Pascal Mayala from Cape to Mumbai, hadithi iliyojificha yasimuliwa

"Pascal atajipambanua yeye ni mbunge kupitia CCM na si watanzania"hii statement yako imejaa chuki nyingi sana,kwani CCM sio ya watanzania...?
 
Kwanza hata CCM yenyewe hawatampitisha kabisa . Yaani angejua kwamba CCM hawampendi asingeendelea kuwakumbatia
 
"Pascal atajipambanua yeye ni mbunge kupitia CCM na si watanzania"hii statement yako imejaa chuki nyingi sana,kwani CCM sio ya watanzania...?
CCM ingekuwa ya watanzania isingewafanyia ukatili wasio wanaccm, imeua sana na kuwatia vilema wengi huku ikilikataza jeshi la polisi kuchukua hatua.
 
BILIONEA SABODO AFARIKI DUNIA..

Bilionea na Mchumi maarufu nchini, Mustafa Jaffer Sabodo amefariki Dunia leo alfajiri akiwa nyumbani kwakwe, Masaki jijini Dar es Salaam.

"Mzee amefariki leo alfajiri akiwa nyumbani. Taratibu za mazishi zinaendelea na atazikwa katika makaburi yaliyoko mtaa wa Bibi Titi Mohamedi karibu na CBE," amesema Danstan.

Marehemu Sabado alizaliwa mkoani Lindi na alikuwa akifanya biashara katika nchi za Ufaransa, India, Kenya, Sudan, Nigeria, Zimbabwe na Tanzania.

Atakumbukwa kwa mchango wake ulioanzisha Mwalimu Nyerere Foundation National Lottery alipotoa msaada wa Sh milioni 800. Alihusika katika utoaji wa misaada kadhaa iliyohusisha kilimo, ujenzi wa visima na kusaidia wenye uhitaji.
Sabodo atazikwa leo saa 4:30 usiku.
Inna Lillahi wa inna ilaihi raji'un.
“We surely belong to Allah and to Him we shall return”
"Sisi sote ni wa Mola, na kwake tutarejea".

Paskali pia anakuaga!.
RIP Jaffar Sabodo.
 P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…