Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Watu wana sahau kuwa ile ni kazi kama nyingine.Paskali mbona sikuelewi, mtu anakuja hapa anasema baba na mama yako ni maafisa wastaafu wa usalama wa taifa, kisha wewe unampa dole! So proud!
Kule kuna walinzi wa viongozi, wahasibu, madereva, maafisa utawaka na utumishi.
Ni kwa vile awajitangazi kazi nzuri wanayolifanyia taifa.