Pascal Mayalla: NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama lilivyo bunge na mahakama kwa sababu vyote hivi msingi wake ni Rais

Pascal Mayalla: NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama lilivyo bunge na mahakama kwa sababu vyote hivi msingi wake ni Rais

Pascal Mayala ni mwanasheria nguli?

Basi sawa [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwandishi mkongwe na mwanasheria nguli Pascal Mayalla amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama zilivyo Mahakama na Bunge.

Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba.

Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani na amemtaka mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe zamu yake ikifika aende bila kuweka masharti yoyote.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwandishi mkongwe na mwanasheria nguli Pascal Mayalla amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama zilivyo Mahakama na Bunge.

Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba.

Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani na amemtaka mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe zamu yake ikifika aende bila kuweka masharti yoyote.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!
yuko sawa
kwa mujibu wa katiba livyo.
 
Mwandishi mkongwe na mwanasheria nguli Pascal Mayalla amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama zilivyo Mahakama na Bunge.

Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba.

Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani na amemtaka mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe zamu yake ikifika aende bila kuweka masharti yoyote.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!

PM yupo sawa kabisa..kwa misingi ya katiba iliyopo katiba inaruhūsu....so rais yupo sawa...kama tunataka manadiliko lazima tupiganie mabadiliko ya katiba...hapo tutashinda...ila kwa katiba iliyopo hamna namna...
 
Kwa hiyo naye kishawekwa kwenye kundi la wanawake?? Namwonea huruma sana Paskali. Nasema ukweli; Nilikuwa shabiki wake sana. Hakuna uzi alioandika/changia nikaacha kuzoma kila neno. Mwanzoni alikuwa poa sana, mtema nondo kweli kweli. Alipoona kuwa asipojikomba atasahaulika; na hii ndio kweli. Akaanza kujikomba komba hadi kusema/kuandika kikolomije angaloa akumbukwe. But, it's too late Pascal. No more nominations labda usali sana wapunguzwe na kifo

Kaka hamna mahali PM alipokosea mbona...labda nakushauri urudie andiko hapo juu utaelewa...katiba tuliyonayo inampaka nguvu kuna raisi...so chochote anafanya ama kuamua..ni katiba inampa hiyo nguvu...sasa mpango mzima siyo kumvimbia PM ila ni kupigania katiba mpya..itakayo mpunguzia nguvu preseee
 
Pascal Mayala ni mwanasheria nguli?

Basi sawa [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

Pascal Mayala alishakuwa compromised na ukabila, yeye kila kitu ni Magu-focused. Anajitahidi kweli kujipendekeza lakini nashangaa mpaka sasa kwa nini Magu hampi hata ukuu wa idara fulani...

Tukirudi kwenye hoja yake mfu, kudai kwamba kila kitu katika muundo wetu wa utawala Ni Rais, Ni sawa na kuhitimisha kuwa tuna utawala wa kifalme, ambapo mfalme ndiyo msingi wa kila kitu.

This is a very dangerous assertion. Kumbe ndiyo maana jamaa ana act kama mfalme wa nchi, na chama chake wanajiona watawala milele...

Tuamke!
 
Huyo Mayalla mpuuzi kweli, eti anamtaka Mbowe siku yake ikifika aende bila kuweka masharti, nani kamwambia Mbowe atakuwa na masharti? Mayalla ni mnafiki sana, anajipendekeza kwa watawala tena akiwa studio za Star Tv ambayo mmiliki wake ni kiongozi wa CCM Mwanza.

Mayalla katamka huo upuuzi ili Mbowe asipoitwa/kwenda ikulu ionekane Mbowe aliweka masharti, hata kama Mbowe hataitwa/kupewa mualiko. Mayalla ni wa hovyo sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani kuna kitu watz hatuelewi sijui au pengine kweli wengi wewe ni mambumbu...kuna vitu presee anafanya siyo kwa mabavu bali katiba inampa hiyo nguvu...na ndo namna wanasiasa wengi hukimbilia mahakamani kuomba ufafanuzi kisheria...so kila kitu lazima tupinge..wakati mwingine busara tu itumike...PM anasifu kazi ya raisi kwa sababu ni kweli anasimamia katiba aliyoapa kuilinda...au wenzetu mnakatiba nyingine...

Ndio maana taasisi yoyote lazima iwe na ama katiba,memart au by-law za kuziongoza ili kuweza kuweka mipaka ya nguvu za viongozi...Nchi nayo ni taasisi na ndio maana tuna katiba
 
Hahahaaaaaa........ Mpingeni Pascal kwa hoja makamanda!
Wewe unaona kuna hoja hapo? Huyu ameongea kwa kujitoa ufahamu, na hajafanya kwa bahati mbaya.

Hivi mtu wewe ukimwambia kuwa Tanzania ipo Ulaya, halafu yule mtu akakujibu, 'acha upuuzi', unaweza kumjibu huyo mtu, ajibu hoja?
 
Mwandishi mkongwe na mwanasheria nguli Pascal Mayalla amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama zilivyo Mahakama na Bunge.

Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba.

Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani na amemtaka mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe zamu yake ikifika aende bila kuweka masharti yoyote.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Huyu Paskal ni nani katika Siasa za Tanzania? Ndio huyo anaombewa teuzi kwenye Mitandao? Watanzania sio Wapumbavu Wanataka Tume Huru

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom