GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mashabiki wa Simba SC ukiachilia mbali kuwa 99,99999% ni Wasomi sana ila pia ni Wastaarabu, Wanajitambua na wana Akili ( Werevu ) mno tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na msimu huu hata hicho kibovu sijui kama atakipata
Sasa wee si ulie pole pole, kwan upige kelele hivyooo??Mashabik wa simba wanafuraha sana furaha yao iko hivi
Mpole kuwa mfungaji bora
Hattrick ya Sopu
Manara kufungwa
Goli la sakho kuchanguliwa
Ila nawaambia 13.8.2022 maji mtaita mmaah
Oya ukiweza njoo tuwekeane hela, Mkitufunga nakutumia 20k, kama unaridhia uanzishwe uzi maalumu kwa ajili ya hiloMashabik wa simba wanafuraha sana furaha yao iko hivi
Mpole kuwa mfungaji bora
Hattrick ya Sopu
Manara kufungwa
Goli la sakho kuchanguliwa
Ila nawaambia 13.8.2022 maji mtaita mmaah
Ule utumbo wako kuhusu Babra na hersi bado ni valid?Mashabiki wa Simba SC ukiachilia mbali kuwa 99,99999% ni Wasomi sana ila pia ni Wastaarabu, Wanajitambua na wana Akili ( Werevu ) mno tu.
Unaugulia ukiwa wapi? tukuletee dawaaMara nyingi tuzo ya Goal bora huwa inaenda kwa wachezaji wanaocheza timu ndogo na ambazo hazijulikani duniani
Mlianza kwa Mpole, mkafuata kwa Sopu, saa hii mpo kwa Sakho utadhani Simba ipo huko..!!Hongera sana Pape Sakho, umeiletea heshima kubwa Simba na Tanzania, kazi kubwa ya Simba ni hiyo, sio nyie mnaokaa kutwa kutetea watu wahuni na waovu katika soka.Wahuni hawana maana, shauri yenu.
Anastahili, ametuheshimisha Sana.Kama mlivyoona,na ndio imekuwa hivyo qenye maoni toeni wenye dukuduku pia semeni..
Ni senegal na simba sc.View attachment 2299281
CAF walioneshwa hiyo clip na hao wapendekezajiMbona naskia Mayele alifunga goli zuri kupita hilo kwenye mechi ya Yanga na Azamu ?
Kwani ligi kuu ya Tanzania haipo chini ya CAF ?
Hadi wasilione goli bora kama hilo na kuamuru lipigiwe kura ?
Safi sanaWa kwetu nina furahaaa mnoooo, [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Yaan sanaaaa
Yanga ukitaka ukosane nao we taja hela kwenye mazungumzo yakoOya ukiweza njoo tuwekeane hela, Mkitufunga nakutumia 20k, kama unaridhia uanzishwe uzi maalumu kwa ajili ya hilo
Huyo mshikaji ni mmbongo kwani..?GOLI BORA la Mwaka CAF....! Congratulations P.Sakho , Viva Simba....!
Hili ni Jambo ni La Kitaifa..tuzo Ya GOLI Bora Inakuja Bongo Kwa Mara Kwanza .
Mnoooo Mr nna furaha hapa hatareeee,Safi sana
Mlongo kwann uteseke? Kheeeeh mbna ndo kwanza maumivu yaana anzishwa. Hebu relaaaaaaxx.Mlianza kwa Mpole, mkafuata kwa Sopu, saa hii mpo kwa Sakho utadhani Simba ipo huko..!!
Una makombe mangapi ya Africa?Tunahangaika na vile vitu vinavyotambaliwa nje ya mipika ta Tanzania. Wewe baki unahangaika na NBC premier league huku wenzio tukiwaza jinsi ya kuwafikia wakubwa wenzetu barani Africa kama Al ahly, Wydad et al
Na linaenda kushindanishwa ktk record ya Dunia.CAF wanasema lile goli sio la dunia hii