TANZIA Patrick Mfugale wa TANROADS afariki dunia Jijini Dodoma


Umeshindwa kupata hata simango 1 pamoja na kukumbusha kwa mara nyingine?



Kwa sababu hiyo nisiache kukwambia sasa, shut up!
 
Je hakuwemo kwenye bandari ya Bwagamoyo?
 
Na ule ukumbi wa ikulu wa JK... Hawa watu sijui na hamnazo kweli au wanajifanya kuwa hamnazo? RIP Engineer Mfugale

Kazi kweli kweli.

Apumzike kwa Amani bwana Mfugale.
 
Alitaka kuleta madharau
 
Hilo jengo porini linazalisha nini, Tanroad huwa wanakaguliwa
Na waliliita jina la huyu marehemu ili unapoenda kukagua ujue unamkagua Nani, wahuni sana. Magu na team yake alihakikisha miradi yake anaipa majina ambayo by any means huwezi kukagua kwa Uhuru na ukatoa reports waziwazi kwa umma.
 
Jiwe, Kijazi, Mfugale hawa wametupiga sana kwenye kujenga barabara, Mungu fundi bado wengine
Barabara ya mwendo kasi ilitolewa report kwamba wamepunguza centimeters kadhaa na ukipiga hesabu ya zile centimeters unapata hela iliyopigwa ni ndefu sana, hakina aliyeongelea walikaa kimya Hawa marehemu mabingwa wa barabara.

Hii ilifuata taarifa za kiintelijensia baada ya kuona Ile barabara ni nyembamba sana magari yanapita kwa shida mno especially kwenye Kona na mikunjo.

Huu uhuni haijawahi kuongelewa tena Ila tunaendelea kudanganyana kwamba hawa watu ndio mashujaa kabisa wakati ndio walikuwa wanapiga hela huko?

Tujibu hoja kwa hoja, leteni upana wa barabara uliowekwa kwenye mchoro na upana uliopo sasa na tuambiane Nani alipunguza na kwa sababu gani ???

Hawa wazee waamue either wastaafu au wajifie kwa aibu. Enough with kujimilikisha mapesa ya umma as if wakifa wanaenda nazo kaburini.

Kibabu kimekaa hapo miaka yote as if hakuna maengineer kabisa?????? Kwamba hatuna engineers?? Ndugu zangu engineers mmeamua kukubali kwamba nyie ni vilaza? No way.

Apumzike tu.
 
Moderator - Naona leo umekwenda kulala mapema sana!
 
KUNA KAHOPT PALE MADODO KANA JINA LA MTU AKIMALIZIKA HUYO TUNHAMIA WAB MJIANDAE
AUG TO NOV TUTAZIKA SANA KULE UGANDA
 
Umeshindwa kupata hata simango 1 pamoja na kukumbusha kwa mara nyingine?

View attachment 1835045

Kwa sababu hiyo nisiache kukwambia sasa, shut up!

Mpaka unajionea aibu,si urudi kwa posts zako za mwanzo? Wewe kinakuuma nini daraja kuitwa la Mfugale? Huko nyuma ulivyokuwa unaropoka kisa tu Daraja limeitwa la Mfugale ni nini haswa? Punguza makasiriko na hasa kwa Marehemu, hata kama unatumia ID fake but maandishi yako yanakudefine wewe ni mtu wa aina gani.
 
Covid ya tatu hiyo

Jamaa alikuwa mwizi sana na anajua ufisadi wote waliofanya na jiwe kwenye miradi..

Aende kunakostahili.
Very stupid...wewe humfahamu Mfugale...ungekuwa unamfahamu usingetapika ujinga huo..this was a clean man....hajawahi kuchukua hata tone la rushwa...Alipata taabu Sana pale ujenzi kwa msimamo wake wa kutokula rushwa...umewahi kusikia uchafu wowote
 
Oh what a sad day....Mungu ampumzishe salama peponi AMEN.
 
Kwa hali niliyokuwa namuona sishangai kufariki kwake. Mungu amjaalie kauli thabiti na ampunguzie adhabu ya Kaburi. Hakika kwake tutarejea.
Alikuwa na hali gani Mkuu?
 
Kama kila mmoja wetu angeamini Kifo kipo basi 'wenye viburi dharau majivuno wajitafakari'
Tujindae
Tutende yaliyo mema
Mungu wetu ni wa visasi na hasira
Hatuijui Kesho
Tuwe waungwana
Tuwe na kiasi
Kufa kupo

Mungu akuepushe na adhabu ya kaburi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…