Basi wazungu wasipo kuja huko arusha na kilimanjaro si mtakufa kwa njaa ndo mjue hamna umuhimu wowote zaidi ya utalii tu.Kumbuka kuwa Corona 2020/2021 ilijeruhi sana sana utalii na hivyo kuathiri sana pia uchumi wa mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara
Itapewa wala usiwazeNadhan wameshamaliza kuizunguka kuaznzia kagera mpaka lindi kila kona wapo kama maji
Nashauri ipewe sukuma land
Unabishana na watu wenye utapiamlo unafikiri utaeleweka😀😀Jamaa wanajifariji huko wakati wanaelewa fika kwamba wanachangia maskini wengi Sana hapa Tzn.
Hakuna mikoa mitamu kwa kuishi hapa Tzn kama Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.
Ng'ombe si zipo lakini tena za kutoshaMzee gani? Mule Misasi,Hungumalwa,Ng'oombe,Ngudu , Sengerema ndio kumeendelea ?😃😃
Maisha ya nguruwe Yale
Nyie si mnaishi kama mabata hamjielewi.Mzee gani? Mule Misasi,Hungumalwa,Ng'oombe,Ngudu , Sengerema ndio kumeendelea ?😃😃
Maisha ya nguruwe Yale
Hakuna asset inayokunya we kenge,huko dry zone ni njaa tupuNg'ombe si zipo lakini tena za kutosha
Ngoja niwashtue, wasukuma wenzangu njooni kigamboni tufukuze waswahili kuna ardhi huku miliioni chache tu.Unajua kuwakera
Utapiamlo ndio wapo kila kona ya tz hawakwepekiUnabishana na watu wenye utapiamlo unafikiri utaeleweka😀😀
Sisi sio wafugaji ,nyie wafugaji mnaish kama nguruwe Bata yaani hovyo kabisaNyie si mnaishi kama mabata hamjielewi.
Kinachoiendeleza Mwanza ni wazuri wa kupokea wageni na kuwaacha wawekeze kwenye viwanda na biashara.Kwenye suala na maendeleo Mwanza inakimbia kwa kasi sana, nilikua na miezi kadhaa sijafika Mwanza leo nina wiki niko Mwanza kuna mabadiliko ya kimaendeleo makubwa sana yanayo onekana kwa macho si yakufikirika kuanzia barabara, hudumaza afya na makazi. Kati ya mikoa niliyowahi kufika Mwanza ndio mkoa wananchi wake wana makazi bora sana japo yapo maeneo yenye makazi duni kama Igogo na mabatini tena nahisi hizo tu ndio sehemu zenye makazi duni.
Kwenye afya kuna zaidi ya hospital 5 za kisasa ukianzia bugando ,sekou toure, kamanga hospt aghakan, Tanzanite hospt dispensary karibu kila mtaaa clinic za madactari bigwa zipo za kutosha.
Mwanza mjini watu wako busy na kazi wizi wa kishenzi shenzi wa kuchomoleana upo kwa kiasi kidogo sana, watu wako busy na maisha .
Anyway Mwanza imekua kiuchumi.
Duuh! wewe unawazidi nin hao watu weny ng'ombe 1000Hakuna asset inayokunya we kenge,huko dry zone ni njaa tupu
Hii report inaonekana imewauma kinoma noma lakini ukweli ndo huo ata iweje kanda ya ziwa ndo blessed land.Unabishana na watu wenye utapiamlo unafikiri utaeleweka😀😀
Nidhania utalii na east africa HQ ingeifanya Arusha kuwa na pato kubwa kupita mikoa mingine ukiondoa Dar!!We jamaa bwana ,unasikitisha Sana ..Bustan ya Eden iko Mikoa ya Kusini ..Mbeya kiujumla inaongoza kwa uzalishaji wa nafaka mseto Tzn hii Sasa sijui unataka nini kingine.Niongeze volume?
Umewasikia TMA lakini? Soon hizo ng'ombe zinageuka mizoga hapo ndio utajua nawazidi au siwazidi.Duuh! wewe unawazidi nin hao watu weny ng'ombe 1000
Basi wazungu wasipo kuja huko arusha na kilimanjaro si mtakufa kwa njaa ndo mjue hamna umuhimu wowote zaidi ya utalii tu.
Ufugaji ndo unashikilia ata mapato ya Ethiopia kwa kiasi kikubwa, we endelea kudharau watu wenye ngombe zaidi ya 1000 mtu mmoja.Sisi sio wafugaji ,nyie wafugaji mnaish kama nguruwe Bata yaani hovyo kabisa
Ukame umeanz leo?Umewasikia TMA lakini? Soon hizo ng'ombe zinageuka mizoga hapo ndio utajua nawazidi au siwazidi.
Weka kichwani kwako hakuna asset inayokunya
Mimi nimeamua nikae kimya tu.Nashangaa na mimi eti leo msukuma anavimba mbele ya Mhaya [emoji23][emoji23][emoji23]. Huwezi amini sasa hivi tunawapokea huku Bukoba wakiwa hata ndala miguuni hawana wanakimbia njaa kwao [emoji23]
utalii ni wa serengeti tuHii namna ya kufikiri ni JANGA LA TAIFA - a vivid portrayal of inferiority complex! Hivi unajua utalii unachangia asilimia ngapi ya pato la Taifa? Au umekalia kuwaza tu kwamba wafaidika ni Wameru & Wachagga ambao wanakutisha?
Ata huo utalii unaoupigia debe we fala unatokana na mbuga gani kama sio serengeti inayopatikana wilaya ya serengeti mkoani Mara kanda ya ziwa , kakojolewe ukalale.Hii namna ya kufikiri ni JANGA LA TAIFA - a vivid portrayal of inferiority complex! Hivi unajua utalii unachangia asilimia ngapi ya pato la Taifa? Au umekalia kuwaza tu kwamba wafaidika ni Wameru & Wachagga ambao wanakutisha?