Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Navyomjua ndugu yangu huyu Pascal Mayalla akija ataweka tu link ya uzi wake aliowahi kuzungumzia hili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamsimulie Mo hii idea yakoKwa nchi yenye umaskini na watu wasio na exposure kama Tanzania ni vigumu sana sana watu kukubaliana na ulichosema. Ni wachache kama mimi ndiyo wanaelewa ulichosema. Umaskini wetu unafanya watu waone kila mtu mwenye fedha ni kama mungu mdogo.
HahahaaaNavyomjua ndugu yangu huyu Pascal Mayalla akija ataweka tu link ya uzi wake aliowahi kuzungumzia hili.
Akajiunge na CIA,atapata mtaji wa biashara kama camouflage, bora awe mwaminifu tu kama minion na moron wao katika kuisaliti Tanzania na watu wake.😄😄😄😄😄😄😄..........😂😂😂😂😂😂😂➡️♏♏♏♏♏☮️☮️☮️☮️⭐⭐⭐⭐⭐⭐👌👌👌👌👌👌🤘🤘🤘🤘🤘........Namuona Paschal akiwa state capture tool, ha,ha,ha,ha,ha......Moderator naomba huu uzi msiufute maana umekusudia kumsaidia huyu bwana kuingia kwenye orodha ya watu wenye mafanikio kiuchumi.
Pascal Mayalla wewe sio mtu wa kusubiri uteuzi, ulianza vizuri sana enzi za PPR ukateleza kidogo (ni kawaida kwenye maisha) ila sasa kwa upande wako kadiri unavyopata elimu ndivyo unavyozidi kupishana na pesa.
Andiko hili ni mahsusi kukukumbusha kuwa una muda mfupi wa kutumia jina lako kubadili maisha yako, teuzi achana nazo maana kila kada anazitolea macho, wewe njoo pm nikwambie kitu, utanishukuru sana.
Cha msingi uwe na uwezo wa kuwa na ofisi inayofikika Dar, kampuni najua tayari unayo. Baada ya miezi 3 usipoanza kushika pesa ukanishtaki.
Wewe sio wa kuhangaika na maisha wakati una audience kubwa nyuma yako.
HahahaaaAkajiunge na CIA,atapata mtaji wa biashara kama camouflage, bora awe mwaminifu tu kama minion na moron wao katika kuisaliti Tanzania na watu wake.😄😄😄😄😄😄😄..........😂😂😂😂😂😂😂➡️♏♏♏♏♏☮️☮️☮️☮️⭐⭐⭐⭐⭐⭐👌👌👌👌👌👌🤘🤘🤘🤘🤘........Namuona Paschal akiwa state capture tool ha,ha,ha,ha,ha......
It seems huyu jamaa anamfahamu Sanaa Pascal , Hawa ndio wale marafiki ukiwa nae hakushauri, ukitoka anaongea😂Unasemaje? Asumaniiii.
Umejuaje kama hana Pesa?
Babu wa Loliondo alipiga goli la ushindi wakati ambao mechi ilionekana kama imeisha.Paskal mwenyewe umri upo dakiza za nyongeza mnataka aende wapi muacheni bro pasiii bwana
Atapiga hela. Kuna sehemu aliandika uzi mzuri nikatoa ushauri atembee na upepo wa wananchi kuliko kutembea na upepo wa watawala.Awe na ofisi afungue kesi ya kupinga mkataba wa bandari.