Chagu wa malunde mda mwingi yupo na wana ccm wenye IQ ndogo akina Livingston Lusinde unategemea nini hapoKwa uwezo wako wa akili, sitegemei uje na mawazo tofauti zaidi ya haya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chagu wa malunde mda mwingi yupo na wana ccm wenye IQ ndogo akina Livingston Lusinde unategemea nini hapoKwa uwezo wako wa akili, sitegemei uje na mawazo tofauti zaidi ya haya.
Mkuu unataka mie ndo nijibu swali lako au una muuliza huyo nilieye muuliza swali?Kwani mkulu hutumia pesa zake binafsi au pesa za watanzania?
Ulitaka wabunge waseme hakuna kilichofanyika? Wakati serikali imefanya makubwa ndani ya muda mfupi tu. Acha chuki zako wewe.Kwa uwezo wako wa akili, sitegemei uje na mawazo tofauti zaidi ya haya.
Unfortunately COVID-19 is not that fair.Taswira ya ishu ya Mbowe inaonesha namna Bunge lilivyo sheheni mautopolo wa kifikra, very absurd for Tanzania image, we need revised criteria for someone to qualify to contest for an MP seat. Do we really need to become rebels to reform the way we run our issues in TZ? Many of those MPs are womenizers why such nuisance with Mbowe private life?, I can really assume God punishing some of them to death before October,2020. Let's join hands for Mbowe regardless of our political affiliation, let's win smart and wisely. Our Mps portrayal is sowing pandemic for Tanzania.
Kuna mbunge kujadili maisha binafsi ya Mbowe kama Mbowe. Na kuna maisha binafsi ya Mbowe kama KUB ambae ni kiongozi wa umma. Sasa kama kiongozi wa umma ndio anaruhusiwa kulewa chakari na kula bata na vimada, sijui kama inakubalika.
Kwani alilewa akiwa bungeni kama Dr Kitwanga?
Kiongozi wa umma maisha yako yanamulikwa popote ulipo. Bungeni au uraiani. Ndio maadili ya viongozi yanatakiwa kuwa hivyo.
Hahahaha!!! yohana mbatizaji mpeleke taratibu huyo changudoa wa malunde, kumbuka ni mataga mwenzio!Kwahiyo kiongozi wa umma akilewa anajadiliwa bungeni!!
Acha upuuzi.Hahahaha!!! yohana mbatizaji mpeleke taratibu huyo changudoa wa malunde, kumbuka ni mataga mwenzio!
Alikuwa analewa ofisini ikulu mpaka anaanguka?Mbona che nkapa alikuwa analewa ikulu, hatujaona kumjadiri?
Ni katika mjadala wa waandishi kwenye kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari.
Pascal anasema bajeti ya nchi inatakiwa kuwasilishwa kitaaluma lakini juzi waziri wa fedha Dr Mpango ametumia muda mwingi katika kusifu ukilinganisha na kuifafanua bajeti.
Mwandishi Moses Methew alimpinga Pascal kwa madai kuwa Dr Mpango alizitumia vizuri dakika 60 za mwanzo hivyo hakuna ubaya wowote kutumia dakika 135 zilizobaki kusifiana.
Moses amesema hata Pascal Mayalla mwenyewe katika dakika 10 alizopewa kwenye mjadala huu ametumia dakika 7 katika kusifu na mgeni wake kamwachia dakika 3 tu.
Katika kujibu Pascal amedai yeye husifu kimantiki siyo kama wafanyavyo wale Mataga na wala hatafuti Uteuzi kama rafiki zake wa Jf wanavyomzushia.
Mwisho mwandishi Moses Methew amevilaumu vyombo vya habari na bunge kwa kutumia muda mwingi kujadili mambo binafsi na faragha za Mbowe.
Amesema inasikitisha kuona bunge zima linajadili " maisha binafsi " ya Mbowe kana kwamba Mbowe ndio bajeti ya serikali.
Source Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Tatizo ni kuwa hamtaki ukweli. Wabunge wamesifia kile ambacho wameona kwa macho yao. Hata kila mwananchi ni shahidi serikali ya awamu ya tano imefanya makubwa.Chagu wa malunde mda mwingi yupo na wana ccm wenye IQ ndogo akina Livingston Lusinde unategemea nini hapo
Imekuwa aibu kweli siku hizi uongozi wa nchi hii. Watu wamechoka na ukienda nchi za nje wanauliza siku hizi Tanzania mmekuwa kama mataifa mengine ya Afrika kuna nini? Nawajibu tuombeeni tafadhali.Akilewa chakarii alafu akadanganya amekanyagwa na watu wasiojulikana,kumbe alianguka baada ya kuteleza. Hiyo ni ishu nyingine.
