Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #241
all trueBiashara ya bodaboda inalipa ikiwa tu utawapa waendeshaji kwa mkataba kwa maana ya kuwa akimaliza hesabu ya Mwaka kwa kila siku kurejesha 10,000/ inakuwa mali yake, vinginevyo ataendesha rough rough sana kiasi kuwa kwa Mwaka mmoja boda inakuwa skrepa
Sent using Jamii Forums mobile app
zinaletaBiashara si rahisi kiasi hicho, huwezi kuwa na bdbd 50 zikafanya kazi kama ulivyoandika. Yaani zinaleta tuu hela.
hayaHata mm nilithubutu kuanza na mbili, ila siwezi kuongeza ya tatu kwakuwa Rejesho na Nalitumia kwa kazi nyingine. ila inanisaidia sana kutatua changamoto nyingi za kila siku.
Sawahapa hapa nchi yetu pendwa
Ukiuza unaenda kulala wapi!!?NI kweli
BIASHARA ya Bodaboda ukiifanya vizuri utapata Hadi milioni 15 KWA MWEZI
Statistics zaonyesha hivi
View attachment 2749912
🙂Sawa
unanunua kwa hela ya faidaU
Ukiuza unaenda kulala wapi!!?
Sawa mkuu!unanunua kwa hela ya faida
Sababu ziko nyingi sana ila sababu kubwa zaidi ni mbili.Ni sawa na biashara za usafirishaji kwenye mabasi; lakini tujiulize kwa nini hizo kampuni huwa zinakufa ingawa huwa zinaingiza hela?
kweliSababu ziko nyingi sana ila sababu kubwa zaidi ni mbili.
1.Risks ni nyingi sana ikiwemo ajali na uchakavu wa vipuri ni rahisi kukufilisi hata kama uliingiza faida.
2.Ukiwa na biashara ya usafirishaji pesa inayopatikana walaji ni wengi mno mwisho wa siku faida halisi inayobaki kwako ni ndogo sana na hiyo hiyo ndogo mbeleni itahitajika tena kwa dharura.
Walaji ni kama trafiki,Sumatra,TRA,halmashauri,Fundi gereji,Dereva/kondakta na wengineo.
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
HAHAH,. Umetishasio kweli umepigia uongo
Na huwa zinavutia kweli kweli.....sema ndio hivo tena kuzifanya siwezi.zimekuvutia mopaka ukaja
10k kwa siku kwa uwekezaji wa almost 3m ni hela ndogo sana!anakuletea elfu 10 kwa siku humlipi mshahara anajilipa mwenyewe kwenye maokoto yake
UWEE10k kwa siku kwa uwekezaji wa almost 3m ni hela ndogo sana!
cheka upunguze stressniko na soma uzi nacheka 2
hahahaaSafi mtoa nada. Kama unabisha toa na wewe wazo lakusaidia wengine, unasema ni biashara kichaa, onyesha isiyo kichaa au inayolopa zaidi.
Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
hahahahaNa huwa zinavutia kweli kweli.....sema ndio hivo tena kuzifanya siwezi.
Hizo nyumba za kuuza unagawa wapi?NI kweli
BIASHARA ya Bodaboda ukiifanya vizuri utapata Hadi milioni 15 KWA MWEZI
Statistics zaonyesha hivi
View attachment 2749912