao, sisi Africa huku asilimia kubwa tunashirikishina matatizo na changamoto lakini kwenye fursa mnageukana, ndo maana unakuta kwenye familia kuna tajiri mmoja lakini waliobaki wote ni maskini au unakuta mtu mmoja kasoma na kufanikiwa lakini hawezi kuwapa mwanga wa chini yake, mtakuja kutafuta na pesa ziliisha au akistaafu ndio ataanza kutambulisha familia yake kwa ndugu ili wakujuane vizuri.
Gape kubwa limetokea wakati wa Ukoloni, baada ya ukoloni miaka 60 tu sasa tunaona Nchi za Asia zinavyoikaribia Ulaya kwa Kasi, na baadhi tayari sasa hivi zipo juu Sana Kitechnology.

Hata hao Waarabu wenye pesa wapo Mbali sana, nchi za Gulf zina wanasayansi wengi karibuni ambao wameleta mapinduzi mengi ya Kitechnology.
 
Pure propaganda.
Kama kuna wajinga wa hesabu basi madrasa ndio kisima cha hao wajinga. Yaani mtoto akishaanza kupenda madrasa na hesabu huenda zitamkaa maisha yake yote. Kwanini? Watoto kule madrasa huwa wanaenda kukaririshwa nukuu za kiarabu zilizopo kwenye msahafu, wakati hesabu haikaririwi.
Sio propaganda chuo kikuu cha kwanza Duniani kipo Morocco kinaitwa University of al-Qarawiyyin, na kinatambulika na

1. Unesco

2. Guinness world record

3. Scholars mbalimbali ukihitaji nitakuekea.

Also it's a fact hesabu mbalimbali zimegunduliwa middle East, ukisoma shule ukiona tu kitu kinaanziwa na Al ujue kuna possibility kubwa kimetoka middle East,

Trigonometric, Algebra, Algorithm, Quadratic, arithmetic, decimal, Circle equations etc ni moja ya mifano ya Hisabati ziligunduliwa na kusomwa kwenye Medieval Islam.
 
Madrasa za kiislamu na hesabu ni kipi kilitangulia kuwepo duniani?
Hesabu tunazotumia kama 0,1,2..............................................pamoja na
0.1,0.2,0.3..................................pamoja na
1/2,1/4,2/3 n.k
zilifumwa na waislamu katika madrasa.
 
Sina ushabiki wa Kidini,Nina ndugu ma marafiki wa pande zote mbili...
1.Kuna vyanzo vyasema hiko chuo ndiyo kikongwe na kuna vyanzo vyasema chuo Kikuu cha Bologna nchini Italy.

2.Kuhusu Abacus mkuu, naona hao mkuu utakuwa umekosea,,mana ni kifaa kilichovumbuliwa miaka mingi kabla ya Kristu huko Ugiriki

3.na kuhusu hesabu Barani Ulaya mkuu hapo umekosea sana.
-Waafrika tulianza kufanya hesabu 10,000 BC(Hapo hata waarabu na Uislam bado haujaingia Afrika) mf. Namba za Kirumi na sehemu.
-Ulaya nao walianza hesabu za mizingo na maeneo...
Mf.Pythagoras theorem na Pi.

Unaposema by Karne ya 9 Wazungu hawakuwa wanajua kuhesabu hapo nafkiri umeweka muemko kuliko uhalisia..
 
Sasa kwa nini huko madrasa hizo fani hazipo sasa hivi?
Tofautisha Bakwata na uisilamu, Bakwata wana agenda zao na Serikali, waweke Bakwata pembeni tafuta Taasisi nyengine za kiisilamu je hazifanyi vizuri?

Leo hii Feza sio Nzuri? Istiqama ya Oman, Aga khan? Good Samaritan na Burhan?
 
Sina ushabiki wa Kidini,Nina ndugu ma marafiki wa pande zote mbili...
1.Kuna vyanzo vyasema hiko chuo ndiyo kikongwe na kuna vyanzo vyasema chuo Kikuu cha Bologna nchini Italy.

2.Kuhusu Abacus mkuu, naona hao mkuu utakuwa umekosea,,mana ni kifaa kilichovumbuliwa miaka mingi kabla ya Kristu huko Ugiriki

3.na kuhusu hesabu Barani Ulaya mkuu hapo umekosea sana.
-Waafrika tulianza kufanya hesabu 10,000 BC(Hapo hata waarabu na Uislam bado haujaingia Afrika) mf. Namba za Kirumi na sehemu.
-Ulaya nao walianza hesabu za mizingo na maeneo...
Mf.Pythagoras theorem na Pi.

