thirteen06
Senior Member
- May 17, 2021
- 118
- 100
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ng'ombe wa Mayele bado yupo?Mara nyingi tuzo ya Goal bora huwa inaenda kwa wachezaji wanaocheza timu ndogo na ambazo hazijulikani duniani
Aisee 🐸 fc bhanaMara nyingi tuzo ya Goal bora huwa inaenda kwa wachezaji wanaocheza timu ndogo na ambazo hazijulikani duniani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vipi umeguswa wapi? Penyewee kabisaa au?Mara nyingi tuzo ya Goal bora huwa inaenda kwa wachezaji wanaocheza timu ndogo na ambazo hazijulikani duniani
Asante sanaPongezi kwa kijana wetu
Ni motisha kwake na timu kufanya vizuri zaidiAsante sana
Nawa ahidi kufunga matano mengine kama hayo msimu ujao
Hilo ni kweli na tulishalizungumza mara kibao kwenye nyuzi nyingi za updatesPamoja na yote dogo yuko OVERRATED sana naongea kama Shabiki kindaki wa Mnyama wanasimba wanataka kumfananisha na miqquison lakini dogo kuna namna anakwama sana uwanjani kwanza ni MCHOYO MNOOO wa PASI hasa akikalibia golini na matatzo kadhaa kama kulazimisha kupenya ndani ya Box naamini akiambiwa ukweli atabadilika na angekua hatari angekua ana walau goli 5 tu za ligi POVU ruksa
Wala hakuna mwenye povu na wee, maumivu yakizidi kamuone Daktarii. PoleeeeeeehPamoja na yote dogo yuko OVERRATED sana naongea kama Shabiki kindaki wa Mnyama wanasimba wanataka kumfananisha na miqquison lakini dogo kuna namna anakwama sana uwanjani kwanza ni MCHOYO MNOOO wa PASI hasa akikalibia golini na matatzo kadhaa kama kulazimisha kupenya ndani ya Box naamini akiambiwa ukweli atabadilika na angekua hatari angekua ana walau goli 5 tu za ligi POVU ruksa
Typical Tanzanian man, kwenye harusi unaleta habari za msiba!.Pamoja na yote dogo yuko OVERRATED sana naongea kama Shabiki kindaki wa Mnyama wanasimba wanataka kumfananisha na miqquison lakini dogo kuna namna anakwama sana uwanjani kwanza ni MCHOYO MNOOO wa PASI hasa akikalibia golini na matatzo kadhaa kama kulazimisha kupenya ndani ya Box naamini akiambiwa ukweli atabadilika na angekua hatari angekua ana walau goli 5 tu za ligi POVU ruksa
Wakwetu[emoji7][emoji3059][emoji3059][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Kumekuchaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!
Tumechukuaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!
Sakhoooooooooooooooooooooooooooooooooooo!!!!!!!!!
[emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]View attachment 2299257View attachment 2299258
Nakubaliana na wewePamoja na yote dogo yuko OVERRATED sana naongea kama Shabiki kindaki wa Mnyama wanasimba wanataka kumfananisha na miqquison lakini dogo kuna namna anakwama sana uwanjani kwanza ni MCHOYO MNOOO wa PASI hasa akikalibia golini na matatzo kadhaa kama kulazimisha kupenya ndani ya Box naamini akiambiwa ukweli atabadilika na angekua hatari angekua ana walau goli 5 tu za ligi POVU ruksa
Huko Bongo kumbe bado ni usiku muda huu?Jamani wana simba wenzangu tumpumzike sasa maana lile jambo letu limetimia.
Ninawatakia usiku mwema kwa hisani ya goli bora la dunia 2021/2022