Pascal Mayalla: NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama lilivyo bunge na mahakama kwa sababu vyote hivi msingi wake ni Rais

Pascal Mayalla: NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama lilivyo bunge na mahakama kwa sababu vyote hivi msingi wake ni Rais

Mwanasheria kanjanja!!!, Toka lini Bunge likawa NI chimbuko la rais?? NI mtu mwenye njaa tu anaweza kukubal upuuzi wa huyu snitch manjaaaa. Bashiru ashasema ccm wanashinda kwakutumia vyombo vya dola
 
akili za pascal na mdomo wake vinapingana kwajili ya hofu
huyu mwanaume namfahamu vizuri si mjinga kiasi hiki awamu hii kuna watu wameamua kujidhalilisha ili kutetea uhai wao na Paskali ni mmoja wao
 
Mwandishi mkongwe na mwanasheria nguli Pascal Mayalla amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama zilivyo Mahakama na Bunge.

Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba.

Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani na amemtaka mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe zamu yake ikifika aende bila kuweka masharti yoyote.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!
 
Yaani huyo dogo Paskali huwa namuangalia nachoka kabisa, nimemuangalia asubuhi Star TV anasema tume ni huru lakini sio shirikishi, na huwa anasema hivyo kila mara hapa jukwaani! Lakini hajawahi kusema hiyo tume huru kuwa shirikishi inakuwaje. Anasema mahakama na bunge pia zipo huru na tumekubali, sasa sijui amekubali yeye na nani kuwa bunge na mahakama ni taasisi huru. Huwa ninajiuliza hivi unawezaje kutoka nyumbani kwako unaenda kwenye kipindi cha televisheni ili kupotosha kwa ajili ya kusaka maslahi binafsi? Halafu nikawa namuangalia alivyonenepa nikaishia kuwadharau watu wanene.
 
Mwandishi mkongwe na mwanasheria nguli Pascal Mayalla amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama zilivyo Mahakama na Bunge.

Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba.

Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani na amemtaka mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe zamu yake ikifika aende bila kuweka masharti yoyote.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Nia yake imekuwa kujaribu kuandika kwa kuwaridhisha tu watawala ili angalau wamuone kwenye teuzi zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo naye kishawekwa kwenye kundi la wanawake?? Namwonea huruma sana Paskali. Nasema ukweli; Nilikuwa shabiki wake sana. Hakuna uzi alioandika/changia nikaacha kuzoma kila neno. Mwanzoni alikuwa poa sana, mtema nondo kweli kweli. Alipoona kuwa asipojikomba atasahaulika; na hii ndio kweli. Akaanza kujikomba komba hadi kusema/kuandika kikolomije angaloa akumbukwe. But, it's too late Pascal. No more nominations labda usali sana wapunguzwe na kifo
Hata mi namwonea huruma sana huyu P sijui alikutana na nini kule kwenye kamati yaani amegueka degree 180 bora aachane kabisa na politiki, awe anajielimisha tu komenti za watu kama akina sisi. Kuna tofauti kubwa P wa kabla ya kamati na baada.

Huenda ameahidiwa post au alipata kitisho kilichomchanganya kabisa au aliambia nenda zako tumekusamehe ila "tunakuangalia".
 
"Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba."

Binafsi yangu kwenye uchambuzi wa masuala ya siasa hua namkubali sana pascal Mayala kutokana na kutofungamana kwake na chama chochote cha siasa.

Sent from my DUB-LX1 using Tapatalk
 
Paskali hakuna mtu anahitaji hizo likes zako hapa jukwaani, tunataka utuambia tume ni huru lakini sio shirikishi unaamaanisha nini. Na shirikishi inakuwaje. Tuna likes za kutosha hapa jukwaani, tunahitaji maelezo yaliyonyooka sio likes zisizo na mpango.
 
Yaani huyo dogo Paskali huwa namuangalia nachoka kabisa, nimemuangalia asubuhi Star TV anasema tume ni huru lakini sio shirikishi, na huwa anasema hivyo kila mara hapa jukwaani! Lakini hajawahi kusema hiyo tume huru kuwa shirikishi inakuwaje. Anasema mahakama na bunge pia zipo huru na tumekubali, sasa sijui amekubali yeye na nani kuwa bunge na mahakama ni taasisi huru. Huwa ninajiuliza hivi unawezaje kutoka nyumbani kwako unaenda kwenye kipindi cha televisheni ili kupotosha kwa ajili ya kusaka maslahi binafsi? Halafu nikawa namuangalia alivyonenepa nikaishia kuwadharau watu wanene.
Mkuu nikikwambia kuwa katiba ya Tanzania huijui ndio maana humuelewi Pascal, nitakuwa nakosea kweli??
 
