mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Bashiru amekitendea haki Sana Chama cha mapinduzi na kukitoa katika meno ya wenye meno!! Ila sina uhakika yeye mwenyewe alikuwa safi kiasi gani? Tatizo liko hapo! Ila huwezi kujua mahesabu ya mama! Kwa kuchaguliwa kuwa mbunge, kutokea hapo anaweza kupaishwa nafasi yoyote hata kuwa PM Nani ajuaye? Ila wapigaji ndani ya Chama hawana hamu naye!Ni maono ya ndugu yetu Pascal Mayalla kwa ndugu Bashiru. Na ana amini Bashiru alikua chaguo sahihi kwa nchi ila alichukiwa na wengi ndani ya CCM sababu alitoka from nowhere, ila alikua kipenzi cha Mwendazake
RAMLI ya Mayalla haina macho ni kipofu, haioni mbele!!! Jamaa katafuta uteuzi kwa mbinu zote akaambulia patupu!Paschal hana jipya ni njaa tu inamsumbua hajui hata anafanya nini hapa duniani
😀😀😀😀Pascally huyu huyu alidai Makonda ndio raia wa 2025, njaa mbaya sana
Too cheap and unthinkable. Eti Bashiru awe rais? Kwani presidential materials zimekwisha kweli? Acheni matusi ya nguoni jamani wanangu.Mwana JF nguli, Akihojiwa Radio DW Pascal Mayala, amemchambua Dr Bashiru. Amesema Dr Bashiru kapata ajali kubwa sana kisiasa na hatoinuka tena. Pia kadai Magufuli amiini usiamini alikuwa akimwandaa Dr Bashiru kuwa Rais 2025.
Mayala amedai Dr Bashiru aliyeibukia kuwa Katibu Mkuu wa CCM baada ya kuhakiki Mali za chama hicho alichukiwa mno kutokana na style yake ya uongozi.
Amesema amekinyoosha mno chama hadi kupitiliza na kusababisha kuchukiwa mno kuliko Katibu Mkuu yeyote katika Historia ya CCM. Pia amedai Dr Bashiru ni mjamaa mno au Mnyerere na Marehemu Magufuli alimkubali na kumpenda Sana na alipanga kumuachia Urais 2025.
Mayala amedai pia haoni njia ya Bashiru kufufuka tena kisiasa na ndiyo hivyo Mama Samia Suluhu ameshampoteza na Wana CCM wamefurahi mno.
Amesema kwa uhakika utawala wa Mama Samia Suluhu atakuwa Rais mzuri Sana kuliko Rais Magufuli.
Source: Radio DW Swahili, Leo mchana saa Saba, 01/04/2021.
Pascally huyu huyu alidai Makonda ndio raia wa 2025, njaa mbaya sana
Msamehe! Hakuna aliye mjanja mbele ya njaa!! Hivi ungeweza kuamini Dr mihogo kugeuka kuwa upande mmoja na kijani? Kisa njaa!! Njaa ilimlazimisha Profesa Li(pu*ba) kutengua barua ya kujiuzulu! kisa atumiwe kusambaratisha kafu na mkono uweze kwenda kinywani!!Sijawahi kumwelewa huyo Pascal Mayalla wenu, kimsingi ni very poor analyst na ana mihemko sana
umenena yalio ya kweli kabisa..Na wote tuseme Amina
Lakini Paskali uwiiii ameshindikana kheee
Huu undumilakuwili ni dhahiri hana amani ndani ya moyo. Leo wa kusema Mama ni mzuri sijui bora kuliko aliyemtangulia?! Huu ni Unafiki Uchawi wa kupitiliza. Kwa nini hakukaa kimya kujiheshimu kuliko kujitengenezea maadui
Paskali punguza misifa isiyo ya lazima
Ulaghai dah
Usimtegemee Mwanadamu leo weye wa kumponda Magu ! Dunia inaenda mbio sana
Paskali muombe sana Mungu akufunulie msaidie na mwenzako msando wote mko na tatizo kwenye mioyo yenu
Pasaka Njema
Samahani mkuu ,2025 si mama anaendelea au ?Oh yes, Pascal anaweza ku-somersault au ku-loop like hydra
What a bunch of crap!!! Hata aibu huna - hizi Mickey Mouse stories unazo tuletea hapa umezitunga tu kutaka kufurahisha baraza.
