Umewaona wahaya tu[emoji12][emoji12]Kanda ya Ziwa tunarudishwa nyuma na wahaya. Kazi kupigana miti tu maendeleo hakuna, majungu tu wahaya wanajenga oysterbay wanashindwa kujenga kwao huko misenyi, hovyo kabisa[emoji23]
Ukiondoa takwimu hizi za mapato kimkoa ambazo bado Pwanis wanaongoza, takwimu za umaskini wa kimapato kwa mtu mmoja mmoja kimkoa mikoa ya Kanda ya Ziwa inaongoza kwa kuwa na maskini wengi huku huku mikoa ya Pwani na Dar ikiingia tatu Bora kwa mikoa yenye unafuu. Kwa hiyo mkuu mnahitaji kupigania ili mfikie kwenye uhalisia wa kuwa na akili.Hapo ndo shangaa, low minded pwaniz leo wawa suppress akili kubwa kutoka lake zone just kwa cheap politics......
Sasa mkuu bas na ninyi bila ziwa na madini mwanza Ingekuwaje umejaribu kuwaza hayo?**** watu roho inawauma sana tena nataka niwaambie mimi niko dar! Bila bandari Dar kwa mwanza wanapambana tu! Maana ukiangalia nyumba mitaani za makazi mtaa mingi ya mwanza ina nyumba kali kuzidi dar! Maana makazi mengi dar ni ya zamani isipokuwa mitaa ya kinyerezi mbezi,tegeta na kigamboni,
Tunataka mapato ya per Capita income,GDP haitakusaidia Sana mkuu ni kujifariji.Ofisi ya taifa ya takwimu imetoa pato la kila mkoa nchini Tanzania, mkoa wa Dar es salaam wazidi kuongoza ukifuatiwa na Mwanza.
Mikoa ya Katavi na Njombe imeshika mkia kwa kua na pato dogo sana ukilinganisha na mikoa mingine.
Kwenye kumi bora kanda ya ziwa imeingiza mikoa 3, Mwanza, Shinyanga na Geita kwa jumla ya Trilioni 25 sawa na mkoa wa Dar es Salaam.
Kanda ya kaskazini, pato la mikoa ya Arusha na Kilimanjaro ndio inafikia pato la mkoa wa Mwanza. Utajiri wa Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni sawa na utajiri wa Mwanza na Shinyanga.
Kwa Takwimu za NBS, ukitoa Dar, kanda inayofuatia kwa utajiri ni anda ya ziwa, ikifuatiwa na Kaskazini huku Kusini kwa Lindi, Mtwara na jirani yao Pwani wakishika mkia.
Kanda ya nyanda za Juu kusini Mbeya inawabeba ila imezungukwa na mikoa choka mbaya kama Katavi na Njombe hivyo kuchangia kanda hiyo kuonekana ni choka mbaya mbavu za mbwa.
Watu wa Mara tukomae tuiondoe kilimanjaro ama Ruvuma hapo juu tuingie top 10.
Kwa hiyo ubuyu wa mia mia na vitumbua ndo vifanye watu wa Dar na Pwani wawe matajiri, unajivunia utajiri wa watu wa kuja.....Ukiondoa takwimu hizi za mapato kimkoa ambazo bado Pwanis wanaongoza, takwimu za umaskini wa kimapato kwa mtu mmoja mmoja kimkoa mikoa ya Kanda ya Ziwa inaongoza kwa kuwa na maskini wengi huku huku mikoa ya Pwani na Dar ikiingia tatu Bora kwa mikoa yenye unafuu. Kwa hiyo mkuu mnahitaji kupigania ili mfikie kwenye uhalisia wa kuwa na akili.
Leo mangi wamepoteana....Naona ma yakhee wa waja leo warudi leo wanakimbiza arachuga na kwa kina mangi
Kuna sehemu mtu mmoja alisema wana jf wengi wana uelewa mdogo sana wa mambo na si wafatiliaji bali ni wafata mkumbo....Dodoma vipi?
Mwaka Kama iliongoza kwa makusa yo ya Kodi kuliko mikoa yote Tanzania.
hivi kweli unajua maana ya pato la mkoa?Yale mazingombwe ya tapeli la Chato ulikuwa ukiyaamini?
Kwa kuongezea Kuna yule mwanamke wa Mara alimnyang'anya jambazi smg kabisa ikiwa na risasi zimejaa kwa magazine.Tuna Ziwa, tunauza zaidi ya 90% ya samaki zinazouzwa nje ya nchi.
