Pasco Mayalla ana vielement vya unabii afungue kanisa

Pasco Mayalla ana vielement vya unabii afungue kanisa

Mh huwa anageuka geuka huyu bwana kuna wakati nilikuwa namuelewa sana huyu ninja ila kipindi cha mwenda zake sijui alikula maharage ya wapi kwa kuwa alitubalishia atmosphere
Mkuu UTOPIANISM , kwenye the law of the jungle, there are only two choices, exist or perish, ili uweze kusurvive you have to struggle to exist and the survival is for the fittest. To be fit one has to adapt to the changing environment, hivyo mimi ni very adaptive, hivyo I am a survivor!. Soma tarehe ya bandiko hili Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!
Line ya mwisho nilisema
Wanabodi,
Wapinzani wote wakiwemo wana Chadema, wana UKAWA, na Watanzania wenzangu kwa ujumla, najua wengi wenu mlimtaka Lowassa, mmemkosa kwasababu Mungu hakumpangia!, na badala yake Mungu amempangia Magufuli, hivyo natoa wito wa "If you can't get what you want, just take what you get!", ukikosa ulichotaka wewe, then pokea ulichopewa na Mungu!, Magufuli ni chaguo la Mungu kwa Tanzania, tumkubali Magufuli kwa moyo mkunjufu, hivyo hivyo alivyo na udikiteta wake, tumpokee na kumpatia kila aina ya ushirikiano wote unaohitajika kumuwezesha kuiongoza vema nchi yetu Tanzania yetu. Tanzania sio nchi ya Magufuli wala Tanzania sio mali ya CCM, Tanzania ni ya Watanzania wote, ni nchi yetu sote, hivyo it can be done kama kila mmoja wetu will play his part!.

Sio tumjoin Magufuli kwa sababu sasa ndio tunampenda hivyo tumemkubali, no way, tumjoin Magufuli kwa kumkubali ndie the only one rais tuliyepatiwa na Mungu, hivyo we have duty and a responsibility to join him kwa lazima, tutake tusitake, tupende tusipende, yeye ndie rais wetu hivyo we have to join him and support him because we have to!.

Paskali
P
 
Mkuu @UTOPIANISM , kwenye the law of the jungle, there are only two choices, exist or perish, ili uweze kusurvive you have to struggle to exist and the survival is for the fittest. To be fit one has to adapt to the changing environment, hivyo mimi ni very adaptive, hivyo I am a survivor!. Soma tarehe ya bandiko hili Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!
Line ya mwisho nilisema
hili andiko nililisoma na hapo ndipo naungana na yule bwana aliyesema yawezekana ukawa na vielement vya u prophetic ama ukawa special department nakumbuka mwaka huo 2015 CCM walipokuwa wanafanya vetting ya nan
atakayepew bendera yao ya kupeperusha nilikuwa dodom kuna rafiki yan gu yupo hicho kitengo cha siri kabla ya magufuli kutangazwa kuwa ndiye mshindi pale yule bwana asubuhi kabla ya tukio ananiambia idadi ya kura zilizopigwa kura zilizoharibika na mwenda zake kashinda kwa kura kiaszi gani sikumuamini nafkiri mida ya mbili ama tatu alirudi tena nyumban akiwa ametokea ukumbini kule tena kaacha watu wanapiga kura kaja tukawa tunatazama naye runinga huku anacheka Mkuu Mayala nilishangaa sana yule bwana data alizonipa kura zinatangazwa ni vile vile nilichoka kwa kweli kumbe hawa undercover wanafanya kazi za ccm Mkuu
 
Magufuli alisema Mayala maana yake nini?
Alisema Mayalla maana yake ni njaa, ila Kiswahili kina upungufu wa vocabulary
Neno
Hunger kwa Kiswahili ni njaa
Famine kwa Kiswahili ni njaa
Draught kwa Kiswahili ni njaa, ukame
Hungry kwa Kiswahili ni njaa!