FYI rabid hatred zenu kuhusu Dk.Bashiru hazitawafikisha popote,labda niwakumbushe kitu - leo hii tumeshuhudia standing ovation wakati Dk.Bashiru anakwenda kula kiapo Bungeni - what does that tell you? Ni wazi anakubalika kwa wana CCM ndani na nje ya Bunge pamoja na uraiani - kundi linalo mchukia Bashiru lina kuwa driven na kuogopa msimamo wake wa kiitikadi ambao hauna tofauti na JPM na Baba wa Taifa vile vile zoezi lake la kunusuru mali za CCM zilizo kuwa zimeporwa na kumilikishwa na mafisadi papa ndani ya Chama tawala hao ndio wamepania kumukomoa kwa kumjengea hoja zisizo kuwa na mantiki - akili zao zipo kwenye chaguzi za 2025 wanaona wamu-cut to size kabla ya 2025 kwa kuwa anaonekana atakuwa tishio kwenye kinyanganyilo come 2025, ukiwa na jicho la tatu utagunduwa kwamba hilo ndilo ni bone of contention mengine ni danganya toto tu.
Sorry, I should've said 2030 - wenye matatizo ni wapambe and has been, come 2025 Iron lady ata sail through unopposed should she decided to seek a second term.Samahani mkuu ,2025 si mama anaendelea au ?
Anasema wale woooote waliokejeli afya yake watatangulia wao na yeye atawazika. Habari hii aione yule wa bao la mkono na yule anayependekeza uvutaji bangi uhalalishwe,wajiandae.Kwani mzee Mamvi anasemaje??
"Aliandaliwa kuwa Rais", inazidi kuthibitika sio wananchi wanaoamua nani awe Rais wa hii nchi, ni kikundi kidogo cha watu ndio kinatuchagulia Rais wamtakaye.
Watanzania tunahitaji Katiba Mpya sasa kuliko wakati mwingine wowote.
Mayalla alipiga kelele kwa Magufuli mpaka akachoka akanyamaza alipoona jamaa hana habari nae, naona amegeuza mapambio yake upande wa pili wa mama ajaribu bahati yake.
Hayati alitaka kuendeleza ukanda, afadhali hatunaye.Mwana JF nguli, Akihojiwa Radio DW Pascal Mayala, amemchambua Dr Bashiru. Amesema Dr Bashiru kapata ajali kubwa sana kisiasa na hatoinuka tena. Pia kadai Magufuli amiini usiamini alikuwa akimwandaa Dr Bashiru kuwa Rais 2025.
Mayala amedai Dr Bashiru aliyeibukia kuwa Katibu Mkuu wa CCM baada ya kuhakiki Mali za chama hicho alichukiwa mno kutokana na style yake ya uongozi.
Amesema amekinyoosha mno chama hadi kupitiliza na kusababisha kuchukiwa mno kuliko Katibu Mkuu yeyote katika Historia ya CCM. Pia amedai Dr Bashiru ni mjamaa mno au Mnyerere na Marehemu Magufuli alimkubali na kumpenda Sana na alipanga kumuachia Urais 2025.
Mayala amedai pia haoni njia ya Bashiru kufufuka tena kisiasa na ndiyo hivyo Mama Samia Suluhu ameshampoteza na Wana CCM wamefurahi mno.
Amesema kwa uhakika utawala wa Mama Samia Suluhu atakuwa Rais mzuri Sana kuliko Rais Magufuli.
Source: Radio DW Swahili, Leo mchana saa Saba, 01/04/2021.
Jamaa kanjanja sanaPascally huyu huyu alidai Makonda ndio raia wa 2025, njaa mbaya sana
NjaaaHalafu huyu mayalla mbona huwa haeleweki. Nini kimemchanganya namna hii?
Baada ya hayati kumdhalilidha pale ikulu na ndugai kumtisha tisha kule bungeni akayumba kabisaHayati: 'Sisi kule kwetu Mayalla maanake ni njaa'