Pasco Mayalla ana vielement vya unabii afungue kanisa

Pasco Mayalla ana vielement vya unabii afungue kanisa

Nilianza kumuona miaka ile na kipindi chake cha Kitimoto.

Nikaja kukutane nae UDSM akisoma LLB na mimi nikisoma kozi ngumu kuliko zote pale chuoni, namkumbuka akinesanesa na pikipiki lake viunga ya UDSM au Mabibo Hostel nilipokuwa naishi.

Mwaka 2005 Au 2006 NIlikuwa napata lunch Hill Park, tukajikuta tuko meza moja, ila kwa vile alikuwa star sikumshobokea, Kama ilivyo desturi yangu ya kuwakaushia mastaa so hanijui, simjui.

Kwa bahati mbaya wote tulidisco chuo,Mimi nilidisco sababu ya ugumu wa masomo ila mwenzangu nasikia ilikuwa ni figisu figisu tu za prof mmoja sio sababu ya uwezo mdogo.
Baada ya kudisco nikakimbia nchi tena kwa mara ya pili. Sikuwahi kumuona tena zaidi ya kumsoma JF na mimi siangalii TV sijui yuko TV gani siku hizi.

Kupitia JF Nimekuwa nikifuatilia maandishi yake, nara kadhaa, niseme tu maandishi yake yana unabii ndani yake, orodha ni ndefu sana nikiweka hapa hapatoshi, vitu vingine huchukua miaka hata mitano kutokea, hakuna mwana JF anayemfikia kwa hilo.

Kama hana pepo wa utambuzi basi ana roho mtakatifu. Nafahamu yeye ni mkatoliki Mzuri ila afungue tu kanisa atapata wafuasi. Nafahamu pia anapenda siasa, madhabahuni pia ni sehemu sahihi ya kupiga siasa kama akina Mama Rwakatale, Kakobe, Gwajima, Pengo, Mtikila, Sheikh Ponda, Alhad Musa wote hao wanapiga siasa kwenye mimbari.

Atumie hilo pepo la utambuzi au roho mtakatifu aliyenae kuwafikia wengi.

Maana kila utawala unamsukumia kambo utadhani hana kitu kichwani na kwa umri wake sitegemei kuona akipata teuzi,

Ni ushauri tu.
Kuna jamaa aliwai kumwambia live kwenye video kuwa Mayala kwa lugha ya kabila lao ni Njaa
 
Wabongo wanawashobokea sana watu wa mfumo sjui kitengo
Wanawaona watu wa ajabu

Ova
Enzi za Nyerere mtu kuwa sehemu ya mfumo, walikuwa wanachaguliwa toka Shule, waki pick the top cream, nafasi zilikuwa hazitangazwi!, hivyo ndivyo wazazi wangu wote wawili walivyo ingia. Hivyo watu original wa mfumo walikuwa watu very special.

Mimi mwenyewe kujua wazazi wangu walikuwa wanafanya kazi wapi, nimekuja kujua nikiwa darasa la 5!, tena sio kwa kuambiwa, kwa kusoma gazetini kwenye gazeti la Mzalendo jina la Mzee wakati kesi ya Mauaji Mwanza, ndipo nikajua Baba alikuwa nani!. Wakili Pasco Mayalla - A True Story of My Life: Nilitamani kuwa Wakili sababu ya Wakili Murtaza Lakha, sasa ni Wakili. Je, nitakuwa kama Lakha? Part 1

System ilianza kuharibika Enzi za Director Emmilio Mzena, recruitment ilianza kufanywa kwa waliomo kuleta watoto wao, ikatokea sio watoto wote wa 'jamaa zetu' hawa walikuwa as intelligent as their parents!.

Sisi kwavile tumezaliwa watoto 8, I can't tell the status ya ndugu zangu ila mimi sio!.

Hawa jamaa wakaanza kujisikia, zamani ilikuwa sifa kutokujulikana, sasa ni ujiko kujulikana!.

Hawa 'jamaa' were supposed to be very special people with extra ordinary intelligence but it's very unfortunately only few ndio wazuri, the rest ni ordinary people with little or no intelligence yoyote at all!.

