Pascal Mayalla adai Waziri Mpango alitumia muda mwingi katika kusifu alipowasilisha bajeti. Asema yeye siyo MATAGA na hatafuti uteuzi!

Ulitakaje? Akapige deki lami kama mnavyofanya nyinyi????
 
Kutumia dakika 60 za mwanzo kuongea vitu muhimu na kutumia dk 135 za mwisho kuongea vitu vya kitoto (kusifia kuliko pitiliza kama mapenzi ya zamani eti nikinywa maji nakuona kwenye glass) ni sawa na kutumia dakika zote 60+135 kuongea upuuzi kwasababu lazima dk 60 zitamezwa na ulichoongea mwishoni kwa dk135

Mtu makini Kama alihisi kusifia ndo bora zaidi na ndio kuna mambo mengi sana, angetumia dk 135 za mwanzo kuimba masifu ya mkuu na akamalizia ns dk 60 za mwisho kueleza vitu muhimu kwenye bajeti yake
 
Nimekuelewa bwashee!
 
Kuna anaeweza fafanua 'mataga' maana yake?

MATAGA NI KIFUPI CHA MANENO
MAKE TANZANIA GREAT AGAIN

Ni slogan ambayo kuna wehu wameiiga kutoka kwa utawala wa Trump, kule the Us wao slogan yao ni MAGA i.e MAKE AMERICA GREAT AGAIN.

Sasa wapambe wa Magufuli ili waweze kupata loophole ya upigaji wa fedha za Magufuli wakasema wabuni ki project cha propaganda kwa jina la MATAGA.

Malengo yake makuu ni
Kusifia chochote kinachofanywa na serikali be it kizuri au kibaya
Kuponda wale wote wenye mawazo mbadala mfano Chadema.
 
Raia wa Kenya kwa ujumla wao wapo smart, huwezi kuwafananisha na raia wa tanganyika walio kama misukule
 
Yes ukiongea utopolo dakika za mwisho hapo manake huo utopolo unaenda kufuta ata zile hoja chache ulizozitoa,ni bora angeanza na utopolo kisha aje kumaliza na hoja kwani hoja ndo zitabaki angalau
 
Hii kumfananisha binadamu na yesu , kumuomba Mungu amshukuru binadamu , kumsifia kuliko hata Muumba.
Ni Bora lingeanzishwa kanisa waanze kumuabudu ili tuelewe moja.
 
Kuna mbunge kujadili maisha binafsi ya Mbowe kama Mbowe. Na kuna maisha binafsi ya Mbowe kama KUB ambae ni kiongozi wa umma. Sasa kama kiongozi wa umma ndio anaruhusiwa kulewa chakari na kula bata na vimada, sijui kama inakubalika.
Huo ushaidi wa kulewa chakari uko wapi?unajua maana ya kulewa chakari wewe?
 
Star Tv ipo nyakati za mwisho hivi bado mnaiangalia tu! Hata watu wenye akili timamu hawawezi kuitikia mwaliko,imebaki inaokoteza hawa wehu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…