Unaposema by Karne ya 9 Wazungu hawakuwa wanajua kuhesabu hapo nafkiri umeweka muemko kuliko uhalisia.
Bologna ni zao la mwanzo la vyuo vya madrasa vya Spain.chuo kikuu cha mwanzo kitabaki hicho hicho cha Alqarawiyen. kilichoanza karne 3 nyuma.
UNESCO na guiness wamebaki na ukweli huo.
Hata wakibadili vigezo basi watafiti wa mifumo ya kielimu watabaki na Alqarawiyen kabla ya zile madrasa za Andalusia.
Kitu kimoja ukielewe kwamba Pythagoras na taarifa nyengine za kanuni za kimahesabu uwezekano wa kutambuliwa ni mdogo sana au zisingejulikana kabisa kama si uadilifu wa waislamu wa kuzitafsiri kuziingiza kiarabu halafu zikatafririwa na wao wenyewe waislamu kutoka kiarabu kuingizwa kilatin na lugha nyenginezo.
Muhimu hizo theorem zilikuwa chachu tu ya elimu ya mahesabu walichokifanya waislamu baada ya hapo hakuna mfano wake.
Waislamu walichanganya elimu za mashariki na magharibi na kutengeneza mamia kwa maelefu ya theorem na tofauti sana na za wagiriki.
 
Sina ushabiki wa Kidini,Nina ndugu ma marafiki wa pande zote mbili...
1.Kuna vyanzo vyasema hiko chuo ndiyo kikongwe na kuna vyanzo vyasema chuo Kikuu cha Bologna nchini Italy.
Guinness world record inatambua Bologna italy kama chuo cha kwanza Cha magharibi na sio duniani, ukumbuke Bologna imekua Chuo miaka ya 1000 wakati huo miaka 200 na kitu kabla hicho cha Morocco kilishakua chuo

Roma ili fall, na Elimu ya Kigiriki ikapotea Ulaya, ila Middle East ili Endelea kuwepo, so wazungu Wakaja kuipata tena Elimu ya Kigiriki na ya Middle East kupitia waisilamu.

Kuna muda unajulikana kama "Age of translation" ambao Academics wengi wa Ulaya walikuja maeneo ya waisilamu kujifunza kiarabu na kutafsiri elimu toka Kiarabu kwenda lugha zao za asili

 
Ikiwa mpaka hapo umeelewa basi ni kheri kubwa
Endelea kufaidi matunda.
Nikusahihishe tu kuwa Adamu na Hawa sio kwamba ni wetu bali ni wa Allah na waislamu wa mwanzo.
Punguza udini ili akili yako iweze kuchambua mambo kwa upeo wa juu. Dini zimeletwa ili utawaliwe kwa urahisi.
 
Hakuna sehemu yoyote huyu pope aliwahi kwenda Moroco kujifunza hisabati za kihindu-Arabic.

Huyu alisoma Spain na hakuwahi kwenda huko madrassa. Kama una ushahudi kuwa aliwahi kwenda Moroco tuwekee hapa.
Its debate kama alisoma ama hakusoma huko, kuna vitabu vingi tu vime mention kwamba amesoma huko,

Mfano joyau de la civilisation islamique kitabu cha Attilio Gaudio proffesor wa Ufaransa ambaye ame specialize kwenye Historia ya Maeneo ya sahara ame mention jamaa alisoma hicho chuo.
 
Its debate kama alisoma ama hakusoma huko, kuna vitabu vingi tu vime mention kwamba amesoma huko,

Mfano joyau de la civilisation islamique kitabu cha Attilio Gaudio proffesor wa Ufaransa ambaye ame specialize kwenye Historia ya Maeneo ya sahara ame mention jamaa alisoma hicho chuo.
Mimi nimemwambia ampambe papa kwa kukubaliana kuwa alisoma chuo hicho.
Na angefahamu vipi hayo mahesabu kama hakukaa chini ndani ya madrasa hiyo.
Njia za kusikia na kuperuzi enzi hizo hazikuwepo.
 
Its debate kama alisoma ama hakusoma huko, kuna vitabu vingi tu vime mention kwamba amesoma huko,

Mfano joyau de la civilisation islamique kitabu cha Attilio Gaudio proffesor wa Ufaransa ambaye ame specialize kwenye Historia ya Maeneo ya sahara ame mention jamaa alisoma hicho chuo.
Wala hakuna debate. Nyie ndiyo mnataka iwe debate. Alisoma Spain na baadhi ya elimu aliyopata ni ile iliyokuwa imepokelewa toka Waislam wa Andalusi. Yeye binafsi hakuwahi kwenda Moroco kusoma. Historia iko wazi na ushahidi upo.
 
