Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Duh!Passport kitu bhana watu wanapoteza hela ndio maana kuna balozi kwenye hizo Nchi cha kwanza ukifika ni kutoa taarifa ili ukipata matatizo yeyote inakua rahisi wao sehemu ya kuanzia kwa wasafiri kupoteza passport ishu ya kawaida tuu unaongea kama vile upo kwa Mpalange wakati unajinasibu upo Nje...
Na hutamuelewa kausha!!Duh!
Sijakuelewa aisee.
Sasa raiis anatoa passport? Kwani utaratibu hsufahamiki? Namwona samia akicheza na nyani.Passport kitu bhana watu wanapoteza hela ndio maana kuna balozi kwenye hizo Nchi cha kwanza ukifika ni kutoa taarifa ili ukipata matatizo yeyote inakua rahisi wao sehemu ya kuanzia kwa wasafiri kupoteza passport ishu ya kawaida tuu unaongea kama vile upo kwa Mpalange wakati unajinasibu upo Nje...
Taratibu za kupata passport mpya kama uliyokuwa nayo imepotea, zipo wazi.Kwamba huelewi anaposema ameibiwa passport? Kama aliibiwa mkoba wenye passport, leseni, pesa, nguo za ndani, kitabu cha katiba ya chama chake na vitu vingine, je alipaswa avitaje vyote...
Utaratibu unajulikana kabisa.Sasa raiis anatoa passport? Kwani utaratibu hsufahamiki? Namwona samia akicheza na nyani.
Kuna logic! Labda siku moja atakuja kusimulia. Taratibu ni nyepesi sana, ila yamkini kwake kulikuwa na shida.Taratibu za kupata passport mpya kama uliyokuwa nayo imepotea, zipo wazi.
Kwa nini uombe msaada wa Rais?
Kama alikuwa anakataliwa, alikuwa anakataliwa kwa misingi gani?
Bado sielewi aisee!
Duh!
Sijakuelewa aisee
Siasa za Africa wapo watu wanazuia wengine kupata haki yao Rais ndio mwenye maamuzi juu ya vikwazo hivyo...Sasa raiis anatoa passport? Kwani utaratibu hsufahamiki? Namwona samia akicheza na nyani.
Tuache siasa, hujui hata alisema atarudi lini. Waacheni wapinzani wahoji serikali, ambako kuhoji kwake waita kuropoka, uliyepo madaraka uwe waleta majibu sahihi.Jamaa amepagawa, mwanzo alisema anarudi TZ mwezi wa 3 sijui wa 5, leo anaomba Rais amhakikishie usalama wake ili arudi. Badala ya kuzungumza na Rais mambo ya msingi kama anavyoropoka akiwa huko kwa space amefyata anaomba vitu vya kitoto mno.
Hiyo shida ni nani sasa aliyekuwa anaileta? Na alikuwa anaileta kwa maagizo kutoka wapi? Juu? Katikati? Chini?Kuna logic! Labda siku moja atakuja kusimulia. Taratibu ni nyepesi sana, ila yamkini kwake kulikuwa na shida.
Duh!Tundu Anthipas Lissu ni mwanasheria na msomi. Sina wasiwasi kuwa alishafuatilia taratibu zote, lakini mamlaka zinazohusika haziwezi kufanyia kazi maombi yake kwa hofu iliyojengwa na watawala hasa utawala uliopita wa ile awamu ya giza...
Mtu kakimbia Nchi kwa ajili ya usalama wake unahoji anawezaje kukataliwa kupata passport?Taratibu za kupata passport mpya kama uliyokuwa nayo imepotea, zipo wazi.
Kwa nini uombe msaada wa Rais?
Kama alikuwa anakataliwa, alikuwa anakataliwa kwa misingi gani?
Bado sielewi aisee!
Nani sasa anayemkatalia na anamkatalia kwa misingi gani?Mtu kakimbia Nchi kwa ajili ya usalama wake unahoji anawezaje kukataliwa kupata passport?
Jiwe na minions wakeHiyo shida ni nani sasa aliyekuwa anaileta? Na alikuwa anaileta kwa maagizo kutoka wapi? Juu? Katikati? Chini?
Kiongozi sasa hayo maswali anapaswa aulizwe Lissu au mtu anayejua kinachoendelea. Wote humu tuta speculate tu. Ila wote tukubaliane si kitu cha kawaida kuomba passport kwa Rais.Nani sasa anayemkatalia na anamkatalia kwa misingi gani?
Ndugai alimkatalia wazi wazi kutomlipa hela za matibabu alimkatalia kwa misingi gani na wakati huo huo anaona Watanzania wanajichangisha mia mia atibiwe nani alihoji kuhusu hili...Nani sasa anayemkatalia na anamkatalia kwa misingi gani?