Pascal Mayalla alimtabiria Paul Makonda kuwa mgombea urais wa CCM 2025. Je, unabii wake utatimia?

Pascal Mayalla alimtabiria Paul Makonda kuwa mgombea urais wa CCM 2025. Je, unabii wake utatimia?

Pascal Mayalla ni mwandishi wa habari nguli, mwanasheria na mchambuzi wa maswala ya siasa.

Wakati fulani siku za nyuma kupitia hapa JF alimtabiria Mkuu wa Mkoa mstaafu Paul Makonda kuwa Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM 2025.

Kwa sababu mgombea urais wa JMT kupitia CCM 2020 atakuwa kijana, Je utabiri wa Pascal Mayalla utatimia?

Ngoja tuone.

Maendeleo hayana vyama!
Kwa trend hii ya sasa, by 2025 "mabeberu" watakuwa tayari washatuvuruga siku nyingi.... hapo itakuwa hakuna cha CCM wala Chadema!
 
CCM itakuwepo bwashee labda Chadema ndio itakufa!
You're right!!

20201107_150129.jpg
 
CCM pamoja na madhaifu yao hawawezi kufanya huu ugoro. To even think and predict (prophesize in Rashid Gwajima’s World) kwamba Bashite anaweza kusimamishwa ni kuonyesha jinsi gani nafasi ya urais mnavyoidharau na hamjui msemalo

Urais ni taasisi nyeti na sio every Tom, Dick and Harry wanaweza kuutwaa. Kawaulizeni kina Malecela, Membe, Seif Sharif et al.
 
CCM pamoja na madhaifu yao hawawezi kufanya huu ugoro. To even think and predict (prophesize in Rashid Gwajima’s World) kwamba Bashite anaweza kusimamishwa ni kuonyesha jinsi gani nafasi ya urais mnavyoidharau na hamjui msemalo

Urais ni taasisi nyeti na sio every Tom, Dick and Harry wanaweza kuutwaa. Kawaulizeni kina Malecela, Membe, Seif Sharif et al.
Kuna ugoro gani ambao hawajafanya mpaka sasa? Wala hili halitashangaza tena! Lengo lao hawa sio ustawi wa taifa na watu wake la hasha! Lengo ni wao kubaki kwenye madaraka tu at any cost!
 
Bwashe unamaanisha Pascal huyuhuyu aliyeshindwa kujitabiria kushindwa na Bahati kule Kawe?

halafu na ww unafilisika mawazo kama Pascal...Bashite kweli aje kuwa rais.!?

au unamaanisha kuwa rais,kama Madee alivyo rais wa Manzese ama Mond rais wa WCB.?
Kwa nchi hii namna Rais ambavyo ni sheria na kila kitu hapa TZ, basi hata huo utabiri ingawa kwa wengi wataona ni "next to impossible" lakini inawezekana.

Hivi ni nani angeweza kutabiri kuwa katika uchaguzi wa mwaka huu, vigogo wote wa upinzani, akina Freeman Mbowe, Godbless Lema, Peter Msigwa, John Heche, Halima Mdee, Profesa Jey na Sugu, wote hao wangeanguka kwenye nafasi ya ubunge katika uchaguzi huu?

Hata CCM wakisimamisha "Kuku" katika uchaguzi ujao, mbele ya Tume hii inayoongozwa na makada watiifu wa CCM, ni lazima CCM ishinde, tena kwa kishindo kikubwa sana.

Wapinzani wasipodai Tume huru, basi hakika kama wasemavyo wenyewe CCM kuwa chama Chao kitatawala milele na milele!
 
Uchaguzi umeisha tunawaza siasa, uchaguzi unakaribia siasa, uchaguzi unafika siasa.

NB: Siasa namaanisha siasa chafu.

Lini tutajadili kurusha rocket & satellite, kuunda vinu vya kurutubisha nuclear, kwenda mwezini na kuunda manowari?
Utawazaje kurusha rocket mkuu wakati huna uhakika wa kula
warusha rocket walishasahau matatizo madogo madogo kama tulio nayo
Huwezi kufika 10 kabla ya moja
 
Back
Top Bottom