Pascal Mayalla ahojiwa na kamati ya Bunge

Pascal Mayalla ahojiwa na kamati ya Bunge

Muda wa kumjadili malya wanao,lkn muda wa kujua ukweli wa 1.5 mln hawana
Hata mda wa kubuni mbinu za kuididiimiza chadema na kuua upinzani kwa ujumla wanao lakini hawana mda wa kujadili Trillion.1.5 kisa aliyetafuna pesa ni Mtukufu malaika toka chato.
 
Pasco mayala anatafutiwa wilaya akawe katiba Tawala ama mkurugenzi apate kuiba pesa za Umma apate hati chafu afukuzwe na kurejea mbagala kuendeleza libeneke
 
Hii midingi ilivyokaa inadhihirisha ni bunch of fools. Ila nini braza pasco we kaza mpaka waelewe sio watanzania wote ni vilaza Kama fisicm big up Sana.
 
Back
Top Bottom