Pascal Mayalla ni mtanzania mwenye kila sababu ya kuwa na pesa mjini ila ameshindwa kuwa mbunifu.

Ndugu Pascal Mayalla unaweza kuhisi ni utani, ila namaanisha.
 
Babu wa Loliondo alipiga goli la ushindi wakati ambao mechi ilionekana kama imeisha.

Rodrigoooo. 89'



Rodrigoooo. 90'


Guardiola akashika kichwa
Kabisa, Yule mtoto wa nyererere mkuu wa wilaya manyara mzee, Mayalla hampati kiumri, mrisho mpoto katoka mtu mzima tu, pesa Haina umri.
 
Tunapasha chai tunaipoza halafu tunaipasha tena.

Yani kiufupi waafrika hatujui tunataka nini
 
Em angalia na ya kwangu mkuu, 😁
 
Sidhani kama watu wote wanatumia wingi wa pesa kama kipimo cha mafanikio yao. Watu wengine hawahitaji pesa nyingi, wanataka furaha na amani tu.
Kosa hata hela ya bando ndio utajua haujui ulisemalo
 
Wewe pesa unazo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…