mzee wa liver
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 83,441
- 431,885
Hahahahaha nchi ya viwonderPascal Mayalla hongera, Bora wamekuhoji, vipi, nauli Na hela ya kukaa Dodoma walikutumia kwa M Pesa au walikutumia lile Land Cruiser la Kiongozi wa Upinzani Bungeni kukuchukua?
Maisha Bongo is very interesting and adventure
Ndo sasa aamue tu kuwa wa moto au wa baridi, maana kumbe hata ukiwa wa uvuguvugu haisaidiiPole sana Pascali
Hata mda wa kubuni mbinu za kuididiimiza chadema na kuua upinzani kwa ujumla wanao lakini hawana mda wa kujadili Trillion.1.5 kisa aliyetafuna pesa ni Mtukufu malaika toka chato.Muda wa kumjadili malya wanao,lkn muda wa kujua ukweli wa 1.5 mln hawana
Katika nchi iitwayo TanzaniaHuu ujinga upo Africa tu.
Ni kweli!Si kweli
Kweli wewe ni ushuziPasco mayala anatafutiwa wilaya akawe katiba Tawala ama mkurugenzi apate kuiba pesa za Umma apate hati chafu afukuzwe na kurejea mbagala kuendeleza libeneke
cha ajabu waliomuita kumuhoji wanaonekana kama ndo wanaohojiwa.Kwa kumuangalia anaonekana kama ni mwenyekiti wa kikao na hana wasiwasi pia ana utayari wa kutetea hoja.
Dogo kama huna exposure bora ungekaa kimya tu!Huu ujinga upo Africa tu.
Umenikumbusha hadithi ya fisi na kufuatilia mkono wa binadamu akiamini utaanguka muda si mrefu! Ahahahahaha!CCM is dying slowly day by day.
Vitaumbwa vipya na nchi Zita geukaPenye ukweli uongo hujitenga mbele kwa mbele paskali kwa kuwa hujamtukana mtu!
1.5 ndo matumizi yake.Hivi wamemlipia nauli na posho?