Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Mbususu amwachir nani?Hii ni magharibi, P amtumikie Mungu wa mbinguni badala ya wanadamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbususu amwachir nani?Hii ni magharibi, P amtumikie Mungu wa mbinguni badala ya wanadamu
"Pascal atajipambanua yeye ni mbunge kupitia CCM na si watanzania"hii statement yako imejaa chuki nyingi sana,kwani CCM sio ya watanzania...?Pascal Mayala(CCM) alipopata uwakili nilimuuliza kama atakuwa wakili wa wanaccm tu na mwanachadema ambaye siku zote ana hasira naye ataweza kumtetea? Swali langu lilitokana na dunia kuwa duara, tenda ulitendalo lakini kuna siku utakwama na kuwarudia unaowachukia.
Pasikali asiyewapenda wanachadema leo anawaomba watanzania wote(sijui kama wanachadema nao ni watanzania) bila kujali tofauti zao wamchangie pesa aweze kugombea ubunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki!
Huyu Paskali anachohitaji pesa tu za kumuwezesha kugombea ubunge tu na atakapoupata atawashukuru wanaccm na viongozi wake, Pascal atajipambanua yeye ni mbunge kupitia CCM na si watanzania, tukumbuke hii ni EAC.
Pascal ajue umchukiae kesho atakuja kukufaa na siasa hazihitaji chuki za binafsi.
Kwanza hata CCM yenyewe hawatampitisha kabisa . Yaani angejua kwamba CCM hawampendi asingeendelea kuwakumbatiaSasa mbona unachanganya CCM na serikali! Mimi nilidhani serikali ni mali ya wananchi na haitatokea hata nukta moja nchi kuwa haina serikali, alipoondoka mwingereza serikali haikuondoka ilibaki ila msimamizi aliondoka na akaingia msimamizi mwingine. Hofu yangu ni kuwa akipata hatawatambua watu wote isipokuwa wanaccm.
CCM ingekuwa ya watanzania isingewafanyia ukatili wasio wanaccm, imeua sana na kuwatia vilema wengi huku ikilikataza jeshi la polisi kuchukua hatua."Pascal atajipambanua yeye ni mbunge kupitia CCM na si watanzania"hii statement yako imejaa chuki nyingi sana,kwani CCM sio ya watanzania...?
BILIONEA SABODO AFARIKI DUNIA..Ni vile sisi wengine tukichangia kitu hatusemi, huu mchango ni moral support at personal level. Amini usiamini, japo mimi ni CCM lakini nachangia michango vyama vyote kama Sabodo!, tofauti zetu ni figures tuu, mwenzangu ni 6 figures mimi ni single or double digits!.
P