Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Tuonyeshe ilipoandikwa kwamba Mwanza haitakuja kuzidiwa na mkoa wowote wa Tzn as days goes on
 
Nadhani mbeya per Capita inasitawi kwasababu ya vitu vingi vinapatikana kwa bei ndogo hasa chakula na ukija upande wa mavazi na vitu vingine naona kuwa karibu na Nchi zingine inasaidia kupata bidhaa nyingi za kuuza kwa bei ndogo kitu kinachofanya watu wengi wanunue.
 
Leta report inayosema simiyu wameiweka shinyanga na Mwanza? Ata iweje hamtaweza kufikia kanda ya ziwa bakini na ulofa wenu
Khaa Ripoti gani unataka zaidi ya hiyo 😃😃..Ko wewe unadhani Takwimu zimefichwa au?
 
kwahiyo tutegemee mwakan kuizidi mwenza?
Mara ingeizid mwanza kitambo na mgodi wa north mara au shy na mgodi wa mwadui(wiliamson diamond)
 
Acha kudakia kwa mbele utaingizwa huko buttocksini,wapi nimetaja kuna mgodi we kengeumese

Ndio nataka Takwimu za Simiyu,zikitoka tuu hapo hutaiona Shinyanga top ten na figure ya Mwanza itashuka kwa sababu ya hiyo Busega..

Weka.Takwimu mbona Sisi tumeweka za Songwe?
Tumia akili tarafa ya busega ilimegwa kutoka wilaya ya magu kwenda kuunda sehemu ya mkoa wa simiyu lkn kiukwel Simiyu ni kipande cha mkoa wa shinyanga.
 
Tumia akili tarafa ya busega ilimegwa kutoka wilaya ya magu kwenda kuunda sehemu ya mkoa wa simiyu lkn kiukwel Simiyu ni kipande cha mkoa wa shinyanga.
Kwa hiyo wakiweka Takwimu za Simiyu Kanda ya Ziwa mtabakiwa na Mwanza na Geita tuu.
 
Nashangaa na mimi eti leo msukuma anavimba mbele ya Mhaya [emoji23][emoji23][emoji23]. Huwezi amini sasa hivi tunawapokea huku Bukoba wakiwa hata ndala miguuni hawana wanakimbia njaa kwao [emoji23]
wanakuja kuomba au kufanya kazi?
Mzee wa kule anamiliki ng'ombe 1000 utalinganisha na anae milik mgomba
 
Kanda ya Ziwa tunarudishwa nyuma na wahaya. Kazi kupigana miti tu maendeleo hakuna, majungu tu wahaya wanajenga oysterbay wanashindwa kujenga kwao huko misenyi, hovyo kabisa[emoji23]
mama yako anapigwa miti na wahaya,utakuwa wewe ni mtoto haramu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]acha mama yako aliwe nasema ,tuliaaaaa
 
Siku tujimege tu maana nchi inaendeshwa na rasilimali zetu kwa karibia70% ila hawa mende pesa zote wanapeleka dar. My home town KAHAMA hata stand la kisasa yameshindwa kujenga
 
Wanunuzi wa dhahabu na wenye migodi mbeya- chunya ni wasukuma, Mbalali wafugaji na wakulima wa mpunga ni wasukuma.Ngoshasi ni kazi tu.Slogan ya mwendazake inathibitisha kuwa Kanda ya ziwa ni waumini wa HAPA KAZI TU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…