johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
nmeshangaa kuona mkanganyiko huu, hapo sasa nmeelewa kuwa umekosea headingMods rekebisha heading ni 2025!
mwisho wa upumbavu mmoja ni mwanzo wa upumbavu mwingine. Maandalizi yanaanza mapema ya kupata ushindi wa asilimia 120.As if huu upuuzi uliopo hautoshi
Mnapanga mwingine 2025
Paul Makonda akiwa 'Rais' wa Tanzania kwa msaada wa 'Kijeshi' nilio na uhakika wa kuupata kutoka Uganda na Rwanda nitampindua haraka sana.Pascal Mayalla ni mwandishi wa habari nguli, mwanasheria na mchambuzi wa maswala ya siasa.
Wakati fulani siku za nyuma kupitia hapa JF alimtabiria Mkuu wa Mkoa mstaafu Paul Makonda kuwa mgombea urais wa JMT kupitia CCM 2025.
Kwa sababu mgombea urais wa JMT kupitia CCM 2020 atakuwa kijana, Je utabiri wa Pascal Mayalla utatimia?
Ngoja tuone.
Maendeleo hayana vyama!
Kwani kuna shida gani akijiita 'Rashidi' kama GwajimaNext si muislam makonda anaingia vip apo
Ah wapi! Mbona Jiwe umemshindwaPaul Makonda akiwa 'Rais' wa Tanzania kwa msaada wa 'Kijeshi' nilio na uhakika wa kuupata kutoka Uganda na Rwanda nitampindua haraka sana.
Nitamshindwaje Mtu ambaye 'Watutsi' tumemuweka hapo alipo sasa na hata 'Misaada' mingine ya 'Siri' tunampa? Tanzania iko mikononi mwetu tu.Ah wapi! Mbona Jiwe umemshindwa
Usiwaamini wanasias na maaskofu ambao wapo tayari kubadili majina yao ili kutimiliza matakwa yaoHuyu alishafutwa kwenye ulimwengu wa siasa Dr bishop Rashid