OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mane, Okocha, Cisse, Etoo na ukumbi mzima wanajua Simba ni nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu funga na weye tuone!Wivu utakuua.Wivu ni sumu.
Mane, Okocha, Cisse, Etoo na ukumbi mzima wanajua Simba ni nani
Ukapewa Kombe na ukavaa na Medali?Wewe uliishia wapi?. Raundi ya kwanza chali. Mwenzako robo fainalii Mara tatu.
Tangu lini goal bora kutoka Afrika likaingia kwenye puskas awards?Na Mambo yatakuwa makubwa goli la Sakho likiingia kwenye Puskas Awards ya FIFA.
Wewe kweli unanyukwaTangu lini goal bora kutoka Afrika likaingia kwenye puskas awards?
👏👏🙏🙏Mashabiki wa Simba SC ukiachilia mbali kuwa 99,99999% ni Wasomi sana ila pia ni Wastaarabu, Wanajitambua na wana Akili ( Werevu ) mno tu.
Hukosekani kwenye hizi vagi[emoji23].Kumekuchaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!
Tumechukuaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!
Sakhoooooooooooooooooooooooooooooooooooo!!!!!!!!!
[emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]View attachment 2299257View attachment 2299258
Hata yule ufunguo "anawewafungua uto mpaka sehemu zisizostahili" naye alisema kuwa, hukumu za CAF ni za kweli na haki maana wakati kinafungwa alilishuhudia kwa ukaribu zaidi.Nilichokisikia ni kwamba hata golikipa aliyefungwa hilo bao alikuwa wakwanza kumpigia kura sakho
Sasa kama Simba Sc iliyotajwa sana jana kwenye ule hafla kubwa ya kimpira haijulikani, vipi hiyo Yanga Sc?Mara nyingi tuzo ya Goal bora huwa inaenda kwa wachezaji wanaocheza timu ndogo na ambazo hazijulikani duniani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vipi umeguswa wapi? Penyewee kabisaa au?
Byuti byuti
Sio lazima useme kuwa wewe ni shabiki kindaki wa mnyama ili ueleweke, mawazo yako tunaweza kuyapokea hata kama utakiri kuwa wewe ni Yanga , jiamini tu.[emoji23]Pamoja na yote dogo yuko OVERRATED sana naongea kama Shabiki kindaki wa Mnyama wanasimba wanataka kumfananisha na miqquison lakini dogo kuna namna anakwama sana uwanjani kwanza ni MCHOYO MNOOO wa PASI hasa akikalibia golini na matatzo kadhaa kama kulazimisha kupenya ndani ya Box naamini akiambiwa ukweli atabadilika na angekua hatari angekua ana walau goli 5 tu za ligi POVU ruksa
Huyu hapa mwanenu naye aliambulia chochote kitu.Lile goli la Mayele kama angefunga michuano ya World [emoji478] basi lingekuwa goli la DUNIA..
NANI KAMA MAYELE...
Hii issue inekuuma sana aiseeh, kila ukichungulia huu uzi unaweka comment ya kulialia ukitegemea support kutoka kwa uto wenzako, ila ndo hivyo huipati kwasababu huu ni wamoto na uto wenzako hawausogelei kabisa , na watu wanavyokupuuza basi ndo unajiona mavi kabisa.Hatimaye msimu umeisha na Simba tumefanikiwa kutoka na Treble ya Makombe
Ulikuwa msimu bora sana kwetu
Wana Simba Sc wamekupa ofa ya bia (tena Lite za wadada) ila uto usivyokuwa na shukurani umekuja kuwaanika na kuwanafikia huku, hivi ni lini mtabadilika nyinyi?Utajuaje kama HAWANA KELELE wakati unaangalia ukiwa sebuleni kwako…!!! Hapa nilipo watu wameshangilia mpka kuvunja chupa za bia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama timu yako haijawahi kutoa hata mkaanga maandazi bora wa CAF BASI JUA HIO NI JUMUIYA YA WATU WA UPINDE WA MVUA.
IKIKUUMA NJOO TUPIGANE NIMEKAA PALEE.
Inamaama yule Djuma kule kwao ni takataka?View attachment 2299302View attachment 2299303
Inonga anawania tuzo ya beki bora wa Congo Kwa wachezaji wa nje .