Mwandishi mkongwe na mwanasheria nguli Pascal Mayalla amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama zilivyo Mahakama na Bunge.

Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba.

Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani na amemtaka mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe zamu yake ikifika aende bila kuweka masharti yoyote.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Unaposema mwanasheria nguli una maanisha nini? Alisha wahi kwenda hata law school? Je alisha wahi hata kushinda hata kesi moja?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nikikwambia kuwa katiba ya Tanzania huijui ndio maana humuelewi Pascal, nitakuwa nakosea kweli??

Huna lolote unaloweza kuniambia kuhusu katiba ya nchi hii. Najua kabisa kunachofuatwa ni kile kinachomfurahisha rais. Mfano halisi, JWTZ imetengwa kabisa kikatiba na siasa. Lakini Magufuli alipokea wanaccm kwenye kamisheni ya jeshi huko Arusha, na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa. Ni vyema ukakaa kimya boss.
 
Zote hizo sijui Tume huru ni Kiini Macho,
DR Bashiru ashakata mzizi wa fitina
nyie CCM mnategemea Dola ili kushinda Chaguzi.
Chama kikongwe kutegemea Dola kushinda Uchaguzi ni aibu sana.
 
Mwandishi mkongwe na mwanasheria nguli Pascal Mayalla amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama zilivyo Mahakama na Bunge.

Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba.

Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani na amemtaka mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe zamu yake ikifika aende bila kuweka masharti yoyote.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Upumbavu mtume!!!.
Kwa upande mwingine Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania ndiye muamuzi wa mwisho, anachoamua kifanyike ndicho hues, na si mahakama wala Bunge.
Hii ndiyo ukweli unaotuambia.
Sasa awezeje kusema tume uko hey wakati huohuo unasema uko Chino ya Rais? Utakuwaje guru wakati iko answerable kwa raisi? Si lazima itekeleze matakwa ya bosi wake?

Fikiri kabla ya kuandika.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwandishi mkongwe na mwanasheria nguli Pascal Mayalla amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama zilivyo Mahakama na Bunge.

Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba.

Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani na amemtaka mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe zamu yake ikifika aende bila kuweka masharti yoyote.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Uwe unamshirikisha mzee Mgaya kabla hujaandika...vinginevyo tutahisi una Corona...Tume Huru haiwezi kuwa sawa na Mhimili wa Mahakama ama Bunge. ..[emoji41]

Cheki na Jecha au Lubuva kwa msaada zaidi...

Mayala ni Njaa kama unabisha..muulize Magufuli atakufafanulia.

Oktoba bila Tume Huru ya kusimamia uchaguzi....ni sawa na kusimamiwa na Ndg Japho..[emoji2][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huna lolote unaloweza kuniambia kuhusu katiba ya nchi hii. Najua kabisa kunachofuatwa ni kile kinachomfurahisha rais. Mfano halisi, JWTZ imetengwa kabisa kikatiba na siasa. Lakini Magufuli alipokea wanaccm kwenye kamisheni ya jeshi huko Arusha, na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa. Ni vyema ukakaa kimya boss.
Huo ujuaji wako ndio unao kuponza, we Kama kweli unajua katiba kama unavyodai hapo, unashindwa vipi kujua nguvu kubwa aliyopewa rais na hiyo katiba.?
Unashindwa vipi kujua kuwa tume ipo huru kwa mujibu wa katiba hii mbovu tuliyo nayo??
Usimshambulie mtu mkuu katiba yetu ndio inavyotaka na imempa rais madaraka makubwa na kwa mujibu wa hii katiba hiyo tume iko huru kitu ambacho si sahihi kwa Umma wa Watanzania.
Tukitaka kupata kweli tume huru nje na hii ambayo katiba inatuambia kuwa ni huru basi yatubidi kwanza tupiganie katiba mpya huko ndio tutapata tume huru tunayo itaka.
 
Back
Top Bottom