Pape Sakho ashinda goli bora la mwaka CAF 2022

Pape Sakho ashinda goli bora la mwaka CAF 2022

Unafikiri klabu ya Yanga, wananchama na mashabiki wake; ni mbumbumbu kama nyinyi? Yaani kila ujinga unaoropokwa na mtu, basi lazima wautolee tamko! Hata kama ni pumba!

Kuwa serious wewe.
Ni zaidi ya mbumbumbu kwa hoja moja tu.

Aliyewatukana kwa kuwaita hamna akili, mlimuajiri kwa ajili ya kuisemea Club

Lakini hiyo pia kama haitoshi baada ya kufungiwa, uongozi wa Yanga ulitoka hadharani kumkingia kifua kuwa adhabu aliyopewa sio Fair

Na mpaka saizi bado anaendelea kuwa feed ujinga na mnamtumia kama chanzo sahihi even though kafungiwa.
 
Alisepa na kijiji cha wajinga kama nyie inatosha
Alisepa akaenda nacho wapi?

Kwasababu wote tunafahamu kuwa huko alipo ndio core of idiots and he made it clearly

Sasa wajinga gani alioondoka nao ambao ni wajinga kuwazidi huko alipowaita wajinga msiokuwa na akili na still mkampokea?
 
Ni zaidi ya mbumbumbu kwa hoja moja tu.

Aliyewatukana kwa kuwaita hamna akili, mlimuajiri kwa ajili ya kuisemea Club

Lakini hiyo pia kama haitoshi baada ya kufungiwa, uongozi wa Yanga ulitoka hadharani kumkingia kifua kuwa adhabu aliyopewa sio Fair

Na mpaka saizi bado anaendelea kuwa feed ujinga na mnamtumia kama chanzo sahihi even though kafungiwa.
Acha upotoshaji wewe. Haji Manara aliajiriwa na GSM baada ya kukimbia mshahara wa laki 7 kwa mwezi.

Na kiufupi malengo ya GSM yametimia. Maana mashabiki wengi wa simba kwa sasa ni Kasuku wa huyo Haji Manara! Kila atakachosema, basi lazima kigeuke na kuwa wimbo wenu wa Taifa.
 
Acha upotoshaji wewe. Haji Manara aliajiriwa na GSM baada ya kukimbia mshahara wa laki 7 kwa mwezi.

Na kiufupi malengo ya GSM yametimia. Maana mashabiki wengi wa simba kwa sasa ni Kasuku wa huyo Haji Manara! Kila atakachosema, basi lazima kigeuke na kuwa wimbo wenu wa Taifa.
Aliajiriwa na GSM kuja kufanya kazi wapi?
 
wewe unaona anafanya kazi wapi? pale Yanga ana cheo gani wewe njiti
Kabla ya kufungiwa alikuwa msemaji wenu pale Uto.

Na hata baada ya kufungiwa bado Club yenu inakubaliana na msimamo wa Manara wa kutotambua hukumu aliyopewa.

Kwa kuthibitisha hilo hata biography yake kule insta kaandika kuwa yeye ni msemaji

Na kwakua nyinyi vitoga mna ubongo wa nzi, mnashindwa kung'amua errors kwenye taasisi ambazo zilikuwa ni za kuepukika
 
Kabla ya kufungiwa alikuwa msemaji wenu pale Uto.

Na hata baada ya kufungiwa bado Club yenu inakubaliana na msimamo wa Manara wa kutotambua hukumu aliyopewa.

Kwa kuthibitisha hilo hata biography yake kule insta kaandika kuwa yeye ni msemaji

Na kwakua nyinyi vitoga mna ubongo wa nzi, mnashindwa kung'amua errors kwenye taasisi ambazo zilikuwa ni za kuepukika
Kwa hiyo kwa akili yako, Haji Manara bado ni msemaji wa Yanga! Kisa tu profile yake ya Instagram inaonesha hivyo!

Kwanza kwa taarifa yako, hicho cheo cha "msemaji" hakipo kwenye klabu yetu ya Yanga. Umeelewa wewe follower wa Haji Manara?
 
Kabla ya kufungiwa alikuwa msemaji wenu pale Uto.

Na hata baada ya kufungiwa bado Club yenu inakubaliana na msimamo wa Manara wa kutotambua hukumu aliyopewa.

Kwa kuthibitisha hilo hata biography yake kule insta kaandika kuwa yeye ni msemaji

Na kwakua nyinyi vitoga mna ubongo wa nzi, mnashindwa kung'amua errors kwenye taasisi ambazo zilikuwa ni za kuepukika
Basi itakua una Yanga yako wewe maana una ng'ang'aniza kitu ambacho hakipo, Yanga hakuna msemaji
 
Kwa hiyo kwa akili yako, Haji Manara bado ni msemaji wa Yanga! Kisa tu profile yake ya Instagram inaonesha hivyo!

Kwanza kwa taarifa yako, hicho cheo cha "msemaji" hakipo kwenye klabu yetu ya Yanga. Umeelewa wewe follower wa Haji Manara?
Club yako haitambui hukumu aliyopewa Manara.

Kivyovyote utavuoamua kuita ila haiondoi maana kuwa hakuwa msemaji.

Labda uniambie Nugaz alikuwa anacheo gani hapo Yanga?
 
Kumekuchaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!

Tumechukuaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!

Sakhoooooooooooooooooooooooooooooooooooo!!!!!!!!!

[emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]View attachment 2299257View attachment 2299258
Duh!. Hii ndio kwenye losers cup ingekuwa kwenye mabingwa kule si ingekuwa balaa zaidi.
Ama kweli teknolojia mwanahamu, walikuwa wameshasahau hii na ilikuwa ni mwaka jana tu hapo.
 
Back
Top Bottom