Mayalla kwa Kisukuma sio njaa ni mtoto aliyezaliwa wakati wa ukame wa baa la njaa!. Sasa Msukuma yule wa kufikia, hakuweza kutofautisha baa la njaa na njaa, kauli ile ya Magufuli kuniita njaa ikatafsiriwa mimi ni mtu wa njaa njaa, sasa kwa kadri watu wanavyoita Pasco Mayalla ni njaa, kauli nyingine huumba!, hivyo ikaniumbia njaa!.

Angalia kilichonikuta baada ya kauli hiyo, Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-suffer
Wanabodi
Mimi mwenyewe na kale kajikampuni kangu ka PPR, ambapo tulibamba sana tenda za serikali, mwanzo tulikuwa na wafanyakazi 20, tukipangisha jengo la NHC pale Mtaa wa Mkwepu kwa kodi ya pango kwa mwezi, ya zaidi ya mshahara wa DC, sasa hakuna tena tenders za serikali, serikali inatangaza moja kwa moja na TBC, mwaka huu pia tenda zangu za kutangaza Maonyesho ya Saba Saba na Nane Nane zimefutwa, hivyo tumepunguza wafanyakazi 15!, tumebaki 5!. Na Mtaa wa Mkwepu hapakaliki hivyo tumehama, tumehamia jengo la Posta House kwenye kajichumba.

Paskali
Corona ilipokuja ndio ikafunga kazi!, ofisi ya Posta house nayo ikafungwa!.

Sasa nina kibarua cha kujenga image reputation kuwa Pasco sio njaa, ila pia kujenga new sustainability bila kutegemea tenda za serikali, ili tufike mahali sisi watu wa media tuwe kweli ni mhimili, tukisema mfano CCM haitufai na tunatoa sababu kwanini haitufai, na tunawaeleza wananchi we have an alternative, ni Chadema!, believe it or not, CCM inapigwa chini mazima!, Chadema inachukua nchi!.

Lakini kwa hapa tulipo hebu tusemezane kwa ukweli kabisa, kuna chama chochote cha upinzani Tanzania kina the ability, the capacity and the capability kuendesha Ikulu yetu?..

Tuziepuke kauli negative zenye negative powers, zikirudiwa rudiwa zinaumba hilo jambo!. Mfano mzuri ni kauli hizi Kauli huumba! Je, ni kweli Magufuli ni dikiteta? Kama ni kweli, ni kosa la nani kati yake na aliyetoa kauli hii? kauli hii ikamuumbia JPM udikiteta akawa dikiteta kweli!.

Kuna uongo huu ulitangazwa The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja haukukanushwa!, na kweli mwaka 2020 upinzani chali!, Bunge la Chama kimoja!.

Nilipoamua kubadili negative perspective na kutumia positive perspective on Magufuli, Magufuli is Doing Good For This Nation, Tumuassess kwa Positive Attitude, Kwa Mazuri Tumpongeze, Tumuunge Mkono Kumsupport, lakini kwa Mabaya Tumkosoe amini usiamini he stated to change.

Siku zake za mwisho mwisho aligeuka kuwa Mtakatifu, angalia uzi huu "Mimi ni Mwenzenu Hapa, Sijabadilika ni Yule Yule "KaJoni" - Ni Maneno Simple, Humble and Down to Earth Yenye Maana Kubwa!

Na by the time anatwaliwa he was a saint, Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Hivyo nawaomba sana wana jf wenzangu, naombeni tusilitumie hilo jina negative.
P
 
Alisema Mayalla maana yake ni njaa, ila Kiswahili kina upungufu wa vocabulary
Neno
Hunger kwa Kiswahili ni njaa
Famine kwa Kiswahili ni njaa
Draught kwa Kiswahili ni njaa, ukame
Hungry kwa Kiswahili ni njaa!

