Pata ushauri wa bure wa kesi yoyote, Ardhi, Jinai na Madai (Thanks Giving Days)

Pata ushauri wa bure wa kesi yoyote, Ardhi, Jinai na Madai (Thanks Giving Days)

Mimi sio mwanasheria ni 'mpima ardhi 'lakini ngoja nitoe opinion yangu
Opinion
Kwa mujibu wa Maelezo yako hapo juu unasema kwamba 'umepanga kudhulumu ' basi hapo tayari ulishaonesha nia mbaya 'mens rea ' na kitendo unacho kifanya tayari kimezuiwa kisheria 'actus reus ' sasa basi kwa mujibu wa sheria inaitwa 'penal code cap 16' au kwa kiswahili Kanuni ya adhabu hilo kosa linaitwa 'obtaining money by false pretense ' yaani kujipatia pesa kwa udanganyifu.
Partly admitted, and partly rejected. Soma kesi ya Kahama (1983) TLR 81 kujua legal position ya OMFP.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara ya mwisho nilifanya hivi ilikua mwaka jana na wengi niliwasaidia bure tu, lakini hawakushukuru au wengine kuleta mrejesho.

Naam wakili nipo likizo toka hapa kijijini nilipo so naimani naweza kutoa msaada walau ata robo tu tokana na maarifa machache ya sheria niliyo bahatika kuya soma.

pro bono ya hapa na pale [emoji3],,, yasiwe yakuumiza kichwa saanaa wala kufikirisha sanaa, ni hivi vya hapa na pale tu.
Naomba unisaidie hili,serikali ya kijiji inatengeneza barabara jee wenye maeneo yatakayo athilika je wanalipwa au haki ikoje kisheria? Hayo maeneo yatakayo athiliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ndugu
Je? Inawezekana kwa mmoja wa wanandoa waishio kindoa na wenye watoto kununua ardhi au nyumba na kubakia kwenye umiliki binafsi hata ikitokea wameachana na kuamuliwa kugawana mali zote???
 
Habari ndugu
Je? Inawezekana kwa mmoja wa wanandoa waishio kindoa na wenye watoto kununua ardhi au nyumba na kubakia kwenye umiliki binafsi hata ikitokea wameachana na kuamuliwa kugawana mali zote???
Ndio inawezekana kabisaa na hua inawekwa wazi baina ya wana ndoa hao kwamba kitu iki na nunua ila kitakua ni mali yangu tu, kumfanya awe anajua tangu siku ya kwanza ya umiliki wa kitu husika na title ya umiliki inakua na jina la mwanandoa husika.
 
Ndio inawezekana kabisaa na hua inawekwa wazi baina ya wana ndoa hao kwamba kitu iki na nunua ila kitakua ni mali yangu tu, kumfanya awe anajua tangu siku ya kwanza ya umiliki wa kitu husika na title ya umiliki inakua na jina la mwanandoa husika.
Sasa inakuwa mahakama huamua kugawanya mali kwa wanandoa ikitokea wametengana hata kama mali zile zipo kwa jina la mmoja wao
 
Sasa inakuwa mahakama huamua kugawanya mali kwa wanandoa ikitokea wametengana hata kama mali zile zipo kwa jina la mmoja wao
Okei tunasema kwenye ndoa kila kitu kinachonunuliwa kinakua communally, yaan kinanunuliwa na nia ya kutumiwa wote na wote ktk familia walisababisha icho kitu kikanunuliwa kwa namna moja au nyingine either kwa mawazo, urahisishaji wa nafasi au kufarijiana hadi kitu kikapatikana, na hapa ndipo linapokuja swala la mali kugawana bila kujali mnunuzi alikua ni nani.

Lakini kua ndani ya ndoa hakumzuii mke au mume kumiliki mali zake binafsi, na hapa ni kuweka official tu kitu iki ni changu pekee angu na kumfanya mwenza nae ajue kabisaa, kwaio utofauti unakuja kwenye ku official vitu ila tu kuwe na sababu maalam, haiwezekani familia iwe haina nyumba mume ukajenga nyumba alaf ukaanza kusema hii ni yangu pekee angu ata ikiwa official vp, ila kama tayari familia ina nyumba yake tu ipo na mume ukajenga nyingine tena na kusema hii official itakua ni yangu pekee angu, then ni reasonable na inakubalika.

Ndo maana ktk mgawanyo wa mali haujawai kusikia wanandoa wanagombania mpaka simu, na sometimes ata magari hua hayaesabiwi kabisaa ktk sehemu za mgawanyo.
 
