Pascal Mayalla ni mtanzania mwenye kila sababu ya kuwa na pesa mjini ila ameshindwa kuwa mbunifu.

Pascal Mayalla ni mtanzania mwenye kila sababu ya kuwa na pesa mjini ila ameshindwa kuwa mbunifu.

Moderator naomba huu uzi msiufute maana umekusudia kumsaidia huyu bwana kuingia kwenye orodha ya watu wenye mafanikio kiuchumi.

Pascal Mayalla wewe sio mtu wa kusubiri uteuzi, ulianza vizuri sana enzi za PPR ukateleza kidogo (ni kawaida kwenye maisha) ila sasa kwa upande wako kadiri unavyopata elimu ndivyo unavyozidi kupishana na pesa.

Andiko hili ni mahsusi kukukumbusha kuwa una muda mfupi wa kutumia jina lako kubadili maisha yako, teuzi achana nazo maana kila kada anazitolea macho, wewe njoo pm nikwambie kitu, utanishukuru sana.

Cha msingi uwe na uwezo wa kuwa na ofisi inayofikika Dar, kampuni najua tayari unayo. Baada ya miezi 3 usipoanza kushika pesa ukanishtaki.

Wewe sio wa kuhangaika na maisha wakati una audience kubwa nyuma yako.
Sawa mkuu naona unamtengenezea baba mdogo mazingira, ili baadae amkumbuke baba yake mdogo..

Nyota nayo ina matter...
 
Moderator naomba huu uzi msiufute maana umekusudia kumsaidia huyu bwana kuingia kwenye orodha ya watu wenye mafanikio kiuchumi.

Pascal Mayalla wewe sio mtu wa kusubiri uteuzi, ulianza vizuri sana enzi za PPR ukateleza kidogo (ni kawaida kwenye maisha) ila sasa kwa upande wako kadiri unavyopata elimu ndivyo unavyozidi kupishana na pesa.

Andiko hili ni mahsusi kukukumbusha kuwa una muda mfupi wa kutumia jina lako kubadili maisha yako, teuzi achana nazo maana kila kada anazitolea macho, wewe njoo pm nikwambie kitu, utanishukuru sana.

Cha msingi uwe na uwezo wa kuwa na ofisi inayofikika Dar, kampuni najua tayari unayo. Baada ya miezi 3 usipoanza kushika pesa ukanishtaki.

Wewe sio wa kuhangaika na maisha wakati una audience kubwa nyuma yako.
Mali hazitafutwi na wala hazina mbinu, mali ni kama maji, hufata mkondo.

Kama haupo kwenye mkondo wa mali hata uwe mbunifu vipi ni bure tu. Na kama upo kwenye mkondo wa mali hata uwe pangoni zitakufata.

Usiumize kichwa kwa hilo.
 
Mafanikio gani Mkuu unajua Maisha ya Pascal yapo private Sana ....?

Pascal Mayalla nadhani yeye yupo na exposure na huwezo wa kuishi vizuri ila kaamua kutafta profile ya watu wamuone Mtu was wastani but I'm sure Pascal Hana shida na Pesa Kama tulivyo watz wengi mtu mwenye exposure kubwa hawezi kuwa masikini na Pascal akianza kuwa masikini sio Ajabu watz wengine tutakuwa tunakula nyasi
 
Mafanikio gani Mkuu unajua Maisha ya Pascal yapo private Sana ....?

Pascal Mayalla nadhani yeye yupo na exposure na huwezo wa kuishi vizuri ila kaamua kutafta profile ya watu wamuone Mtu was wastani but I'm sure Pascal Hana shida na Pesa Kama tulivyo watz wengi mtu mwenye exposure kubwa hawezi kuwa masikini na Pascal akianza kuwa masikini sio Ajabu watz wengine tutakuwa tunakula nyasi
Siongelei pesa ya kula, kwa heshima aliyonayo mjini anapaswa kuwa na viwanda, trucks, migodi nk. Wakiitwa wawekezaji wakubwa anapaswa kuwepo pia.
 
Moderator naomba huu uzi msiufute maana umekusudia kumsaidia huyu bwana kuingia kwenye orodha ya watu wenye mafanikio kiuchumi.

Pascal Mayalla wewe sio mtu wa kusubiri uteuzi, ulianza vizuri sana enzi za PPR ukateleza kidogo (ni kawaida kwenye maisha) ila sasa kwa upande wako kadiri unavyopata elimu ndivyo unavyozidi kupishana na pesa.

Andiko hili ni mahsusi kukukumbusha kuwa una muda mfupi wa kutumia jina lako kubadili maisha yako, teuzi achana nazo maana kila kada anazitolea macho, wewe njoo pm nikwambie kitu, utanishukuru sana.

Cha msingi uwe na uwezo wa kuwa na ofisi inayofikika Dar, kampuni najua tayari unayo. Baada ya miezi 3 usipoanza kushika pesa ukanishtaki.

Wewe sio wa kuhangaika na maisha wakati una audience kubwa nyuma yako.
Kumbe unataka kumfaidisha yeye unaleta haba halafu unamwambia aje dm umweleze
 
Back
Top Bottom