Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu nilishawahi pokea wazo kwa mtoto wa 09s na lilikua la mana sanaMzee wangu Pascal Mayalla kuna kijana eti anataka kukufundisha maisha huku msomi 😂😂😂
Vijana wa early 00s wahuni sana, wanataka kuwafundisha wazee wao maisha 😂😂😂
Sio kumfundisha maisha, nataka kumjaza mapesaMzee wangu Pascal Mayalla kuna kijana eti anataka kukufundisha maisha huku msomi 😂😂😂
Vijana wa early 00s wahuni sana, wanataka kuwafundisha wazee wao maisha 😂😂😂
Sawa mkuu naona unamtengenezea baba mdogo mazingira, ili baadae amkumbuke baba yake mdogo..Moderator naomba huu uzi msiufute maana umekusudia kumsaidia huyu bwana kuingia kwenye orodha ya watu wenye mafanikio kiuchumi.
Pascal Mayalla wewe sio mtu wa kusubiri uteuzi, ulianza vizuri sana enzi za PPR ukateleza kidogo (ni kawaida kwenye maisha) ila sasa kwa upande wako kadiri unavyopata elimu ndivyo unavyozidi kupishana na pesa.
Andiko hili ni mahsusi kukukumbusha kuwa una muda mfupi wa kutumia jina lako kubadili maisha yako, teuzi achana nazo maana kila kada anazitolea macho, wewe njoo pm nikwambie kitu, utanishukuru sana.
Cha msingi uwe na uwezo wa kuwa na ofisi inayofikika Dar, kampuni najua tayari unayo. Baada ya miezi 3 usipoanza kushika pesa ukanishtaki.
Wewe sio wa kuhangaika na maisha wakati una audience kubwa nyuma yako.
Mali hazitafutwi na wala hazina mbinu, mali ni kama maji, hufata mkondo.Moderator naomba huu uzi msiufute maana umekusudia kumsaidia huyu bwana kuingia kwenye orodha ya watu wenye mafanikio kiuchumi.
Pascal Mayalla wewe sio mtu wa kusubiri uteuzi, ulianza vizuri sana enzi za PPR ukateleza kidogo (ni kawaida kwenye maisha) ila sasa kwa upande wako kadiri unavyopata elimu ndivyo unavyozidi kupishana na pesa.
Andiko hili ni mahsusi kukukumbusha kuwa una muda mfupi wa kutumia jina lako kubadili maisha yako, teuzi achana nazo maana kila kada anazitolea macho, wewe njoo pm nikwambie kitu, utanishukuru sana.
Cha msingi uwe na uwezo wa kuwa na ofisi inayofikika Dar, kampuni najua tayari unayo. Baada ya miezi 3 usipoanza kushika pesa ukanishtaki.
Wewe sio wa kuhangaika na maisha wakati una audience kubwa nyuma yako.
Huo ni uongo wa marehem mudiMali hazitafutwi na wala hazina mbinu, mali ni kama maji, hufata mkondo.
Kama haupo kwenye mkondo wa mali hata uwe mbunifu vipi ni bure tu. Na kama upo kwenye mkondo wa mali hata uwe pangoni zitakufata.
Usiumize kichwa kwa hilo.
Siongelei pesa ya kula, kwa heshima aliyonayo mjini anapaswa kuwa na viwanda, trucks, migodi nk. Wakiitwa wawekezaji wakubwa anapaswa kuwepo pia.Mafanikio gani Mkuu unajua Maisha ya Pascal yapo private Sana ....?
Pascal Mayalla nadhani yeye yupo na exposure na huwezo wa kuishi vizuri ila kaamua kutafta profile ya watu wamuone Mtu was wastani but I'm sure Pascal Hana shida na Pesa Kama tulivyo watz wengi mtu mwenye exposure kubwa hawezi kuwa masikini na Pascal akianza kuwa masikini sio Ajabu watz wengine tutakuwa tunakula nyasi
Kumbe unataka kumfaidisha yeye unaleta haba halafu unamwambia aje dm umwelezeModerator naomba huu uzi msiufute maana umekusudia kumsaidia huyu bwana kuingia kwenye orodha ya watu wenye mafanikio kiuchumi.
Pascal Mayalla wewe sio mtu wa kusubiri uteuzi, ulianza vizuri sana enzi za PPR ukateleza kidogo (ni kawaida kwenye maisha) ila sasa kwa upande wako kadiri unavyopata elimu ndivyo unavyozidi kupishana na pesa.
Andiko hili ni mahsusi kukukumbusha kuwa una muda mfupi wa kutumia jina lako kubadili maisha yako, teuzi achana nazo maana kila kada anazitolea macho, wewe njoo pm nikwambie kitu, utanishukuru sana.
Cha msingi uwe na uwezo wa kuwa na ofisi inayofikika Dar, kampuni najua tayari unayo. Baada ya miezi 3 usipoanza kushika pesa ukanishtaki.
Wewe sio wa kuhangaika na maisha wakati una audience kubwa nyuma yako.
Dah jiwe gizaniTwambie wewe umepiga hatua ipi kiuchumi, ili tujue kama ni mshauri mzuri wa Mayala!
Huna pesa Utakuwa na furaha na Amani??Sidhani kama watu wote wanatumia wingi wa pesa kama kipimo cha mafanikio yao. Watu wengine hawahitaji pesa nyingi, wanataka furaha na amani tu.
We unampangiaje mtu awe na assets unazowaza na kutaka wewe? Tafuta kazi ya kufanya mkuuSiongelei pesa ya kula, kwa heshima aliyonayo mjini anapaswa kuwa na viwanda, trucks, migodi nk. Wakiitwa wawekezaji wakubwa anapaswa kuwepo pia.
Amelalamika mwenyewe kwenye nyuzi zake, unataka mpaka ajirushe ghorofani ndo umchangie rambirambi?We umejuaje kama hana mafanikio?
Tena we unaonekana ni apeche alolo,sema nini maskini huwa wepesi kuona fursa na wasiweze kuzitumia wao
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app