Guinness world record inatambua Bologna italy kama chuo cha kwanza Cha magharibi na sio duniani, ukumbuke Bologna imekua Chuo miaka ya 1000 wakati huo miaka 200 na kitu kabla hicho cha Morocco kilishakua chuo
Roma ili fall, na Elimu ya Kigiriki ikapotea Ulaya, ila Middle East ili Endelea kuwepo, so wazungu Wakaja kuipata tena Elimu ya Kigiriki na ya Middle East kupitia waisilamu.
Kuna muda unajulikana kama "Age of translation" ambao Academics wengi wa Ulaya walikuja maeneo ya waisilamu kujifunza kiarabu na kutafsiri elimu toka Kiarabu kwenda lugha zao za asili
With the fall of Rome, the cultural heritage of classical Greece was lost to western Europe and next to no European knew how to read Greek. Instead the texts survived in translations into Arabic. T…
ringmar.net