D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,399
- 3,666
Mtu unaweza kufungwa kwa kufanya makosa Kwenye kazi yanayoweza kuhatarisha usalama wa nchi,hata kama kipengele hakipo Kwenye mkataba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba ni sheria mama, sheria ndogo ndogo ndio zinazotoa adhabu na kuya hainisha makosa, hakuna kosa ambalo halipo kwenye sheria, kama lipo basi ni asilimia 1 katika 100.Mtu unaweza kufungwa kwa kufanya makosa Kwenye kazi yanayoweza kuhatarisha usalama wa nchi,hata kama kipengele hakipo Kwenye mkataba?
Mku
Mkuu gharama za upimiwaji viwanja/kiwanja haziwezi kuzidi laki na elf 50, na hii ilishushwa na wizara ya ardhi toka mwaka jana ambako kiasi kilikua ni 250,000. so hakuna anaetakiwa kuzidisha laki na elf 50 na waziri alionya sanaa, tafta haya makampuni huko ulipo yatakuwepo tu Visible Planners au Afro Max, wanafuata bei hio hio ya laki na 50.
Kwa kosa hilo hakupati, kosa hilo ni pale ambapo kitu kimewekezwa au kuhifadhiwa kwako. Kilichopo hapo ni makubaliano /mkataba wa kukopeshana pesa.Kuna mtu ananidai million 4 na mpango wangu ni kumdhulumu kabisa! Na nimemkopa tena mdogo wake yani nampango wa kudhulumu familia nzima je wakinifungulia kesi ya wizi wa uaminifu mahakamani watanishinda?
ntakua napita siku moja moja kuona kama hivi, maana kidogo sasa siko likizo tena.Kaka/mkuu asante sana.
Nakuomba usichoke kutembelea ukurasa huu mara kwa mara.
Sent using Jamii Forums mobile app
inategemeana, kama ni mahakama ya mwanzo ukifika unapeleka malalamiko yako masijala zao then wanakupa fomu unazijaza, au unapeleka malalamiko yako kwa njia ya maandishi tu, kama ni mahakama za wilaya hadi mahakama kuu kuna documents zakutengenezwa ambapo unaomba msaada wa mawakili.
ndio anaweza kuikatia rufaa hukumu hio, japokua yuko nje ya muda, basi atafanya maombi maalumu katika mahakama ya juu tofauti na ile aliyo hukumiwa nayo, maombi haya itakua ni juu ya kuomba kuongezewa muda wa kukata rufaa kwa sababu hizo na hizo na hizo atakazo zitaja, baada ya kupewa ruhusa ya kuleta maombi yake ya rufaa, then atakatia rufaa.wakili naomba unisaidie kuna ndugu yangu alifunguliwa kesi ya kufoji na kujipatia nyumba kwa njia ya kugushi ingawa alikuwa na haki bahati mbaya akashindwa kesi lakini baadae akapata uthibitisho kuwa wale waliomshinda vielelezo vyao vilikuwa vya kufoji ila muda ulikuwa umepita .Je anaweza kufungua tena mahakamani kutengua maamuzi yalitoa haki kwa yule aliyemshinda.Ushahidi wote anao.
Mkuu kama una vielelezo vyote basi ningekushauri uende Baraza la Ardhi la Wilaya au la Kata (tegemea na thamani ya ilo eneo kwa sasa), kawafungulie mashtaka wote wawili yaani ile familia ya kwanza na hio serikali ya kijiji iliyochukua ilo eneo, maombi yako yakiwa ni kuliomba baraza lithibitishe wewe ndio mmiliki halali wa ile ardhi, itoe oda ya kuwaondoa watu wote walioko kwenye ilo eneo na itoe amri kwa serikali ya kijiji ikurudishie eneo.Habari wakili, baba yangu alinunua kiwanja mwaka 89 kwa thaman ya ng'ombe mmoja. Huyo aliyemuuzia akafariki, watoto wake pamoja na wajukuu wakaja juu wakidai pesa aliyonunua mji baba kwa baba yao n ndogo...baba akakataa hapo ukatokea mtafaruku pande zote mbl kugombea mji serkal ikainglia kat na kuchukua mji. Ili lipoje kisheria naweza kwenda mahakamn kufungua kesi ili kugomboa mji mikonon mwa serikal ikiwa baba yangu alikufa na nyaraka ninazo mimi
Ndio ukienda Mahakamani unaweza pata msaada kwenye ilo.... hayo makubaliano yenu mlioyandikishana ndio hayo hayo unayoenda kuyadai, kwamba amekiuka deed of settlement/hati ya makubaliano, ivyo akulipe kama mlivyokubaliana na faida juu.... nenda mahakamani wala usiogope, wewe ni mdai ivyo hakuna kitakacho kugeukia.Mkuu mimi nilimpatia pesa mtu aninunulie Korosho,. Kinyume chake akanisumbua hadi msimu ukaisha na pesa kala,.
Kilichofanyika tukaandikishiana kwamba atanilipa lakini sioni dalili Za kulipwa alichofanya ni kunipoza kidogo tu kiasi cha Ile fedha.
Mkuu kama una vielelezo vyote basi ningekushauri uende Baraza la Ardhi la Wilaya au la Kata (tegemea na thamani ya ilo eneo kwa sasa), kawafungulie mashtaka wote wawili yaani ile familia ya kwanza na hio serikali ya kijiji iliyochukua ilo eneo, maombi yako yakiwa ni kuliomba baraza lithibitishe wewe ndio mmiliki halali wa ile ardhi, itoe oda ya kuwaondoa watu wote walioko kwenye ilo eneo na itoe amri kwa serikali ya kijiji ikurudishie eneo.
Kisheria ilo eneo mzee wako alilinunua kihalali kwa wakati huo ambapo hata hakukua na masharti mengi ktk manunuzi ya ardhi, lakini pia kulikua kuna mabadilisho ya thamani kwa kila mmoja, eneo ilo lilifanikiwa kuhamishwa umiliki kwenda kwa mtu mwingine kihalali.