Mayalla kwa Kisukuma sio njaa ni mtoto aliyezaliwa wakati wa ukame wa baa la njaa!. Sasa Msukuma yule wa kufikia, hakuweza kutofautisha baa la njaa na njaa, kauli ile ya Magufuli kuniita njaa ikatafsiriwa mimi ni mtu wa njaa njaa, sasa kwa kadri watu wanavyoita Pasco Mayalla ni njaa, kauli nyingine huumba!, hivyo ikaniumbia njaa!.

Angalia kilichonikuta baada ya kauli hiyo, Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-suffer

Corona ilipokuja ndio ikafunga kazi!, ofisi ya Posta house nayo ikafungwa!.

Sasa nina kibarua cha kujenga image reputation kuwa Pasco sio njaa, ila pia kujenga new sustainability bila kutegemea tenda za serikali, ili tufike mahali sisi watu wa media tuwe kweli ni mhimili, tukisema mfano CCM haitufai na tunatoa sababu kwanini haitufai, na tunawaeleza wananchi we have an alternative, ni Chadema!, believe it or not, CCM inapigwa chini mazima!, Chadema inachukua nchi!.

Lakini kwa hapa tulipo hebu tusemezane kwa ukweli kabisa, kuna chama chochote cha upinzani Tanzania kina the ability, the capacity and the capability kuendesha Ikulu yetu?..

Tuziepuke kauli negative zenye negative powers, zikirudiwa rudiwa zinaumba hilo jambo!. Mfano mzuri ni kauli hizi Kauli huumba! Je, ni kweli Magufuli ni dikiteta? Kama ni kweli, ni kosa la nani kati yake na aliyetoa kauli hii? kauli hii ikamuumbia JPM udikiteta akawa dikiteta kweli!.

Kuna uongo huu ulitangazwa The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja haukukanushwa!, na kweli mwaka 2020 upinzani chali!, Bunge la Chama kimoja!.

Nilipoamua kubadili negative perspective na kutumia positive perspective on Magufuli, Magufuli is Doing Good For This Nation, Tumuassess kwa Positive Attitude, Kwa Mazuri Tumpongeze, Tumuunge Mkono Kumsupport, lakini kwa Mabaya Tumkosoe amini usiamini he stated to change.

Siku zake za mwisho mwisho aligeuka kuwa Mtakatifu, angalia uzi huu "Mimi ni Mwenzenu Hapa, Sijabadilika ni Yule Yule "KaJoni" - Ni Maneno Simple, Humble and Down to Earth Yenye Maana Kubwa!

Na by the time anatwaliwa he was a saint, Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Hivyo nawaomba sana wana jf wenzangu, naombeni tusilitumie hilo jina negative.
P
Hata uipambe na kuiremba vipi, njaa inabaki kuwa njaa tu.

Wewe ni njaa tu.
 
Mkuu The Boss!, nimesisimka!, you are a genius!. Japo watu humu wananiona kama nina akili, lakini kuna watu wanaona mbali mpaka!. Believe it or not, hili ndio nimelijua leo!.

Mimi ni Mkatoliki, lakini baada ya ule waraka wa TEC, niliuliza Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa? Wakatoliki wakanijia juu!.

Jumapili iliyofuata Waraka ukasomwa madhabahuni kwenye makanisa yote, misa zote, kisha ukashushwa ngazi ya Jumuiya, nikauliza tena Je, Wajua Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu? Ili Kuepuka Kuchanganya Dini na Siasa, Kuna Haja Waumini Tuambiwe Ukweli Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu? Wakatoliki walizidi kunijia juu!.

Nikamtafuta Father Kitima, ili nifanya nae mahojiano ya just 5 minutes!, aliingea for 30 minutes!, mimi si unanijua ni mtu wa maswali magumu ya kumbananisha, nikawa kila nikimbananisha Father Kitima, anachomoa!, nikamnote kama ananipiga piga chenga fulani!. Sasa leo baada ya kukusoma wewe ndio naelewa!.

Naelekea 60 soon, hivyo najiandaa kwa a honorable media exist ili ni venture on something else, nitakutumia sana ili tulisaidie taifa letu hili!.

