Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
- Thread starter
- #21
Hata mimi nilipomuuliza kama anaweza kuwa Lakha huku mwenendo wake unamakandokando ya mtazamo wa upande mmoja, hajanijibu.uwakili wake wa juzjuz hapo hata roll number yake ya uwakili ni 10905 ambayo ni namba za mwishomwisho kwenye roll of Advocates na ndio maana nilimwambia siku moja humu jf aliposema wale malaya aka makahaba 19 kuwa ni wabunge halali akidai kuwa kufukuzwa kwao hakukufata sheria nikamuuliza swali moja kuwa hata kama sheria haijafatwa ukihukumiwa unabaki kuwa sio mhukumiwa au unakuwa muhukumiwa? swali hilo hadi leo hajawahi kulijibu na nilimshauri badala ya kutuletea notes humu jf za administrative law huku akielezea remedies wanazostahili kuwa ni certiorari na mandamus na nilimwambia kama anafikir ni rahis kuwatetea hao makahaba aende akajiunge na jopo la mawakili wao dhidi ya jopo la mawakili wa chadema then aonemtanange, therefore, all in all watakao mchangia ni mazezeta na mazombi ya ccm majambaz ya kura na sio mtu mwingine yoyoye.