Pasco Mayalla ana vielement vya unabii afungue kanisa

Mkubwa kumbe nawewe kuna watu wanakutia hasira japo huwaoni, JF ina wapumbavu wengi sana ndiomaana verified user wanapungua,
It's true, binadamu tunatofautiana viwango vya uvumilivu na ustahimilivu, kuna watu ukijikuta unatukanwa na vitoto vidogo, unaamua kuliko kujivunjia heshima bora uachane nayo, mimi mwenyewe niliisha amua kuachana na JF not once not twice, several times ila very unfortunately nikajikuta ni mraibu wa JF, nikashindwa!. Mtu yoyote akinitukana humu, hatua ya kwanza ni kumngongolia like, kisha namsamehe, kwa hoja kuwa hajui atendalo, hasira zinapoa maisha yanaendelea.
P
 
Bravo, ume dig deep bro. Especially the history of usman Dan fodio.

By the way una kitu bro.
 
Kawaida sana ukichovya anapochovya prof disco linakuhusu
Wala sidhani kama hata alichovya, kuna wanafunzi tulisoma chuo tukiwa na Ankara ya kutosha! Pale Block F kule juu kwenye single rooms, kuna denti demu nilimlipia room na kugharimia kila kitu including Flat screen, microwave and sikupata kitu!, sasa unapokuta na ticha mitaa ya Sinza, ticha anapigwa chini fasta, tatizo la Sinza huwezi kujiweka ukawa ni wewe tuu!.

Tatizo kama hilo la disco la chuo, lilikuja kunikuta TBC!, napita mahali kumbe the top boss amejiweka!, kufunga kufungua nilikula summary Dismissals for insubordination!, haina appeal ni unafungasha you go!.
P
 
He is professional but not very, hauwezi kuwa very professional kwenye uandishi wa habari huku moyoni mwako ukiwa umejaa chuki kwa makundi yenye mrengo tofauti na wewe, lazima taarifa zako zitakuwa za upande mmoja na hilo ndilo nimekuwa nikimfahamisha hawezi na hatakuwa Lakha mpya ambaye ni role model wake.
 
Nabii alietumwa kutufikishia ujumbe kwa walimwengu wote ni Nabii MUHAMMAD (S.A.W) na ndio Nabii wa mwisho, baada ya yeye hakuna tena.

Hivyo mleta mada acha kumkosea Mwenyezi Mungu, futa haraka hii mada.
 
Dah Mkuu Pascal Mayalla, Hakika tunajifunza Mengi Sana toka Kwako. Mungu Akubariki Sana. Hawa Watoto Wadogo Wadogo Wasamehe tu kwa sababu wewe Umeshakuwa Babu yao Wengine Kwahiyo zichukulie kama Matani na Kero za Wajukuu kwa Babu yao trust me siku Ukiondoka watakumiss sanaa. Na huwezi jua wao ndio wanaweza kukuombea huko uliko so let's take easy. Unajua thamani ya kitu isipoonekana wakati kipo, itaonekana tu wakati hakipo.

By the way, haya maandiko yako ni reference ya Miaka na miaka ijayo labda JF iwe shutdown ila ikiiendelea kuwepo basi vizazi na vizazi vitapitia maandiko haya.

Pia fikiria kuyaweka kwenye vitabu mkuu I think it will be a good thing.
 
..... Mfano lile swali langu kwa JPM kuhusu mikutano ya siasa, Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli ndilo limempelekea Rais Samia kuruhusu mikutano ya siasa!.

Unajua that day na mimi bahati nzuri nilikuwa nafuatilia live ile Press Conference pale Ikulu na nilishangaa sna Why the Late Aliku attack isivyo kawaida kabisa kwa ajili ya kumpiga lile swali.

Hivi Mkuu unahisi Shida hasa ilikuwa ni nini mpaka that Man akareact vile? Ni swali tu au kulikuwa na mengine behind the curtain?
 
Umenikumbusha mbali sana Block F block ya postgraduate ila nilitumia ujanja wa mjini nikiwa undergraduate nikapata room hilo block.hiyo ya kumendea mzigo wa boss imeoonza wengi sio wewe tu,tangu enzi za Yusuf na Farao ,pole sana ila lazima kuna kitu ulijifunza hapo
 
Inawezekana ipo sehemu ana hudumu mkuu
 
Nimecheza hapo pia wewe na mwalimu wako na namna prof Ibrahimu juma alivyo maliza mkasa huo na namna ulivyo pambania haki yako ,lakini pia nimecheka unaposema ulipoitwa jina lako kujibu swali hukuitika kwa kuwa hukuwa na majibu ya swali.
 
Nanukuu

"Tatizo kama hilo la disco la chuo, lilikuja kunikuta TBC!, napita mahali kumbe the top boss amejiweka!, kufunga kufungua nilikula summary Dismissals for insubordination!, haina appeal ni unafungasha you go!.
P"


Kuna watu hujigeuza miungu watu binafsi Mimi siwezi fanya unyama huo Bora awe mke ila hawara😊😊

Bora hata angekuita akakupa...
ULTIMATUM (a threat when you tell someone that if they don't undertake a specific action, they'll face a consequence)
 
Kila la kheri Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…