Pape Sakho ashinda goli bora la mwaka CAF 2022

Pape Sakho ashinda goli bora la mwaka CAF 2022

Hatimaye Simba wame beba kombe lao la Caf.
 
Pamoja na yote dogo yuko OVERRATED sana naongea kama Shabiki kindaki wa Mnyama wanasimba wanataka kumfananisha na miqquison lakini dogo kuna namna anakwama sana uwanjani kwanza ni MCHOYO MNOOO wa PASI hasa akikalibia golini na matatzo kadhaa kama kulazimisha kupenya ndani ya Box naamini akiambiwa ukweli atabadilika na angekua hatari angekua ana walau goli 5 tu za ligi POVU ruksa
Kolo pekee mwenye akili
 
Simba SC ndio timu pekee Tanzania inayoliwakilisha taifa kila mwaka na kuitangaza nchi kimataifa, bila Simba SC Tnazania ingekuwa haijulikani iko upande gani wa dunia.
Kweli kabisa. Kila anayeangalia hilo goli anaona pia hayo maandishi Visit Tanzania kwenye jersey ...
 
Back
Top Bottom