Basi tulia kama na wewe kumbe ni Binadamu na siku moja utakufa,kilichokuwa kinakufanya hadi ukashifu kisa Fly Over imepewa jina la Mfugale ni nini basi? Yes,he is Gone,but na wewe utakufa ni swala la muda tu,weka akiba ya maneno na usijitoe ufahamu kisa unatumia fake ID hapa.Uwe na wakati mzuri wa kutafakari maisha yako na si kuwa Judge wa maisha ya wengine.
Je hakuwemo kwenye bandari ya Bwagamoyo?Patrick Aron Nipilima Mfugale mhandisi tajwa nchini Tanzania na alikuwa mtendaji mkuu wa Mamlaka ya barabara nchini Tanzania TANROADS.
Injinia Patrick A. N. Mfugale RIP
=====
Mtendaji Mkuu wa Tanroads, Injinia Mfugale amefariki Jijini Dodoma.
Mfugale jana aliondoka na ndege akiwa na Katibu Mkuu ujenzi kuelekea Dodoma kwa safari ya Kikazi
Amezidiwa leo saa tano asubuhi na kukimbizwa Hospitali ya Benjamin Mkapa mjini Dodoma, Tanzania ambapo ndipo Mauti umemfika muda mchache baada ya kufikishwa.
Tutaendekea kuwapasha kinachoendelea.
Apumzike kwa Aman
Wasifu:
Alipata elimu yake ya msingi katika shule ya Consalata Fathers Primary School mjini Iringa
-1975 Alimaliza elimu yake ya shule ya upili katika shule ya upili ya Moshi.
-1977-Mfugale aliajiriwa katika wizara ya ujenzi
-1983 alijipatia shahada yake ya kwanza katika chuo kikuu cha Rocky nchini India
-1991 Mfugale alisajiliwa kama muhandisi mtaalam.
-1992- Aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa barabara za mikoa.
-1994-1995-Alipokea shahada yake ya pili katika chuo kikuu cha Loughborough, nchini Uingereza
-2003-Alipokea tuzo ya Distinguished Engineering Accomplishment.
-Aliteuliwa kuwa muhandisi mkuu wa madaraja nchini Tanzania wakati huohuo na akiwa masomoni nchini Uingereza mwaka 1995 alitafiti na kutengeneza mfumo wa madaraja nchini.
-Alitengeza mfumo wa usimamizi wa madaraja kwa jina Tanzania Bridge Management System
-2014- Alisajiliwa kuwa muhandisi mshauri na kuwa mwanachama wa chama cha wahandisi Tanzania.
-Ametumia muda wake mwingi kama mtaalamu wa madaraja .
Alibuni daraja la Malagarasi lenye mita 178 kwa shilingi za Tanzania milioni 300.
-Baadhi ya madaraja aliyoweza kusimamia yakakamilika kujengwa ni:
- Mfugale akiwa mtendaji mkuu wa Tanroads amesaidia ujenzi wa madaraja 1400 nchini Tanzania.
- Daraja la Mkapa Rufiji
- Daraja la Umoja linalounganisha Tanzania na Mozambique huko Ruvuma.
- Daraja la Rusumo
- Daraja la Kikwete huko Malagarasi.
- Daraja la Nyerere huko Kigamboni
Amebuni na kusimamia barabara za kitaifa zenye urefu wa takriban kilomita 36,258.
-2018 Alituzwa tuzo ya uhandisi ya Engineering Execellency
- Alikuwa Mwenyekiti wa kikosi cha ujenzi wa Reli ya kisasa SGR inayoendelea kujengwa.
- Alikuwa mjumbe wa timu ya majadiliano ya miradi mikubwa ya umeme.
Picha: Daraja la Kikwete mto Malagarasi Daraja la Kikwete lililopo Mto Malagarasi
Wewe una pesa,zipi hizo pesa zenu, hata kodi hulipi.Afe tuu...huyu na kichaa Magu walichangia kuiba pesa zetu
Na ule ukumbi wa ikulu wa JK... Hawa watu sijui na hamnazo kweli au wanajifanya kuwa hamnazo? RIP Engineer Mfugale
Alitaka kuleta madharauUpumzike kwa amani mhandisi Mfugale umeacha alama zenye kuonekana.
Kule Mwanza ukimuelezea juu ya ujenzi wa daraja mheshimiwa Rais ikakutoka “Hapana” halafu ukagundua unaongea na bosi wako ghafla ukageuza shingo kumcheki kama aina fulani ya kuomba msamaha. Rais alilielewa somo.
Wasalimie wote mliokuwa mnajenga Taifa pamoja.
Na waliliita jina la huyu marehemu ili unapoenda kukagua ujue unamkagua Nani, wahuni sana. Magu na team yake alihakikisha miradi yake anaipa majina ambayo by any means huwezi kukagua kwa Uhuru na ukatoa reports waziwazi kwa umma.Hilo jengo porini linazalisha nini, Tanroad huwa wanakaguliwa
Barabara ya mwendo kasi ilitolewa report kwamba wamepunguza centimeters kadhaa na ukipiga hesabu ya zile centimeters unapata hela iliyopigwa ni ndefu sana, hakina aliyeongelea walikaa kimya Hawa marehemu mabingwa wa barabara.Jiwe, Kijazi, Mfugale hawa wametupiga sana kwenye kujenga barabara, Mungu fundi bado wengine
Yakobo hachukui round aisee labda ajifiche kwenye ile hospital aliyosema anamiliki cheti walimpatia 😜Wave 3 soko la Dodoma kukamilisha set
Mtendaji mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Patrick Mfugale amefariki dunia leo Jumanne Juni 29, 2021 jijini Dodoma.
