Passport ya Tundu Lissu iliibwaje akiwa Ujerumani?

Taratibu za kupata passport mpya kama uliyokuwa nayo imepotea, zipo wazi.

Kwanini uombe msaada wa Rais?

Kama alikuwa anakataliwa, alikuwa anakataliwa kwa misingi gani?

Bado sielewi aisee!
Mafao ya ubunge amekataliwa na akina Ndugai kwa misingi gani? Mafao ya matibabu amekataliwa kwa mising gani?
 
Well said [emoji106][emoji106]
 
Si kweli, amejibu hilo kule space kwamba agenda alizoongea walikubaliana na viongozi wenzake plus hizo zake mwenyewe.
 
Well said.
 
Tuache siasa, hujui hata alisema atarudi lini. Waacheni wapinzani wahoji serikali, ambako kuhoji kwake waita kuropoka, uliyepo madaraka uwe waleta majibu sahihi.

Kuihoji Serikali ni muhimu sana. Cha ajabu ni kwamba kuna watu wanakuwa mafundi sana wa kuhoji wakiwa huko space, lakini wakikutana na wanaopaswa kuwabana ili wapate majibu ya hoja zao hawatumii hiyo fursa ipasavyo. Wanalialia tu kuhusu kiinua mgongo na maslahi mengine binafsi.

Tukisema politicians siku zote wanapigania maslahi yao binafsi, baadhi ya watu hawaelewi na wako tayari kutumika kama makarai!
 
Aliondoka bila passport. Alishikwa mkono na balozi wa Ujerumani na balozi wa Marekani.
 
Pia Lissu kasema marehemu Sitta alivyoumwa huko UK alitibiwa na bunge wakati alikuwa si mbunge na hakukuwa na nongwa.
Daah hiyo zambi itamtafuna sana hela ni kodi za Wananchi na pia zipo hutaki kumtibu mtumishi mwenzio kisa mpo vyama tofauti na kwa hili inaonekana kabisa alikuwepo kwenye njama ya wapiga risasi...
 
Shida mnadanganywa sana mimi nilianza kupata asylum SA ili nipate kibali cha kusoma na kufanya kazi walinipa na passport waliniachia passport ni mali yangu sio yao soma nyuma ya passport utaelewa yupo bwana mdogo mmoja nilimsafirisha mwenyewe kutoka SA kwenda UK alipofika akachukua asylum ya Kongo DRC maana alikua anaijua DRC vizuri baadae tukafuta mambo ya asylum tukachukua Passport ya SA na ID yake ili kuifanyia kazi na ishu zingine za Safari ila hii ya sasa hivi kwa mfumo waliouweka ni ngumu kufoji maana unaonekana tofauti na mwanzo ilivyokua Watanzania wengi waliopo UK walikua na ukimbizi wa Pemba enzi zile za Mkapa na passpprt zao wanazo ukikidhi vigezo ndio utapewa passport ya kikimbizi ila pia passport yako unabaki nayo wao passport sio big deal maana hata sio kigezo cha kupata ukimbizi...watu walikua wanakaa Camp ya Namibia ya wakimbizi na passport zao maisha yakiwa ok wanakimbia na passport zao popote pale maana mipakani wanachukua hela kurudisha tarehe au kupeleka tarehe mbele kuonyesha ulitoka mpaka kesho mipaka mingi ndio ishu zao hizo ila unawalipa...
 
Hayo yote yalitokea Kenya ambayo ni mfano bora wa democrasia kwa mujibu wa chadema?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Umeelewa hata nilichoandika
Umeelezea vizuri kuna watu wamesafiri sana ila nashangaa hawajui vitu exposure bado zero licha ya kusafiri.
 
Taratibu za kupata passport mpya kama uliyokuwa nayo imepotea, zipo wazi.

Kwanini uombe msaada wa Rais?

Kama alikuwa anakataliwa, alikuwa anakataliwa kwa misingi gani?

Bado sielewi aisee!
Wakati mwingine kuna mambo yanachekesha!!Hivi kweli TL ni raia wa kawaida wa Tanzania?Je mmesahau ya kuwa alipelekwa uwanja wa ndege kwa mwavuli wa ubalozi wa nje?Ni kweli kuwa balozi za nje zilikuwa haziujui ukweli?
 
Yawezekana alifuatilia wakamgomea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…