Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Mwandishi mkongwe na mwanasheria nguli Pascal Mayalla amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama zilivyo Mahakama na Bunge.
Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba.
Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani na amemtaka mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe zamu yake ikifika aende bila kuweka masharti yoyote.
Source Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Pascal alishavuka level ya uDC bwashee!Ataupata tu ngoja mipango ikae sawa
Ulikuwa hujui bwashee?!!Pascal Mayala ni mwanasheria nguli?
Basi sawa [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
yuko sawaMwandishi mkongwe na mwanasheria nguli Pascal Mayalla amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama zilivyo Mahakama na Bunge.
Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba.
Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani na amemtaka mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe zamu yake ikifika aende bila kuweka masharti yoyote.
Source Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Mwandishi mkongwe na mwanasheria nguli Pascal Mayalla amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama zilivyo Mahakama na Bunge.
Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba.
Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani na amemtaka mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe zamu yake ikifika aende bila kuweka masharti yoyote.
Source Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Kwa hiyo naye kishawekwa kwenye kundi la wanawake?? Namwonea huruma sana Paskali. Nasema ukweli; Nilikuwa shabiki wake sana. Hakuna uzi alioandika/changia nikaacha kuzoma kila neno. Mwanzoni alikuwa poa sana, mtema nondo kweli kweli. Alipoona kuwa asipojikomba atasahaulika; na hii ndio kweli. Akaanza kujikomba komba hadi kusema/kuandika kikolomije angaloa akumbukwe. But, it's too late Pascal. No more nominations labda usali sana wapunguzwe na kifo
Mbowe mwenyewe tayari ashazipata hizo salam za huyo mtafuta huruma ya mwenyekiti wa ccmWapi nilipomtukuza?
Wewe mfikishie Mbowe salamu zake kutoka kwa Pascal!
Atoe unafiki wake yeye nani wa kumpangia Mbowe masharti? Ukabila tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nishakutana na wanafki ila hawafui dafu kwa Pasco.
Pascal Mayala ni mwanasheria nguli?
Basi sawa [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Pascal Mayala ni mwanasheria nguli?
Basi sawa [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaona kuna hoja hapo? Huyu ameongea kwa kujitoa ufahamu, na hajafanya kwa bahati mbaya.Hahahaaaaaa........ Mpingeni Pascal kwa hoja makamanda!
NI maoni yake kweli lakini ukimpima kwenye tundu la sindano Kama uzi hapenyi.Ni maoni yake,hakuna shida
Huyu Paskal ni nani katika Siasa za Tanzania? Ndio huyo anaombewa teuzi kwenye Mitandao? Watanzania sio Wapumbavu Wanataka Tume HuruMwandishi mkongwe na mwanasheria nguli Pascal Mayalla amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama zilivyo Mahakama na Bunge.
Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba.
Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani na amemtaka mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe zamu yake ikifika aende bila kuweka masharti yoyote.
Source Star tv
Maendeleo hayana vyama!