Tunauza zaidi ya 90% ya pamba inayozalishwa Tanzania, tunazalisha sisi.
Tunazalisha na kuuza 100% ya dhahabu nje na ndani ya nchi.
Tunazalisha na kuuza 100% ya almasi ndani na nje ya nchi.
Tunazalisha na kuuza zaidi ya 50% ya kahawa nje na ndani ya nchi.
Tuna Serengeti, ambayo inavutia zadi ya 80% ya watalii wanaoitembelea Tanzania kila mwaka. Serengeti ndio utalii wa Tanzania. Bila Serengeti wazungu Tanzania tungeishia kuwaona kwenye tv.
Hivyo kwa kuleta zaidi ya 80% ya watalii Tanzania, tunaingiza zaidi ya 80% ya mapato ya utalii Tanzania.
Mifugo, usisahau tunafuga na kuzalisha zaidi 50% ya mifugo na mazao yake kama ngozi, maziwa, pembe, mapumbu, nkπ. Tanzania.
Tuna wanaume jasiri kuliko wanaume wa makabila yote Tanzania, wako Mara.
Tuna wanawake warembo, weusi, walioumbika na wenye shape nawanaomwaga maji Tanzania nzima wako Kagera. Wanawake weupe warefu wa kisukuma na wanawake jasiri roho ngumu wa Maraπ.
Wanawake wa mara kwa ujasiri wanazidi wanaume wa mikoa ya pwani na Iringa.
Wife anaona ametoka bafuni na taulo tu hapa ameniita, narudi.
Ni sawa kabisa, hii mikoa ilitegemea sana utalii kuchagiza uchumi zao, kwa sasa sio ajabu kuwa ya mwisho mwishoArusha na Kilimanjaro pamoja na kuwa sehemu ya watalii, madini lakini pato lao wanaburuzwa hivi hata na mwanza kama madini ya mwanza hata melelani ipo
instanbul FYIWahaya ni sound tu, subiri atakuja hapa jamaa anajiita instanbul uone povu lake.....
Simiyu umeiacha wapi..usisahau na mkoa wa chato ambao siku si nyingi utatangazwa.Mkuu nikusahihishe..
Kanda ya Ziwa Mara,Mwanza,Kagera,Geita na Shinyanga.
Kanda ya Mashariki
Dar,Pwani na Morogoro.
Kanda ya kati
Dodoma,Singida na Tabora
Kanda ya Kaskazini
Kilimanjaro, Arusha,Tanga na Manyara.
Kanda ya kusini
Lindi,Mtwara,Ruvuma
Kanda ya Magharibi
Kigoma,Katavi, Songwe..
Nyanda za juu Kusini
Mbeya,Iringa,Njombe
..............
So obviously Kanda ya Mashariki ndio kinara.
Hapo inshu ni population density.Ukiondoa takwimu hizi za mapato kimkoa ambazo bado Pwanis wanaongoza, takwimu za umaskini wa kimapato kwa mtu mmoja mmoja kimkoa mikoa ya Kanda ya Ziwa inaongoza kwa kuwa na maskini wengi huku huku mikoa ya Pwani na Dar ikiingia tatu Bora kwa mikoa yenye unafuu. Kwa hiyo mkuu mnahitaji kupigania ili mfikie kwenye uhalisia wa kuwa na akili.
Kwa mihemko hawatakuelewa.
Huna lolote wivu tu unakusumbua..ingeongoza njombe ungeomba hizo GDP..kaa utulie kanda ya ziwa inaendelea kuupiga mwingi.Tunataka mapato ya per Capita income,GDP haitakusaidia Sana mkuu ni kujifariji.
GDP yenyewe ya huko Kanda ya Ziwa ni madini ya dhahabu amvayo huishia Kwenye makampuni, serikali na kiduchu ndio huenda kwa watu wachache..
Huko Njombe ambako unadai WA Mwisho ukileta GDP Per Capita income inashindana na Dar tuu.
Mwisho Takwimu za Shinyanga na Mwanza zinahusisha Mkoa was Simiyu kiasi kwamba Kama Mbeya isingegawanywa kuunda Songwe basi ingekuwa no.2 nyuma ya Dar na huko hakuna Migodi huko ndiko Kuna watu waliostawi Sasa.
Tunataka Takwimu independent za Simiyu,tuone aibu ya baadhi ya mikoa hapa.