Hili la kuwa alikwenda Morocco bado kuna mjadala.Na uwezekano upo mkubwa
Kuhusu kusoma madrasa na hata wewe umekubali kwa sababu Spain enzi hizo iikuwa ni madrasa tupu ambazo zilikiwishakuzwa na kuwa vyuo vikubwa vya elimu ya juu.Wakiristo na wakazi wa Ulaya walihimizwa na waislamu na wenyewe wakaona umuhimu wa kusoma wakaenda huko.
Mahesabu na maajabu yake katika mfumo tuliourithi mpaka kutufikia sisi yalianza karne kadhaa nyuma Baghdad.
Chuo kikuu cha Alqarawiyen cha Morocco ni sehemu moja wapo zilipopitia elimu za waislamu katika utawala wa Ummawiya na baadae Abbasiya na zikaaingia kwenye madrasa za Spain.
Kwa kifupi papa Sylvester alisoma madrasa na elimu ya madrasa ya chuo kikuu cha Fez ndiyo iliyompaisha naye kuonekana msomi katika kanisa lake.
Nionavyo mimi ikithibitika alikwenda Morocco basi ndio itakuwa unampa hadhi zaidi papa wako na kuonesha wakristo walithamini elimu kuwaiga waislamu ambao ndio waliofuata na kuhamisha elimu pole pole karne kwa karne.
Ukishikilia hakwenda basi itakuwa kinyume chake kwamba elimu ya wakristo ni ya kivivu vivu na hawajafanya juhudi yoyote kuitafuta.walisubiri waletewe kwenye sahani na waislamu.
Weka wazi unachopinga.
Acheni kujilisha matumaini hewa. Alisoma Spain to be specific ni Barcelona wwkati huo Barcelona utawala wa Waislam ulisha furushwa. Hilo wala siyo la mjadala
 
Bologna ni zao la mwanzo la vyuo vya madrasa vya Spain.chuo kikuu cha mwanzo kitabaki hicho hicho cha Alqarawiyen. kilichoanza karne 3 nyuma.
UNESCO na guiness wamebaki na ukweli huo.
Hata wakibadili vigezo basi watafiti wa mifumo ya kielimu watabaki na Alqarawiyen kabla ya zile madrasa za Andalusia.
Kitu kimoja ukielewe kwamba Pythagoras na taarifa nyengine za kanuni za kimahesabu uwezekano wa kutambuliwa ni mdogo sana au zisingejulikana kabisa kama si uadilifu wa waislamu wa kuzitafsiri kuziingiza kiarabu halafu zikatafririwa na wao wenyewe waislamu kutoka kiarabu kuingizwa kilatin na lugha nyenginezo.
Muhimu hizo theorem zilikuwa chachu tu ya elimu ya mahesabu walichokifanya waislamu baada ya hapo hakuna mfano wake.
Waislamu walichanganya elimu za mashariki na magharibi na kutengeneza mamia kwa maelefu ya theorem na tofauti sana na za wagiriki.
Hapa naona umeenda kidini zaidi,,,
Nimesema waafrika tulikuwa na mahesabu kabla hata ya Dola ya Kiislam mkuu,kabla hata ya waarabu na Uislam au Ukristo kuingia Afrika...
Ngozi yetu inastahili credits kwa hilo,
Reference soma kuhusu Dola ya Wamisri , wahabeshi na Sudan.

Mkuu,wagiriki walianza mahesabu miaka 1000BC,na zilienea Ulaya kupitia tawala ya Roma ....na ndiyo iliyowasaidia Waroma katika ujenzi wao wa miundombinu.

South America walianza hesabu even before Columbus hajaenda...
Wachina walianza hesabu miaka mingi before Christ...

Wahindi pia walikuwa na hesabu miaka mingi kabla ya Kristu....


Kabla ya hizi dini za Ukristo,Uislam,Ubudha,,watu tayari walishaanza uvumbuzi.
 
Pole mkuu allah hakuwepo enzi za adam na eva. Alikuwepo Mwenyezi Mungu
Ikiwa mpaka hapo umeelewa basi ni kheri kubwa
Endelea kufaidi matunda.
Nikusahihishe tu kuwa Adamu na Hawa sio kwamba ni wetu bali ni wa Allah na waislamu wa mwanzo.
 
Back
Top Bottom