666 chata
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,700
- 3,921
- Thread starter
- #41
Mkuu pole sanaa na maswaibu hayo uliyo yapata.Mkuu ebu naomba ushauri wako kwenye hili suala ππππππππππππ
Wakuu poleni na majukumu, naombeni msaada wenu mawakili wasomi, na wadau wengine Kwenye jukwaa hili. niende moja kwa moja kwenye mada...
Mosi unapaswa kujua kua swala lako limegawanyika ktk sehemu mbili, moja ni ishu ya kimkataba na pili ni ishu ya kikampuni kwa maana ya shares.
1. Ili kesi ya madai ifike mahakamani ni lazima kuwe na kitu kimoja kinachoitwa cause of action, kisababishi/msingi wa madai,,, sasa hapa ni lazima uwe makini nako je msingi wa madai yako unataka uweje ni wale jamaa kukuvunjia makubaliano kinyemela na kukutimua bila malipo ya aina yoyote au ni wewe kunyimwa shares zako bila mpango sahihi anuai.
Lakini ni lazima kwanza kabla haujajibu moja hapo juu wewe uandae mazingira rafiki na wezeshi ya madai yako kwa maana kama kuna memorandum ya makubaliano, jumbe za email, barua, makubaliana nk nk.
Taratibu zingine utashauriwa hapa hapa tu, ila jua kwanza juu ya haya machache hapa juu na useme ulichokua unataka pia, ni izo milion 30, shares au fidia? Je pakuwabania ni wapi? Cause of action yako ulitaka iwe ipi?