Pascal Mayalla alimtabiria Paul Makonda kuwa mgombea urais wa CCM 2025. Je, unabii wake utatimia?

Pascal Mayalla alimtabiria Paul Makonda kuwa mgombea urais wa CCM 2025. Je, unabii wake utatimia?

Bashite Awe Raisi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], Then I'll Be Monkey's Uncle!!!!!!!!
 
Uchaguzi umeisha tunawaza siasa, uchaguzi unakaribia siasa, uchaguzi unafika siasa.

NB: Siasa namaanisha siasa chafu.

Lini tutajadili kurusha rocket & satellite, kuunda vinu vya kurutubisha nuclear, kwenda mwezini na kuunda manowari?
Mkuu, katika watu walio ongea wewe umenena, shkamoooo mkuu[emoji120][emoji120][emoji120][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Pascal Mayalla ni mwandishi wa habari nguli, mwanasheria na mchambuzi wa maswala ya siasa.

Wakati fulani siku za nyuma kupitia hapa JF alimtabiria Mkuu wa Mkoa mstaafu Paul Makonda kuwa Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM 2025.

Kwa sababu mgombea urais wa JMT kupitia CCM 2020 atakuwa kijana, Je utabiri wa Pascal Mayalla utatimia?

Ngoja tuone.

Maendeleo hayana vyama!
Mtuondolee hizi ramli chonganishi. Kupewa ukuu wa mkoa tu, tulikoma. Ndio awe Rais wa Tanzania?
 
Huko Lumumba huwa hamuwazi kitu kingine zaidi ya madaraka? Kwa usije na uzi wa namna ya kuifanya Tanzania Developed country? Vijiji vyote karibia elfu 20 viwe na umeme, maji ya bomba, kituo cha afya kila kijiji, barabara za lami kuunganika kila Kata. Kila kijiji kiwe na sekondari, kila kata iwe na chuo cha VETA, kiwanda cha Sido, Hispita ya Rufaa, TV na Redio ya Kata.... Kwa nini hamuwazi hayo? Ni ufinyu wa akili au ni nini hasa? Yaani hata mwezi hatujamaliza toka tumalize uchaguzi, yaani hata baraza la mawaziri halijaundwa ili waanze kutekeleza ahadi na ilani za uchaguzi, tayari mnawaza next election. Vichwani mmejaza nini?? Funza au ni nini hasa?? Halafu kwa nini usijiwazie wewe mwenyewe kuwa basi huyo rais wa 2025 badala yake unamuwazia mwenzio?? Wewe huna unachokiweza zaidi ya kujipendekeza kwa binadamu wenzio??
 
Pascal Mayalla ni mwandishi wa habari nguli, mwanasheria na mchambuzi wa maswala ya siasa.

Wakati fulani siku za nyuma kupitia hapa JF alimtabiria Mkuu wa Mkoa mstaafu Paul Makonda kuwa Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM 2025.

Kwa sababu mgombea urais wa JMT kupitia CCM 2020 atakuwa kijana, Je utabiri wa Pascal Mayalla utatimia?

Ngoja tuone.

Maendeleo hayana vyama!
Hivi sumu ya panya unaweza kuinywa na maziwa
 
Pascal Mayalla ni mwandishi wa habari nguli, mwanasheria na mchambuzi wa maswala ya siasa.

Wakati fulani siku za nyuma kupitia hapa JF alimtabiria Mkuu wa Mkoa mstaafu Paul Makonda kuwa Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM 2025.

Kwa sababu mgombea urais wa JMT kupitia CCM 2020 atakuwa kijana, Je utabiri wa Pascal Mayalla utatimia?

Ngoja tuone.

Maendeleo hayana vyama!
rais wa jmt ni dr mwinyi mda utasema we subiri🤔
 
Paul Makonda akiwa 'Rais' wa Tanzania kwa msaada wa 'Kijeshi' nilio na uhakika wa kuupata kutoka Uganda na Rwanda nitampindua haraka sana.
Toka lini ukawa kinyume na chama.? Hata akipitushwa mtainamisha vichwa chini na kuunga mkono.

Hakuna mwenye jeuri zaid ya maneno ya mitandaoni ambay wakati ukifika tuna ZIMAA.
 
Mada inathibitisha Watanzania tulivyo wajinga..
Ni Ujinga wa kiwango cha juu kudhania kwamba katika Watanzania wote milioni 55 na zaidi mwenye sifa ya Ujana ni Makonda..
Ujinga.
 
Pascal Mayalla ni mwandishi wa habari nguli, mwanasheria na mchambuzi wa maswala ya siasa.

Wakati fulani siku za nyuma kupitia hapa JF alimtabiria Mkuu wa Mkoa mstaafu Paul Makonda kuwa Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM 2025.

Kwa sababu mgombea urais wa JMT kupitia CCM 2020 atakuwa kijana, Je utabiri wa Pascal Mayalla utatimia?

Ngoja tuone.

Maendeleo hayana vyama!
RAIS AJAYE NI MUISLAM HII NI KUHESHIMU UTAMADUNI TULIOJIWEKEA WATANZANIA, HAIJAANDIKWA LAKINI TUMERITHI TOKA KWA NYERERE NA WALIOFUATA
 
Back
Top Bottom