Sisi watoto tuliozaliwa na wazazi waliokuwa huko tumezaliwa na traits za kihuko, hivyo tukihisi kitu hatarishi tunawatupia tip!.

Mimi ile 2014 nilipotonywa Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli humo niliweka kila kitu!. Tungekuwa na watu makini kwenye Idara wangetimiza wajibu wao!.

Baada ya Blaza wangu kuingia alipobadili sheria nikawauliza hawa 'jamaa zetu', wataweza kumprotect huyu Blaza?. Zita Act Retroactively? Tutavunja Mikataba Yote Iliyopo? Can we Stand? Do we have the Guts?

Hapa pia niliwapa tip fulani US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?

Baadae nikawapa Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

They couldn't protect 'him', so he had to go!, wakataka kuficha kwasababu kiukweli siku tuliotangaziwa ni 5 days later!. Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?
P
 
Nilianza kumuona miaka ile na kipindi chake cha Kitimoto.

Nikaja kukutane nae UDSM akisoma LLB na mimi nikisoma kozi ngumu kuliko zote pale chuoni, namkumbuka akinesanesa na pikipiki lake viunga ya UDSM au Mabibo Hostel nilipokuwa naishi.

Mwaka 2005 Au 2006 NIlikuwa napata lunch Hill Park, tukajikuta tuko meza moja, ila kwa vile alikuwa star sikumshobokea, Kama ilivyo desturi yangu ya kuwakaushia mastaa so hanijui, simjui.

Kwa bahati mbaya wote tulidisco chuo,Mimi nilidisco sababu ya ugumu wa masomo ila mwenzangu nasikia ilikuwa ni figisu figisu tu za prof mmoja sio sababu ya uwezo mdogo.
Baada ya kudisco nikakimbia nchi tena kwa mara ya pili. Sikuwahi kumuona tena zaidi ya kumsoma JF na mimi siangalii TV sijui yuko TV gani siku hizi.

Kupitia JF Nimekuwa nikifuatilia maandishi yake, nara kadhaa, niseme tu maandishi yake yana unabii ndani yake, orodha ni ndefu sana nikiweka hapa hapatoshi, vitu vingine huchukua miaka hata mitano kutokea, hakuna mwana JF anayemfikia kwa hilo.

Kama hana pepo wa utambuzi basi ana roho mtakatifu. Nafahamu yeye ni mkatoliki Mzuri ila afungue tu kanisa atapata wafuasi. Nafahamu pia anapenda siasa, madhabahuni pia ni sehemu sahihi ya kupiga siasa kama akina Mama Rwakatale, Kakobe, Gwajima, Pengo, Mtikila, Sheikh Ponda, Alhad Musa wote hao wanapiga siasa kwenye mimbari.

Atumie hilo pepo la utambuzi au roho mtakatifu aliyenae kuwafikia wengi.

Maana kila utawala unamsukumia kambo utadhani hana kitu kichwani na kwa umri wake sitegemei kuona akipata teuzi,

Ni ushauri tu.
Makanisa ya biashara
1696030510638.png
 
Enzi za Nyerere mtu kuwa sehemu ya mfumo, walikuwa wanachaguliwa toka Shule, waki pick the top cream, nafasi zilikuwa hazitangazwi!, hivyo ndivyo wazazi wangu wote wawili walivyo ingia. Hivyo watu original wa mfumo walikuwa watu very special.

Mimi mwenyewe kujua wazazi wangu walikuwa wanafanya kazi wapi, nimekuja kujua nikiwa darasa la 5!, tena sio kwa kuambiwa, kwa kusoma gazetini kwenye gazeti la Mzalendo jina la Mzee wakati kesi ya Mauaji Mwanza, ndipo nikajua Baba alikuwa nani!. Wakili Pasco Mayalla - A True Story of My Life: Nilitamani kuwa Wakili sababu ya Wakili Murtaza Lakha, sasa ni Wakili. Je, nitakuwa kama Lakha? Part 1

System ilianza kuharibika Enzi za Director Emmilio Mzena, recruitment ilianza kufanywa kwa waliomo kuleta watoto wao, ikatokea sio watoto wote wa 'jamaa zetu' hawa walikuwa as intelligent as their parents!.

