Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Hapo ndo shangaa, low minded pwaniz leo wawa suppress akili kubwa kutoka lake zone just kwa cheap politics......
Ukiondoa takwimu hizi za mapato kimkoa ambazo bado Pwanis wanaongoza, takwimu za umaskini wa kimapato kwa mtu mmoja mmoja kimkoa mikoa ya Kanda ya Ziwa inaongoza kwa kuwa na maskini wengi huku huku mikoa ya Pwani na Dar ikiingia tatu Bora kwa mikoa yenye unafuu. Kwa hiyo mkuu mnahitaji kupigania ili mfikie kwenye uhalisia wa kuwa na akili.
 
Sasa mkuu bas na ninyi bila ziwa na madini mwanza Ingekuwaje umejaribu kuwaza hayo?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ruvuma no.10 ni mkoa wangu lakini naomba wadau nijue kwa kigezo kipi imeshika iyo no.10 sabab najua tunategemea Sana kilimo Cha zao moja ( mahindi) na masoko nowdays yameyumba Hali ni mbaya Sana
 
Tunataka mapato ya per Capita income,GDP haitakusaidia Sana mkuu ni kujifariji.

GDP yenyewe ya huko Kanda ya Ziwa ni madini ya dhahabu amvayo huishia Kwenye makampuni, serikali na kiduchu ndio huenda kwa watu wachache..

Huko Njombe ambako unadai WA Mwisho ukileta GDP Per Capita income inashindana na Dar tuu.

Mwisho Takwimu za Shinyanga na Mwanza zinahusisha Mkoa was Simiyu kiasi kwamba Kama Mbeya isingegawanywa kuunda Songwe basi ingekuwa no.2 nyuma ya Dar na huko hakuna Migodi huko ndiko Kuna watu waliostawi Sasa.

Tunataka Takwimu independent za Simiyu,tuone aibu ya baadhi ya mikoa hapa.
 
Kwa hiyo ubuyu wa mia mia na vitumbua ndo vifanye watu wa Dar na Pwani wawe matajiri, unajivunia utajiri wa watu wa kuja.....
 
Naona ma yakhee wa waja leo warudi leo wanakimbiza arachuga na kwa kina mangi
 
Dodoma vipi?

Mwaka Kama iliongoza kwa makusa yo ya Kodi kuliko mikoa yote Tanzania.
Kuna sehemu mtu mmoja alisema wana jf wengi wana uelewa mdogo sana wa mambo na si wafatiliaji bali ni wafata mkumbo....
Habari inazungumzia pato la kimkoa wewe unaongelea makusanyo ya halmashauri.... inabidi urudishwe shule ufundishwe maana ya pato na utofauti wake na makusanyo....
 
Kwa kuongezea Kuna yule mwanamke wa Mara alimnyang'anya jambazi smg kabisa ikiwa na risasi zimejaa kwa magazine.
Yaani ulivyoipamba lake zone.
Wangekuwa ndugu zetu ukanda Fulani wangekomaa wajitenge Mana wananyonywa na wakanda wengine.
Na ndo Mana wanataka kuleta Sera ya ukanda.
Jana nacheki itv Siro Mara,mabeyo simiyu wote walikuwa wanaongea sijui Nini.
Lake zone Askari wengi ndio wametokea huku ,tukidai nchi yetu nadhani wengine mtakufa njaa Mana chakula kingi kinatokea huku
 
Simiyu umeiacha wapi..usisahau na mkoa wa chato ambao siku si nyingi utatangazwa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hapo inshu ni population density.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwa mihemko hawatakuelewa.

Wewe nae ni mpumbavu mwenzake! Eti mihemko! Hivi kweli mji unaoongoza kwa mbali sana mapato kwa nchi hii uje kupitwa na mkoa ambao hata mapato yake sio ya 3 kitaifa?

Angalia hili hapa! Walilinganisha asilimia za makusanyo dhidi ya malengo. Na kwa kuwa namuelezea mbwiga nitatoa mfano hapa. Lengo la Dar ni kukusanya 100m na Dodoma 70m. Dodoma mwisho wa mwaka kakusanya 68m sawa na 97% Dar kakusanya 90m sawa na 90%. Ukilinganisha ufanisi utaona Dom kaizi Dar kwa 7% lakini alizokusanya Dar ni 22m zaidi!!

Ni malengo ya makusanyo ndio Dodoma alikuwa wa kwanza. Sio kiasi cha makusanyo! Ukianza kuelewa tofauti hiyo utamsaidia mwenzako.
 
Huna lolote wivu tu unakusumbua..ingeongoza njombe ungeomba hizo GDP..kaa utulie kanda ya ziwa inaendelea kuupiga mwingi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…