startergear
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 1,148
- 1,478
Umeishia kucheka๐๐๐ Ila jf Kuna commedy nyingi sana๐ ๐ ๐ ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeishia kucheka๐๐๐ Ila jf Kuna commedy nyingi sana๐ ๐ ๐ ๐
Itakuwa seyyid said law of capturing slaves๐๐๐๐Enzi zipi hizo unazokumbuka wewe? Kwenye fani uliyosoma unamkumbuka Mwislam yupi ambaye ulijifunza principles zake?
Alisoma ujinga gani huko Moroca. Acha kijipa matumaini hewakwa vile umeshindwa kupinga kwa ushahidi ni dalili umekubali kuwa papa alisoma Morocco kwenye madrasa ya waislamu.
Umuhimu wake ni kuwa papa alijua thamani ya elimu kuliko akina nyinyi mpaka akaifuata kwa waislamu;
Umuhimu wa pili ni kuwa ujue kuwa waislamu ndio waalimu wa wazungu munaowaabudu.
Yaani. Hata mashine ya kukamulia mafuta huko kwa waarabu (mpaka wanakuwa matajiri) inatumia mahesabu ya mzungu๐๐Hesabu mzee wangu mpaka za chuo kikuu ni uvumbuzi wa waislamu.
Zimeendelezwa na kubadilika kulingana na wakati lakini muhimu nyingi zimebaki kama zilivyokuwa.
Hata ingeitwa Holy Ghost haiondo ukweli kuwa Muhamad was a slave trader, alimiliki, kuteka na kuuza watumwaNo it is crowned Slave ship called jesus capturing slaves to America
And the hunters were Arabs pretending to spread IslamNo it is crowned Slave ship called jesus capturing slaves to America
Halafu mkafika wapi.Hesabu unazozijua wewe zimeanza madrasa na papa naye alijifunza huko huko
Eva ndio nani?
Sisi tunamtambua Hawaa, na sio eva
Nakujibu kama ifuatavyoMkuu,
Mimi ninataka kujifunza jambo haswa kulingana na chimbuko halisi la dini ya Islam. Hii itatupa picha halisi bila kuwa bias ni nani walikuwa waanzilishi wa mwanzo kabisa wa hesabu katika karne nyingi sana zilizopita.
Sina shaka na Misri ya zamani maana mambo makubwa ya kihistoria yamefanyika huko, hesabu pamoja na maandishi ya kale pia.
1. Je, ni kweli Islam ilikuja baada ya Mtume Muhammad (saw) kuzaliwa?, au ni dini iliyokuwepo tangu awali hata kabla ya kuzaliwa kwa mtume?
2. Quran kama kitabu cha muongozo kwa Muslims, kiliteremshwa kipindi cha Muhammad (saw), au ni kitabu kilicho kuwepo karne nyingi kabla ya kuzaliwa kwa mtume?.
3. Mwisho kabisa, Islam kama dini ilianza karne ya ngapi, na hizi hesabu zinazo zungumziwa zilikuwepo Misri ya zamani na Mashariki ya mbali zilianza karne ya ngapi?.
Natanguliz shukran.
Mpe hesabu za mirathi tu huyo kama hajakimbia ๐Inaonekana umepata mshangao mkubwa kusikia kuwa waislamu ndio wataalamu wa mahesabu tangu enzi na enzi.
hakuna ukweli huo.Hata ingeitwa Holy Ghost haiondo ukweli kuwa Muhamad was a slave trader, alimiliki, kuteka na kuuza watumwa
Kwamba unapinga jamaa hakujihusihsha na hayo mambo?๐คฃ๐คฃ๐คฃhakuna ukweli huo.
wakristo mungemfuata Yesu kweli usingekuwa mzushi
ndio maana mlifanya biashara haramu kwa kutumia jina lake
Yesu hawezi kufanya mambo ya kijinga na kikafiri ya kuuza watu na ndugu yake Muhammad saw pia hawezi kufanya upuuzi wowote.Kwamba unapinga jamaa hakujihusihsha na hayo mambo?๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Mshaanza story za kutunga wazee wa dozi mara tano kwa siku ๐คฃ๐คฃ๐คฃ....Na adithi zenu za kudanganyana kwenye msikiti wa mtambani..!!Chuo kikuu kikongwe zaidi duniani ambacho kinaendelea kutoa elimu ni kile kilichopo barani Afrika, nchini Morocco na ambacho kilianza msikitini(masjid) na kuendeshwa kwa mfumo wa madrasa.
Chuo kikuu hicho kilijengwa na bi Fatma kikiambatana na msikiti wakati wa ukhalifa wa Abbasiya ambao ulitawala mashariki ya kati, Ulaya na Afrika. Ukhalifa huo na watangulizi wao walitilia umuhimu mkubwa masuala ya elimu na hivyo kurithisha fikra hizo kwa kila watu wa eneo fulani.
Miongoni mwa wanafunzi wa chuo hicho ni papa Sylevester (2).Somo lililomvutia zaidi ni hesabu wakati huo Ulaya ikiwa haijui hata kuhesabu machungwa.
Mfumo wa kuhesabu hasa kwa kutumia kifaa cha Abacus alichojifunzo kutoka walimu wa chuo cha Alqarawiyen ulimfanya aonekane kama ni mchawi na hiyo ikawa ndiyo sababu ya Ulaya nzima kujifunzo na kuanza kuhesabu kutoka kanisani kwake.
Mahesabu mengine magumu na elimu ya astronomy alichukua kutoka dola ya kiislamu ya Andalasia.