666 chata
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,700
- 3,921
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiwezekani kwa mazingira yoyote yale, na ni makosa makubwa kwa muajiri.Habari wakuu....Ninaomba kujuzwa kidogo juu ya suala la makato ya mshahara wa mfanyakazi. Je,inawezekana katika mazingira yoyote yale kukata mshahara wote wa mfanyakazi?
Asante
Attempt to theft? Hakuna kosa la hivi kwa mujibu wa sheria ya mwenendo wa jinai, inakazia kwa kusema, "A person shall not be deemed to take a thing unless he moves the thing or causes it to move." Kwamba atleast alikiondoa icho kitu alicho taka kukuiba sehem moja kwenda sehem nyingine walau, lakin sio mawazo tu et alitaka kuiba huyu.Naomba kufahamu vipengele vinavyoweza kuunda "kosa la kukusudia kuiba" au kosa la kukusudia kuiba linaweza kuthibitishwa namna gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa nimekuelewa vzr sana mkuu! Lakini kama kitu kikikamatwa na polisi nje ya wilaya husika. Je huo ni wizi au kusudio la kuiba?Attempt to theft? Hakuna kosa la hivi kwa mujibu wa sheria ya mwenendo wa jinai, inakazia kwa kusema, "A person shall not be deemed to take a thing unless he moves the thing or causes it to move." Kwamba atleast alikiondoa icho kitu alicho taka kukuiba sehem moja kwenda sehem nyingine walau, lakin sio mawazo tu et alitaka kuiba huyu.
Mkuu gharama za upimiwaji viwanja/kiwanja haziwezi kuzidi laki na elf 50, na hii ilishushwa na wizara ya ardhi toka mwaka jana ambako kiasi kilikua ni 250,000. so hakuna anaetakiwa kuzidisha laki na elf 50 na waziri alionya sanaa, tafta haya makampuni huko ulipo yatakuwepo tu Visible Planners au Afro Max, wanafuata bei hio hio ya laki na 50.Mkuu kwema. Mm nimenunua kiwanja mkoa flani kanda ya ziwa na mm naishi mkoa mwingine. Sasa nililipa upimaji shirikishi laki na nusu. Ila wakati wanafanya upimaji sikuwepo hivo wapimaji waliunganisha kiwanja changu na cha jirani kikawa kimoja na wakaandika jina la jirani. Sasa juzi nikaenda kuangalia utaratibu nilipie hati ndo nikagundua hilo. Nikamwambia jirani tuchange tulipie tupimiwe upya akagoma akasema yeye hana tatizo. Nikaona isiwe tabu nijilipue mwenyewe nilipe nipimiwe upya. Ila nilipoambiwa gharama nikaxhoka 1.5mil ambayo sikuwa nayo. Ninachotaka kujua ni gharama za kufanyiwa upimaji upya ni sh ngapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni wizi kwa sababu kitu kimetolewa point moja kwenda nyingine.Sawa nimekuelewa vzr sana mkuu! Lakini kama kitu kikikamatwa na polisi nje ya wilaya husika. Je huo ni wizi au kusudio la kuiba?
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kila ardhi, usisahau mambo ya easements.Ndio inawezekana, kila ardhi inayochukuliwa ni haki mwenye nayo kulipwa fidia.