Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Chukua kidole chako jitie mata. Koni kisha useme mimi ni zezetaMara nyingi tuzo ya Goal bora huwa inaenda kwa wachezaji wanaocheza timu ndogo na ambazo hazijulikani duniani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua kidole chako jitie mata. Koni kisha useme mimi ni zezetaMara nyingi tuzo ya Goal bora huwa inaenda kwa wachezaji wanaocheza timu ndogo na ambazo hazijulikani duniani
Kwa malimbukeni hilo mbona ulilosema linawezanaKwa kuwa wanasimba mwaka huu hatujapata kombe lolote,naomba uongozi wa simba hii tuzo ya Sakho tuifanyie trophy parade kutoka airport mpk ofisi za Simba pale Lampard electronics
Ili afrika ishangae kwa Trophy parade ya tuzo ya Sakho
Wa kwetu nina furahaaa mnoooo, [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Wakwetu[emoji7][emoji3059][emoji3059][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] badooo mbna utatapikaa kamasiii, ndo kwanzaaa kidondaa kibichiii, hata kutonoka hakijaanza.Kwa kuwa wanasimba mwaka huu hatujapata kombe lolote,naomba uongozi wa simba hii tuzo ya Sakho tuifanyie trophy parade kutoka airport mpk ofisi za Simba pale Lampard electronics
Ili afrika ishangae kwa Trophy parade ya tuzo ya Sakho
CHURA🐸🐸Pamoja na yote dogo yuko OVERRATED sana naongea kama Shabiki kindaki wa Mnyama wanasimba wanataka kumfananisha na miqquison lakini dogo kuna namna anakwama sana uwanjani kwanza ni MCHOYO MNOOO wa PASI hasa akikalibia golini na matatzo kadhaa kama kulazimisha kupenya ndani ya Box naamini akiambiwa ukweli atabadilika na angekua hatari angekua ana walau goli 5 tu za ligi POVU ruksa
Mshambuliaji wa Simba, Pape Ousmane Sakho amefanikiwa kushinda Tuzo ya Goli Bora la Mwaka katika Tuzo za Shirikisho la Soka la Afrika (CAF), Julai 21, 2022.
Tuzo hizo zimetolewa Rabat Nchini Morocco ambapo Sakho alikuwa akiwania nafasi hiyo dhidi ya Gabadinho Mhango wa Orlando Pirates na Zouhair El Moutaraji wa Wydad Athletic Club.
Sakho alilifunga bao hilo wakati #Simba ikishinda 3-1 dhidi ya ASEC Mimosas mchezo wa Hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kwenye Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam, Februari 13, 2022
Sawasawa, huku ni mida ya wale wenye technology ya asili kujimwambafai huku na kuleHuko Bongo kumbe bado ni usiku muda huu?
Anyway usiku mwema ila huku chicago bado ni mchana
Hili hapa hiliiiHistoria imewekwa na mchezaji wa Simba.
Simba imetajwa, miaka iliyopita Simba imefanya makubwa lakini wengi wanabeza.
Simba ni fahari ya Tz.
Sasa inapigwa vita.
Na katika ligi yetu goli bora la nani???
Weka kwanza video ya hicho kigoli chenyewe
Mbona umeyaita wewe hata kabla ya hiyo sikuMashabik wa simba wanafuraha sana furaha yao iko hivi
Mpole kuwa mfungaji bora
Hattrick ya Sopu
Manara kufungwa
Goli la sakho kuchanguliwa
Ila nawaambia 13.8.2022 maji mtaita mmaah
Furaha yenu wanayanga si Aziz KiMashabik wa simba wanafuraha sana furaha yao iko hivi
Mpole kuwa mfungaji bora
Hattrick ya Sopu
Manara kufungwa
Goli la sakho kuchanguliwa
Ila nawaambia 13.8.2022 maji mtaita mmaah
Tunahangaika na vile vitu vinavyotambaliwa nje ya mipika ta Tanzania. Wewe baki unahangaika na NBC premier league huku wenzio tukiwaza jinsi ya kuwafikia wakubwa wenzetu barani Africa kama Al ahly, Wydad et alMashabik wa simba wanafuraha sana furaha yao iko hivi
Mpole kuwa mfungaji bora
Hattrick ya Sopu
Manara kufungwa
Goli la sakho kuchanguliwa
Ila nawaambia 13.8.2022 maji mtaita mmaah
👏👏👏pongez sana kwake mwamba Ametuheshimisha sana wana simba sasa tunatembea vifua mbele🙏🙏Kama mlivyoona,na ndio imekuwa hivyo qenye maoni toeni wenye dukuduku pia semeni..
Ni senegal na simba sc.View attachment 2299281