Pape Sakho ashinda goli bora la mwaka CAF 2022

Pape Sakho ashinda goli bora la mwaka CAF 2022

Una makombe mangapi ya Africa?

Una muwaza Al Ahly na Wydad na kikosi cha kina Akpan na Onyango?

Soo Fun!
Aibuuu aibuuuuu jasho linakutoka kwa uzi usiokuhusuuu umeshupaza shingo itakatika. Wna utopolo wenzako wenye akili wanakushangaa unabishana na ukweli. Ushindi ni chochote kinachoshindaniw hivyo kwa hili la goli bora Simba ni mshindiii piga chafya utanue mapafu
 
Basi Hongereni kwa Treble mliyopata msimu huu

1.Ufungaji wa Mpole
2.Hattrick ya Sopu
3.Goal bora la sakho
 
.
FYPrJzuWYAAIeaH.jpg
 
Bila Simba Tanzania hauwezi kwenda kimataifa.
Vivaaa Simba
 
Simba sc imejiongezea thamani usiku,pengine hii ndo ilimfanya gsm atake klabu zote(akiwemo simba) wavae logo yake
GSM abaki na utopolo yakeee, hatumtakiiiiiiiii.
Myemeni koko wa mabatini Songea.

Byuti byuti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahyo makolo wana makombe mawili ya CAF msimu uliopita. Kombe la robo fainali na kombe la Sakho
Haswaaaaah!!!! Kwan ukiumia km hivi ni lazima upige kelele???
Finyia ndani kwa ndani. Wee wa kiume ujue.

Byuti byuti.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Gang la wachawi kama Hilo hakuna hasiyelijua mkuu, ukienda South Africa Unazungumzia Simba wanajua ndo Timu inayologa uwanjani tena bila aibu kuliko zote duniani.. Hadi imegongwa faini, kwa uchawi ule sidhani kama Kuna Timu Africa hii itakubali kucheza michuano ya CAF na Timu Chawi kama Simba.. Makolo mjiandae kukataliwa na Kila Timu Africa hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tulia ikuingie vizureeeee, na badoooooo
Mtatapika kamasi mbna. Siee tuko buzzy na tuzo yetu na haturingi wala nn.

Byuti byuti.
 
Back
Top Bottom