Pata ushauri wa bure wa kesi yoyote, Ardhi, Jinai na Madai (Thanks Giving Days)

Pata ushauri wa bure wa kesi yoyote, Ardhi, Jinai na Madai (Thanks Giving Days)

Ripoti ya mkaguzi wa mahesabu ya ndani ilisema nina kosa la wizi lkn mwajili akanituhumu kwa kosa la kukusudia kuiba na kuniachisha kazi.

Walinishitaki polisi kwa kosa la wizi lkn baada ya uchunguzi wa jeshi la polisi nilionekana sina kosa na polisi waliandika barua kuja kwa mwajiri wangu kwamba hawaoni kosa. Hii imekaaje mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ripoti ya mkaguzi wa mahesabu ya ndani ilisema nina kosa la wizi lkn mwajili akanituhumu kwa kosa la kukusudia kuiba na kuniachisha kazi. Walinishitaki polisi kwa kosa la wizi lkn baada ya uchunguzi wa jeshi la polisi nilionekana sina kosa na polisi waliandika barua kuja kwa mwajiri wangu kwamba hawaoni kosa. Hii imekaaje mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wakati wako sasa wa wewe kupiga come back ya kutisha na kulipwa fidia, hapo kuna mawili moja ni kufungua kesi ya madai ya ajira, na pili ni kufungua kesi ya madai kwa vitendo vya hila vilivyo fanywa na muajili.... ila focus hapo kwenye kuachishwa kazi bila kufuatwa utaratibu wa kumuachisha mfanyakazi kazi yake, so unaweza kui term kama unfair termination of employment.
 
Ni wakati wako sasa wa wewe kupiga come back ya kutisha na kulipwa fidia, hapo kuna mawili moja ni kufungua kesi ya madai ya ajira, na pili ni kufungua kesi ya madai kwa vitendo vya hila vilivyo fanywa na muajili.... ila focus hapo kwenye kuachishwa kazi bila kufuatwa utaratibu wa kumuachisha mfanyakazi kazi yake, so unaweza kui term kama unfair termination of employment.
Nina madhara na faida ya kesi kusikilizwa upande mmoja?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kufahamu, nina kesi ya kikazi CMA ina miaka mitatu sasa lkn imewahi kusikilizwa mara moja tu lkn safari zingine kila tukienda mahakamani kesi inaahirishwa na sababu ni mwajiri wangu ana buy time kwa makusudi kabisa ili kesi iwe inaahirishwa. Kipi naweza kufanya ktk hili?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naomba kujua utaratibu wa kisheria wa kumnyang'anya mtu kiwanja chenye Hati Title Deed Miaka 33

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unapaswa kujua kwamba tangia pale mtu alivyopatiwa haki ya kumiliki kiwanja hakuna mtu mwingine anaeweza kumnyang'anya kiwanja icho isipokua Rais tu.

Na manyanganyo hayo hua yanaambatana na fidia, unless mahakama ihamue tofauti baada ya kujitokeza mtu mtu mwingine mwenye malalamiko kua kiwanja kile kilikua ni chake, basi order itatoka na hati yenye jina la mtu husika itabadilishwa mara moja.

Pia mtu ana ruhusiwa kuwarudishia kiwanja wizara na kuna forms ana jaza na unaangaliwa utaratibu wa mwingine wa kufidiwa.
 
Wakili naomba msaada, Nikweli mwajiri anaweza kusitisha huduma za matibabu yani (Medical Insurance) zilizo kwenye makubaliano ya kimukataba..!!? Pasipo kukupa taarifa zozote juu ya hilo nanukimuuliza anakwambia ameshindwa kukuhudumia kwa sababu za kiuchumi, naomba kuelewa hapa.

Maana Mimi mwajiri kasitisha huduma hii na nimemuandikia demand notice anilipe fidia ya M 200/ kwa kunisababishia usumbufu Mimi na familia yangu.
 
Je kesi ya kikazi iliyo CMA mkoa wa Rukwa inaweza kuhamishiwa mkoa mwingine Kama vile Mwanza kwa ajili ya uamuzi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Haiwezekani, na hio ni sababu nzuri ya kuimaliza hio kesi iliyofunguliwa mkoa mwingine, kitaalam inaitwa Res Subjudice, lakini vile vile pingamizi jingine ni nguvu ya tume kimipaka 'teritorial jurisdiction' kesi inaisha kwa dk 3 tu.
 
Wakili naomba msaada, Nikweli mwajiri anaweza kusitisha huduma za matibabu yani (Medical Insurance) zilizo kwenye makubaliano ya kimukataba..!!? Pasipo kukupa taarifa zozote juu ya hilo nanukimuuliza anakwambia ameshindwa kukuhudumia kwa sababu za kiuchumi, naomba kuelewa hapa.