Wakili, kuna mtu yuko mahututi hapo muhimbili na pia anahitaji kulipa, na kutoa hela za matumizi, hivyo aliandika power of attorney kabla Hali yke haijabadilika na kuwa mahututi kwa sasa.
Huyo ndugu yake aliepewa power of attorney akaenda hapo NMB bank na kuambiwa kuwa ni lazima wapate uamuzi toka mahakamani.
Je unawez saidia hapo kuwa ni application gani? Power of attorney imeshasajiriwa
Mara ya mwisho nilifanya hivi ilikua mwaka jana na wengi niliwasaidia bure tu, lakini hawakushukuru au wengine kuleta mrejesho.

Naam wakili nipo likizo toka hapa kijijini nilipo so naimani naweza kutoa msaada walau ata robo tu tokana na maarifa machache ya sheria niliyo bahatika kuya soma.

pro bono ya hapa na pale [emoji3],,, yasiwe yakuumiza kichwa saanaa wala kufikirisha sanaa, ni hivi vya hapa na pale tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakili, kuna mtu yuko mahututi hapo muhimbili na pia anahitaji kulipa, na kutoa hela za matumizi, hivyo aliandika power of attorney kabla Hali yke haijabadilika na kuwa mahututi kwa sasa.
Huyo ndugu yake aliepewa power of attorney akaenda hapo NMB bank na kuambiwa kuwa ni lazima wapate uamuzi toka mahakamani.
Je unawez saidia hapo kuwa ni application gani? Power of attorney imeshasajiriwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Dooh bank gani hio inafanya kazi kitoto ivyo, uamuzi mahakamani mtu yuko hai? Hopefully walimaanisha Affidavit/hati ya kiapo kua ndugu mwenye akaunti amempa mtu power of attorney kama inavyoonesha kwenye power of attorney kua ana hapa kweli yeye ni mgonjwa, hana nguvu wala uwezo tena wa kwenda kuchukua hela izo so anamtuma mtu kwa kutumia power of attorney.... yeah ni ktk kupata uhakika na usalama wa fesha za mteja wao...affidavit mnaweza tengenezewa na wakili yoyote alie karibu yenu.
 
Watu wanaiheshimu na kufanya biashara taaluma ya sheria huku legal opinion zinatolewa bure...acha kuishusha hadhi hii profession

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanaiheshimu na kufanya biashara taaluma ya sheria huku legal opinion zinatolewa bure...acha kuishusha hadhi hii profession

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri wote uliotolewa hapo juu ulikua ni wakawaida tu just basics abcd basi hakukua na uingiaji mkubwa wa kitaaluma na sanaa mwisho washauriwa niliwashauri wawatafte mawakili walio maeneo yao kwa msaada zaidi, mwisho kabisaa ni jukumu la kila mwana taaluma kuhakikisha kua jamii zinapata haki so njaa njaa zenu pelekeni hukooo.
 
nina jamaa yangu aliua bila kukusudia na kisa kilikuwa hivi...
jamaa akiwa ofisini alipigiwa sim na mke wake kuwa kuna mtu huwa anamsumbua kwa kumtaka kimapenzi na leo ananitumia msg eti anataka kuja kunywa chai jamaa yangu akamjibu mkewake kuwa mkaribishe na mwambie nimesafili alafu mi nitatokea na kuja kumuadabisha.

muda ulivo fika kweli mwanamke alifanya kama walivyo panga na akamtaarifu jamaa yangu ya msg kuwa kasha fika tayari yupo anakunywa chai.jamaa yangu hakuchukua mda na akatoka na vijana wengine wawili ambao walienda kama kumpa kampani.

bahati mbaya yule mlengwa alipoteza uhai kutokana na azabu waliyo mpa na ikapelekea jamaa yangu na mkewe kushikiliwa na polisi wale vijana wengine wawili walio enda kutoa kampani wao walifanikiwa kikimbia.vipi hapa kesi inakaaje.je ni kesi ya kuua au kuua bila kukusudia??.na vipi azabu yake??
msaada tafadhari.
 
Pongezi kwako mkuu, naomba kujua yafuatayo
1.Utaratibu wa kumnyag'anya kiwanja chenye Hati(Title Seed)
2.Utaratibu wa kummilikisha mtu mwingine kiwanja kilichona Hati(Title Deed) bila mmiliki wa kwanza mwenye Hati kunyang'anywa.
3.Je mmiliki wa pili na wa kwanza nani ana Haki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimlipa MTU deni harafu asisain settlement deed anaweza kunigeuka kuwa cjamlipa.
 
Back
Top Bottom