Katibu mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Joseph Malongo amesema Mfugale atakayekumbukwa kwa kusimamia ujenzi wa barabara na madaraja zaidi ya 1000 nchini amefariki dunia leo saa 5 asubuhi katika hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma.
Amebainisha kuwa taratibu nyingine za msiba huo zitatolewa baadaye.
Taarifa zilieleza kuwa Mfugale akiwa katika moja ya kikao kazi alijisikia vibaya na kukimbizwa hospitalini ambako akiwa njiani hali yake ilizidi kuwa mbaya.
Awali Waziri wa Ujenzi, Dk Leonard Chamuliho na naibu waziri wa wizara hiyo, Mwita Waitara alieleza kuwa hawana taarifa za kifo cha Mfugale
Bado wa humu hatawaacha anataka wakamsifie mpaka apewe kuwa malaika mkuu kama alivyokuwa anatakaMWENDAZAKE ANASOMBA HAAACHI MTU
Umeshindwa kupata hata simango 1 pamoja na kukumbusha kwa mara nyingine?
View attachment 1835045
Kwa sababu hiyo nisiache kukwambia sasa, shut up!
kweli kabisa huyu alikula sana na jiweCovid ya tatu hiyo
Jamaa alikuwa mwizi sana na anajua ufisadi wote waliofanya na jiwe kwenye miradi..
Aende kunakostahili.
Very stupid...wewe humfahamu Mfugale...ungekuwa unamfahamu usingetapika ujinga huo..this was a clean man....hajawahi kuchukua hata tone la rushwa...Alipata taabu Sana pale ujenzi kwa msimamo wake wa kutokula rushwa...umewahi kusikia uchafu wowoteCovid ya tatu hiyo
Jamaa alikuwa mwizi sana na anajua ufisadi wote waliofanya na jiwe kwenye miradi..
Aende kunakostahili.
Oh what a sad day....Mungu ampumzishe salama peponi AMEN.Patrick Aron Nipilima Mfugale mhandisi tajwa nchini Tanzania na alikuwa mtendaji mkuu wa Mamlaka ya barabara nchini Tanzania TANROADS.
Injinia Patrick A. N. Mfugale RIP
=====
Mtendaji Mkuu wa Tanroads, Injinia Mfugale amefariki Jijini Dodoma.
Mfugale jana aliondoka na ndege akiwa na Katibu Mkuu ujenzi kuelekea Dodoma kwa safari ya Kikazi
Amezidiwa leo saa tano asubuhi na kukimbizwa Hospitali ya Benjamin Mkapa mjini Dodoma, Tanzania ambapo ndipo Mauti umemfika muda mchache baada ya kufikishwa.
Tutaendekea kuwapasha kinachoendelea.
Apumzike kwa Aman
Wasifu:
Alipata elimu yake ya msingi katika shule ya Consalata Fathers Primary School mjini Iringa
-1975 Alimaliza elimu yake ya shule ya upili katika shule ya upili ya Moshi.
-1977-Mfugale aliajiriwa katika wizara ya ujenzi
-1983 alijipatia shahada yake ya kwanza katika chuo kikuu cha Rocky nchini India
-1991 Mfugale alisajiliwa kama muhandisi mtaalam.
-1992- Aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa barabara za mikoa.
-1994-1995-Alipokea shahada yake ya pili katika chuo kikuu cha Loughborough, nchini Uingereza
-2003-Alipokea tuzo ya Distinguished Engineering Accomplishment.
-Aliteuliwa kuwa muhandisi mkuu wa madaraja nchini Tanzania wakati huohuo na akiwa masomoni nchini Uingereza mwaka 1995 alitafiti na kutengeneza mfumo wa madaraja nchini.
-Alitengeza mfumo wa usimamizi wa madaraja kwa jina Tanzania Bridge Management System
-2014- Alisajiliwa kuwa muhandisi mshauri na kuwa mwanachama wa chama cha wahandisi Tanzania.
-Ametumia muda wake mwingi kama mtaalamu wa madaraja .
Alibuni daraja la Malagarasi lenye mita 178 kwa shilingi za Tanzania milioni 300.
-Baadhi ya madaraja aliyoweza kusimamia yakakamilika kujengwa ni:
- Mfugale akiwa mtendaji mkuu wa Tanroads amesaidia ujenzi wa madaraja 1400 nchini Tanzania.
- Daraja la Mkapa Rufiji
- Daraja la Umoja linalounganisha Tanzania na Mozambique huko Ruvuma.
- Daraja la Rusumo
- Daraja la Kikwete huko Malagarasi.
- Daraja la Nyerere huko Kigamboni
Amebuni na kusimamia barabara za kitaifa zenye urefu wa takriban kilomita 36,258.
-2018 Alituzwa tuzo ya uhandisi ya Engineering Execellency
- Alikuwa Mwenyekiti wa kikosi cha ujenzi wa Reli ya kisasa SGR inayoendelea kujengwa.
- Alikuwa mjumbe wa timu ya majadiliano ya miradi mikubwa ya umeme.
Picha: Daraja la Kikwete mto Malagarasi Daraja la Kikwete lililopo Mto Malagarasi
Alikuwa na hali gani Mkuu?Kwa hali niliyokuwa namuona sishangai kufariki kwake. Mungu amjaalie kauli thabiti na ampunguzie adhabu ya Kaburi. Hakika kwake tutarejea.
We utaishi milele na kilimi chako hichi! Mungu akubarikiMsaidizi wa dikteta anapofariki ni jambo jema sana na la kutia matumaini.
View attachment 1834607