Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Hebu tuwekeeni kesi ambazo mayalla amewahi kuzisimamia maana Naskia ni mwanasheria nguli
Ova
Hamna lolote ni mjanja fulani wa mjini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu tuwekeeni kesi ambazo mayalla amewahi kuzisimamia maana Naskia ni mwanasheria nguli
Ova
Kwa trend hii ya sasa, by 2025 "mabeberu" watakuwa tayari washatuvuruga siku nyingi.... hapo itakuwa hakuna cha CCM wala Chadema!Pascal Mayalla ni mwandishi wa habari nguli, mwanasheria na mchambuzi wa maswala ya siasa.
Wakati fulani siku za nyuma kupitia hapa JF alimtabiria Mkuu wa Mkoa mstaafu Paul Makonda kuwa Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM 2025.
Kwa sababu mgombea urais wa JMT kupitia CCM 2020 atakuwa kijana, Je utabiri wa Pascal Mayalla utatimia?
Ngoja tuone.
Maendeleo hayana vyama!
CCM itakuwepo bwashee labda Chadema ndio itakufa!Kwa trend hii ya sasa, by 2025 "mabeberu" watakuwa tayari washatuvuruga siku nyingi.... hapo itakuwa hakuna cha CCM wala Chadema!
Hahahaaaa....... Karibu kwa Mkapa!Makonda ni kama taifa stars
You're right!!CCM itakuwepo bwashee labda Chadema ndio itakufa!
Mkuu msamehe! Au mpuuzie hahahaha.Oya 'nitakuchenjia' sasa hivi sawa?
Kupata burudani mubasharaHahahaaaa....... Karibu kwa Mkapa!
Mkuu bora hata hivyo, je wakisema wanaendelea mingine tenaAs if huu upuuzi uliopo hautoshi
Mnapanga mwingine 2025.
Kwani huyu aliepo anazo?Hana sifa za uongozi yule.
Toka aingie huyu dubwana...hakuna utaratibu unaofuatwa. Kinachofuatwa ni linavyojiskia hili dubwana kifanywe ndio hufanywa!Next si muislam makonda anaingia vip apo
Mkuu alipata kura 1 tu ya kwake! Mbwebwe zote za kura za maoni kuonyeshwa uhuru na uwazi na baadae wakaishia kuvuruga uchaguzi mkuu! watu hawa ni bure kabisa!Ahaaa ahaaa, yeye aliweza kuwatabiria wenzake lakini akashindwa kutabiri kuwa atapata kura 2 za wajumbe?
Kuna ugoro gani ambao hawajafanya mpaka sasa? Wala hili halitashangaza tena! Lengo lao hawa sio ustawi wa taifa na watu wake la hasha! Lengo ni wao kubaki kwenye madaraka tu at any cost!CCM pamoja na madhaifu yao hawawezi kufanya huu ugoro. To even think and predict (prophesize in Rashid Gwajima’s World) kwamba Bashite anaweza kusimamishwa ni kuonyesha jinsi gani nafasi ya urais mnavyoidharau na hamjui msemalo
Urais ni taasisi nyeti na sio every Tom, Dick and Harry wanaweza kuutwaa. Kawaulizeni kina Malecela, Membe, Seif Sharif et al.
Kwa nchi hii namna Rais ambavyo ni sheria na kila kitu hapa TZ, basi hata huo utabiri ingawa kwa wengi wataona ni "next to impossible" lakini inawezekana.Bwashe unamaanisha Pascal huyuhuyu aliyeshindwa kujitabiria kushindwa na Bahati kule Kawe?
halafu na ww unafilisika mawazo kama Pascal...Bashite kweli aje kuwa rais.!?
au unamaanisha kuwa rais,kama Madee alivyo rais wa Manzese ama Mond rais wa WCB.?
CCM ilishajizika mbona ... kilichobaki ni genge la majambazi limepora jina la 'CCM'.CCM itakuwepo bwashee labda Chadema ndio itakufa!
Utawazaje kurusha rocket mkuu wakati huna uhakika wa kulaUchaguzi umeisha tunawaza siasa, uchaguzi unakaribia siasa, uchaguzi unafika siasa.
NB: Siasa namaanisha siasa chafu.
Lini tutajadili kurusha rocket & satellite, kuunda vinu vya kurutubisha nuclear, kwenda mwezini na kuunda manowari?