Huko nyuma niliwahi kuuliza, kwanini akiwa ni Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!, nikauliza ni inatokea tuu coincidentally au ina coincidentishwa?. Bandiko lile lilifutwa fasta, maana hata Mkuu wetu humu pia ni Mkurasini mzuri mtiifu, ukibeza chochote cha Kurasini...!, jua..., baada ya waraka kuna bandiko nilipandisha humu,... dakika sifuri!. Kuna wakati nilishauri humu mamlaka ya modes kufuta bandiko lolote, yasiingiliwe, ila bandiko la mtu likifuta at least thread starter ajulishwe reasons!.

Sasa leo ndio umenifungua macho!.
Kumbe...!. Hawa Jamaa viboko!.
P
Dini na siasa hukutana kwenye point hii "kughilibu akili za watu/ manipulation of people's mind.
Theoretically, ni rahisi kutenga hivi vitu ila practically ni kujidanganya zaidi.
 
Nimecheza hapo pia wewe na mwalimu wako na namna prof Ibrahimu juma alivyo maliza mkasa huo na namna ulivyo pambania haki yako ,lakini pia nimecheka unaposema ulipoitwa jina lako kujibu swali hukuitika kwa kuwa hukuwa na majibu ya swali.
Mkuu Lucas mwashambwa , kiukweli nakukubali sana na kila andiko lako humu kitu cha kwanza ni unakula like yangu,
Nilipokuwa kijana I was a bad and nasty boy!. Unaitwa na Mwalimu kwa jina upo darasani, unakauka tuu, nadhani kuna watu walimwambia nilikuwepo na nilinyamaza kama kuni ignores, akaamua kunikomesha na kweli nimesoma!.
P
 
Mkuu Lucas mwashambwa , kiukweli nakukubali sana na kila andiko lako humu kitu cha kwanza ni unakula like yangu,
Nilipokuwa kijana I was a bad and nasty boy!. Unaitwa na Mwalimu kwa jina upo darasani, unakauka tuu, nadhani kuna watu walimwambia nilikuwepo na nilinyamaza kama kuni ignores, akaamua kunikomesha na kweli nimesoma!.
P
Kweli ulikuwa balaa mkuu
 
Hata uipambe na kuiremba vipi, njaa inabaki kuwa njaa tu.

Wewe ni njaa tu.
FaizaFoxy , japo nakupenda na kuniita njaa hakutapunguza kukupenda, ila hata baada ya kueleza jinsi kauli negative zinapotamkwa na kurudiwa rudiwa zinaumba, hivyo wewe ni mtu wa kuniumbia mimi njaa?!. Nilidhani Allyoki na Mebu wameisha kueleza wanakirudisha Kiti Moto, hewani!, presenta wao ni mimi mimi, hivyo hii njaa itakwisha!.

I don't believe you are such wicked woman wa kiasi hiki!.
Kwa Jina la Yesu, ushindwe na ulegee!
P
 
FaizaFoxy , japo nakupenda na kuniita njaa hakutapunguza kukupenda, ila hata baada ya kueleza jinsi kauli negative zinapotamkwa na kurudiwa rudiwa zinaumba, hivyo wewe ni mtu wa kuniumbia mimi njaa?. Nilidhani Allyoki na Mebu wameusha kueleza wanairudusha Kiti Moto, hewani!, presenta wao ni mimi mimi, hivyo hii njaa itakwisha!.
I don't believe you are such wicked woman wa kiasi hiki!.
Kwa Jina la Yesu, ushindwe na ulegee!
P
Brother you are the master of your destiny mtu kusemasema haimaanishi anaweza kuingia ndani yako na kuumba atakacho, you have keys of your life.
Watu wa aina hii(scoffers) wapo na faida yao kwa watu imara kama wewe ni kuzidi kuimarika mara dufu. Mtu ameshikilia njaaa...njaaa...haleti hoja ya maana..
Mpuuzie tu.
 
Back
Top Bottom