Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Upendeleo huu mbona mayele hayupo apo...walisikika nzi wa kijani kutoka jangwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upendeleo huu mbona mayele hayupo apo...walisikika nzi wa kijani kutoka jangwani
🤣🤣 Na shati lake la kijani kama maembe ya kibadaSawa utopwize ya kwenu hii hapa. Happy now?!!View attachment 2299367
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie.Huyu sio sakho..mbona hajavaa jezi..!! Ulisikika umoja wa maamuma na machizi kutoka jangwani
Haya tulia sasa ufute machoziBasi Hongereni kwa Treble mliyopata msimu huu
1.Ufungaji wa Mpole
2.Hattrick ya Sopu
3.Goal bora la sakho
Kweli kabisa na tuzo tulimpatiaLile goli la Mayele kama angefunga michuano ya World 🍵 basi lingekuwa goli la DUNIA..
NANI KAMA MAYELE...
Simba ni tamu kama mainiNilichokisikia ni kwamba hata golikipa aliyefungwa hilo bao alikuwa wakwanza kumpigia kura sakho
😹Vipi huo mwiko nyuma , bado upo? Au umeshaung'oa?
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Hawamo kabisa na hawajulikani kabisaMayele na bangala vipi nao bila kumsahau djuma shabani
Tulimpa ng'ombeKweli kabisa na tuzo tulimpatia
Rage aliona mbali sanaSimba tupo mbaaali sana
Kombe la loser hili mmekaza mataqoBado hatujaridhika tunataka goli hilo liingie kwenye competition ya goli bora la dunia
Kuna kina Messi na Ronaldo naona siku hizi wanajisahau sana, wanafikiria wao tu ndio wanaweza funga magoli magumu wacha waone hili goli halafu wakate tamaa
Chawa wenu ndio aliyeliita la loserKombe la loser hili mmekaza mataqo
Kwa sababu ya u mbumbumbu mkayabeba maneno yakeChawa wenu ndio aliyeliita la loser
Kwasababu nyie ambao leo hii mnataka tuwaone sio mbumbumbu hamkuwai kutoka public kupinga kauli ya msemaji wenu.Kwa sababu ya u mbumbumbu mkayabeba maneno yake
Unafikiri klabu ya Yanga, wananchama na mashabiki wake; ni mbumbumbu kama nyinyi? Yaani kila ujinga unaoropokwa na mtu, basi lazima wautolee tamko! Hata kama ni pumba!Kwasababu nyie ambao leo hii mnataka tuwaone sio mbumbumbu hamkuwai kutoka public kupinga kauli ya msemaji wenu.
Mlimuunga mkono
Alisepa na kijiji cha wajinga kama nyie inatoshaKwasababu nyie ambao leo hii mnataka tuwaone sio mbumbumbu hamkuwai kutoka public kupinga kauli ya msemaji wenu.
Mlimuunga mkono