Sisi kwavile tumezaliwa watoto 8, I can't tell the status ya ndugu zangu ila mimi sio!.

Hawa jamaa wakaanza kujisikia, zamani ilikuwa sifa kutokujulikana, sasa ni ujiko kujulikana!.

Hawa 'jamaa' were supposed to be very special people with extra ordinary intelligence but it's very unfortunately only few ndio wazuri, the rest ni ordinary people with little or no intelligence yoyote at all!.

Sisi watoto tuliozaliwa na wazazi waliokuwa huko tumezaliwa na traits za kihuko, hivyo tukihisi kitu hatarishi tunawatupia tip!.

Mimi ile 2014 nilipotonywa Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli humo niliweka kila kitu!. Tungekuwa na watu makini kwenye Idara wangetimiza wajibu wao!.

Baada ya Blaza wangu kuingia alipobadili sheria nikawauliza hawa 'jamaa zetu', wataweza kumprotect huyu Blaza?. Zita Act Retroactively? Tutavunja Mikataba Yote Iliyopo? Can we Stand? Do we have the Guts?

Hapa pia niliwapa tip fulani US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?

Baadae nikawapa Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

They couldn't protect 'him', so he had to go!, wakataka kuficha kwasababu kiukweli siku tuliotangaziwa ni 5 days later!. Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?
P


Kwa mawazo yangu binafsi kama bado ushauri wangu ni P, kufungua law firm.
 
Pascal Mayalla ni mtu makini sana. Vijana wa kileo tungelijifunza namna bwana huyu anavyoshauri bila kwa ujasiri bila hofu. Tanzania ingelikuwa mbali katika nyanja nyingi.
Mkuu msakaa jr , thanks for this
Mzee huyu sio mnafiki, nyeusi anaita nyeusi haijalishi kasimama mbele ya nani.
Ni kweli hivi ndivyo nilivyo!.
Huyu ni mtu muhimu kwa watawala kuwa nae karibu kwa ajili ya kuwashauri.
Hapana, sio lazima uwe karibu na watawala ndio uwashauri, kwa mujibu wa katiba yetu, mtu muhimu number 1, ni mwananchi na sio watawala!, wananchi ndiye mwenye katiba, ndiye mwenye nchi, ndiye anayewaajiri watawala na kuwalipa mishahara yao, hivyo the most important people ni wananchi, watawala wanawajibu wa kuwasikiliza wananchi ndio wenye nchi, nimejitolea kukusanya sauti za wananchi na kuwatupia watawala nikijianzia na mimi mwenyewe nikiwa na jambo langu lolote la kuwashauri watawala, nawashauri huku nikiweka bayana the consequences za kuupuuzia ushauri huo, ili siku ya consequences ikifika, nisimame na kusema tulisema hatukusikilizwa!. Huwa tunashauri vingi na vinatekelezwa Ikitokea umeshauri mtu avae Hijab nyekundu, huyo mtu akavaa, utajisikiaje? Kwa hili, Big Up Rais Samia na Serikali yako kwa kuwa wasikivu
Hana uchawa, huyu angelimsaidia sana Mhe. Rais kumueleza tabia za wateule kabla Rais hajaingia aibu ya kuteuwa asubuhi na kutengua jioni.
Wako watu wanaolipwa kwa kazi hiyo wanaitwa kitengo cha vetting, wanamkosesha rais anaonekana anakosea!

Mzee huyu ni wakwenda nae vitani, huwa namfananisha na Kapt. George Mkuchika namna asivyochuja.
Asante, soon natimiza miaka 60, from then nabadili jina kuwa Mzee Pasco, hapa sasa nakuja na mada za mambo makubwa.
P
 
Nilianza kumuona miaka ile na kipindi chake cha Kitimoto.

Kupitia JF Nimekuwa nikifuatilia maandishi yake, nara kadhaa, niseme tu maandishi yake yana unabii ndani yake, orodha ni ndefu sana nikiweka hapa hapatoshi, vitu vingine huchukua miaka hata mitano kutokea, hakuna mwana JF anayemfikia kwa hilo.

