igogondwa
JF-Expert Member
- Aug 1, 2021
- 2,597
- 3,373
Punguza undezi jombaa, unajuaje kama mamlaka husika zimemtolea nje? Mbona husemi issue ya kuomba mafao yake ya ubunge na matibabu, ambayo pia amemuomba Rais??Sasa raiis anatoa passport? Kwani utaratibu hsufahamiki? Namwona samia akicheza na nyani.