Mbowe ni binadamu kama wewe tu na ana upande wake wa maisha ya mtaani. Mungu angetuonyesha maisha ya kila mmoja tungeshangaa sana na ndio maana Yesu aliwaambia wale waliomshitaki yule mwananmke mzinzi kuuwawa, kama kuna asiye na makando kando basi awe wa kwanza kurusha mawe na wote wakatawanyika na kumuacha yule mwanamķe. Vivyo hivyo na Mbowe anaupande wake wa maisha binafsi ambao hatuma haja ya kupoteza muda mwingi wa bunge kuyajadili. Vyombo vyetu vya uchunguzi vilete taarifa ya uchunguzi huru na si ile tayari ilitolewa na wanasiasa kule bungeni. Na kama kweli wanaushahidi kuwa Mbowe kadanganya dunia kuwa ameshambuliwa basi achukuliwe hatua kama taratibu zinavyotakà na si kuishia hapo tu kuwa Mbowe alilewa chakari. Polisi hawasemi Mbowe ameumia au la na ameumiaje kwa sababu hata mlevi ana haki ya kufurahia na kulindwa na vyombo vya dola. Kama amedanganya kuwa kapigwa wakati hakupigwa inafahamika kuwa hiyo ni jinai basi polisi wafungue mashitaka wakiwa na ushahidi. Si vyema polisi kujiingiza kwenye michezo ya kisiasa ya akina Ndugai.Kuna mbunge kujadili maisha binafsi ya Mbowe kama Mbowe. Na kuna maisha binafsi ya Mbowe kama KUB ambae ni kiongozi wa umma. Sasa kama kiongozi wa umma ndio anaruhusiwa kulewa chakari na kula bata na vimada, sijui kama inakubalika.
Yohana ni mataga? Mimi mataga siwajui.Ila hata aje vipi atatulia tu.Hahahaha!!! yohana mbatizaji mpeleke taratibu huyo changudoa wa malunde, kumbuka ni mataga mwenzio!
Kwa kiswahili sasa wengini tumishia kwa rasi simba[emoji23]Make Tanzania Great Again
Ya kaisari mwachie kaisari na ya Mungu muachie Mungu. Yeye kama kiongozi wa umma alipaswa aishi kwa mujibu wa maadili kama kiongozi wa umma.Mbowe ni binadamu kama wewe tu na ana upande wake wa maisha ya mtaani. Mungu angetuonyesha maisha ya kila mmoja tungeshangaa sana na ndio maana Yesu aliwaambia wale waliomshitaki yule mwananmke mzinzi kuuwawa, kama kuna asiye na makando kando basi awe wa kwanza kurusha mawe na wote wakatawanyika na kumuacha yule mwanamķe. Vivyo hivyo na Mbowe anaupande wake wa maisha binafsi ambao hatuma haja ya kupoteza muda mwingi wa bunge kuyajadili. Vyombo vyetu vya uchunguzi vilete taarifa ya uchunguzi huru na si ile tayari ilitolewa na wanasiasa kule bungeni. Na kama kweli wanaushahidi kuwa Mbowe kadanganya dunia kuwa ameshambuliwa basi achukuliwe hatua kama taratibu zinavyotakà na si kuishia hapo tu kuwa Mbowe alilewa chakari. Polisi hawasemi Mbowe ameumia au la na ameumiaje kwa sababu hata mlevi ana haki ya kufurahia na kulindwa na vyombo vya dola. Kama amedanganya kuwa kapigwa wakati hakupigwa inafahamika kuwa hiyo ni jinai basi polisi wafungue mashitaka wakiwa na ushahidi. Si vyema polisi kujiingiza kwenye michezo ya kisiasa ya akina Ndugai.
Tunaomba weledi upande wa watu wa usalama iliwaaminike.
Mbona mkulu kazaa na Shemeji yake watoto wawili na akamzawadia cheo cha ukurugenzi huko morogoro, wabunge wa ccm hawajadili hii? Wambie wajadili ya mkulu kumpiga mkewe akalazwa muhimbili, wajadili na michepuko ya wabunge wa ccm kwani file zao zipo chadema pia
Wewe unajifanya humjui kiongozi wa CCM anyevuta bangi na kugawa vyeo kwa vimada wake wengi hawana sifa zaidi ya kumvulia nguoKuna mbunge kujadili maisha binafsi ya Mbowe kama Mbowe. Na kuna maisha binafsi ya Mbowe kama KUB ambae ni kiongozi wa umma. Sasa kama kiongozi wa umma ndio anaruhusiwa kulewa chakari na kula bata na vimada, sijui kama inakubalika.
Hahahaha!!! yohana mbatizaji mpeleke taratibu huyo changudoa wa malunde, kumbuka ni mataga mwenzio!