Kama hana pepo wa utambuzi basi ana roho mtakatifu.
Mkuu mdukuzi, kwanza asante kwa bandiko hili Pasco Mayalla ana vielement vya unabii afungue kanisa

Naomba tulitumie bandiko hili Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke kama a litmus paper to test kama sauti hizi ni za ma pepo au ni Roho Mtakatifu!.
Angalia baadhi ya kauli umba zangu ziliumba nini na baadhi ya tabiri zangu, nilisema nini na kikatokea nini?. "Ombeni Mtapewa", "Tafuteni Mtapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa" Je, Wajua Kuna "Kauli" na "Kauli Umba" Ambazo Huumba? Shuhudia
P.
 
[/QUOTE]
Mkuu Hardbody , obstacle ya nini?.
P
Ni Kuhusu hii mada iliyo mezani toka kwa mdukuzi Despite ya U Smart Kwanini uwe bench??? Ila hata hivyo umeshajibu kwamba huitaji sana teuzi. 👏
Kabisa mkuu kuna watu wamekalia ofisi za umma wanakula kodi zetu kichwani zero,Pascal akili nyingi yuko nje ya mfumo,not fair
Ndio kama mimi tu nilikuwa sielewi Mambugila wengi tu wanakula kodi zetu serikalini
Asante, ila sihitaji teuzi yoyote wala ofisi yoyote, hiki ninachofanya sasa kina maslahi makubwa kwa taifa kuliko ningeteuliwa nafasi yoyote!. Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
P
Ila hapa ndio ukatujibu kwamba it wasn't really your intention.
No!, ukiwa na akili kubwa ndio unatakiwa kuwa nje ya mfumo ili usaidie taifa lako,!.
P
Sawa Mkuu.

Mkuu Supu ya kokoto ,.......... Mfano like swali langu kwa JPM kuhusu mikutano ya siasa, Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli ndilo limempelekea Rais Samia kuruhusu mikutano ya siasa!.
P
Hili likuwa Miongoni mwa swali nyeti sana siku hiyo mkuu Pascal Mayalla 👏👏👏
Unajua that day na mimi bahati nzuri nilikuwa nafuatilia live ile Press Conference pale Ikulu na nilishangaa sna Why the Late Aliku attack isivyo kawaida kabisa kwa ajili ya kumpiga lile swali.

Hivi Mkuu unahisi Shida hasa ilikuwa ni nini mpaka that Man akareact vile? Ni swali tu au kulikuwa na mengine behind the curtain?
Ndio nikataka kujua the crashing & bullying aftermath, was it the only cause??
Japo tunafukua makaburi lkn si Mbaya japo kwa uchache tu kama story mkuu.
 
Nanukuu

"Tatizo kama hilo la disco la chuo, lilikuja kunikuta TBC!, napita mahali kumbe the top boss amejiweka!, kufunga kufungua nilikula summary Dismissals for insubordination!, haina appeal ni unafungasha you go!.
P"


Kuna watu hujigeuza miungu watu binafsi Mimi siwezi fanya unyama huo Bora awe mke ila hawara😊😊

Bora hata angekuita akakupa...
ULTIMATUM (a threat when you tell someone that if they don't undertake a specific action, they'll face a consequence)
Kuna watu machoni ni kama watu lakini mioyoni ni ma beast kabisa!.
P
 
Pascal Mayalla yuko vizuri sana katika uchambuzi wa siasa ila hana namna inabidi afuate upepo kulinda ugali wake (you are either with us, or against us)
Mimi binafsi huwa narudia mara nyingi kusoma post zake za zamani.
Mkuu Tony Cipriano this is very true hii inaitwa survival mechanism, ukisha jua mtawala ajae anatumia the law of the jungle, unakuwa huna jinsi ni ama shikilia msimamo wako against them and perish, or join them and survive, mimi nilichagua survivor na hili nililitangaza wazi loud and clear Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!
P
 
Back
Top Bottom