Maana Mimi mwajiri kasitisha huduma hii na nimemuandikia demand notice anilipe fidia ya M 200/ kwa kunisababishia usumbufu Mimi na familia yangu.
Hana huu uwezo, akifanya iv kavunja mkataba so una haki ya kudai fidia mbele ya chombo chenye mamlaka.
 
Nitafute inbox, swala lako liko mahakamani so siwezi share hapa on public vitu gani ufanye.
naomba nishauri kitu mkuu nimeripo polisi na kutoa malalamiko juu ya mtuhumiwa aliyejaribu kunidhuru nimetoa details zote za muhusika maana alijaribu kuniua ajabu askari aliyekabidhiwa kesi ananitaka nimpe elfu 90 kwa ajili ya kumfuatilia mtuhumiwa kupitia namba yake kilichonitisha zaidi askari ananiambia km hali yangu kiafya sio nzuri maan nilijeruiwa vibaya nikae kwanza nijiuguze hadi nitapokuwa vizuri ndio nirudi.

nimejiuliza maswali mengi hii inakuwaje kisheria na utaratibu upoje hasa ebu nishaurini waku kabla maamuzi mengine maan naona kuna kiumbe kinataka kufanya matatizo ya watu fursa sasa..
 
naomba nishauri kitu mkuu nimeripo polisi na kutoa malalamiko juu ya mtuhumiwa aliyejaribu kunidhuru nimetoa details zote za muhusika maana alijaribu kuniua ajabu askari aliyekabidhiwa kesi ananitaka nimpe elfu 90 kwa ajili ya kumfuatilia mtuhumiwa kupitia namba yake kilichonitisha zaidi askari ananiambia km hali yangu kiafya sio nzuri maan nilijeruiwa vibaya nikae kwanza nijiuguze hadi nitapokuwa vizuri ndio nirudi.

nimejiuliza maswali mengi hii inakuwaje kisheria na utaratibu upoje hasa ebu nishaurini waku kabla maamuzi mengine maan naona kuna kiumbe kinataka kufanya matatizo ya watu fursa sasa..
Nenda hospital na hio pf3 ya polisi ambayo bila shaka uliipata, alaf nenda mahakama ya mwanzo ukafungue kesi ya madai ya fidia kuumizwa lakini vile vile jinai kwa kutishiwa maisha, mahakama ya mwanzo ina ruhusu watu waendeshe kesi zao wenyewe.

Au muone mkuu wa kituo husika cha polisi umuelezee haya, atakusaidia.
 
Habari mkuu...naomba msaada wa kisheria kwenye hili suala..👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

Tulikua tuna nyumba ya kurithi,sasa tukaamua kuiuza XXXM.,july 2019...mteja tuliemuuzia hakua na cash hivyo akatuomba atulipe kwa instalments,akatoa gari yenye thamani ya 30M then akatoa na 15M cash,then akaahidi kimkataba wa maandishi kua hela iliyobaki atakua anatoa 15M kila mwezi mpka atakapokamilisha ambayo ilitakiwa amalize mwezi.

November,2019...sasa tatizo limekuja halipi hela kama makubaliano yalivyokua, mara anasema hana hela,mara ukimbana sana anakupa million 1, anakaa baada ya miezi miwili anatoa tena million 1,yani ni majanga.

saa zingine inapita miezi miwili hajatoa hata mia..simu hapokei,,kila siku anasema namalizia mwezi huu mwezi huu na miezi inakata tu...sasa tumechoka tunataka kuvunja mkataba... je,tutafaidika na uamuzi uo au ndo tutakua tumeharibu ?na taratibu za kuvunja mkataba zipoje apo??
 
Zillionaire_tz,
Huyo mliingia nae mkataba wa aina yake aisee, lakini mkataba ni mkataba na parties za mkataba husika zinaradhimishwa kuheshimu makubaliano, kushindwa kulipa pesa kwa wakati ambao mlikubaliana ni kusababisha kuuvunja mkataba husika ambapo matokeo yanaweza kua mvunja mkataba amalizie kiasi anachodaiwa na fidia kiasi au alipwe walau robo tatu ya pesa alizo zitoa wakati wa makubaliano.

Mpaka hatua mliyofikia hakuna atakae chukua asilia zote 100,,, swala lenu mnaweza kulitatua, kwa nyie mtafteni wakili yoyote aliyopo maeneo yenu amwandikie mdaiwa 'demand note' then ampe jamaa siku kadhaa la sivyo swala litafika mahakamani, then akiwa muungwana atalipa tu.
 
Back
Top Bottom