Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Pascal Mayala ni mwanasheria nguli?
Basi sawa [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi sawa [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwandishi mkongwe na mwanasheria nguli Pascal Mayalla amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama zilivyo Mahakama na Bunge.
Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba.
Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani na amemtaka mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe zamu yake ikifika aende bila kuweka masharti yoyote.
Source Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Sent using Jamii Forums mobile app