Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni mawazo yako binafsi, yeye ni muandishi wa habari hvy amefanya kazi yake, ingekuwa kilichoongelewa ni uongo au kimetoka kwenye mdomo wako bc ungekuwa na hoja.View attachment 2961090
View attachment 2961092
View attachment 2961093
View attachment 2961094
Wananchi huyu shabiki wa Simba aitwae Patrick Nyembera anaefanya kazi Azam media amekuwa akitumia nafasi yake pale Azam kuihujumu Yanga.
Popote utapomuona huyu kolo mwambie kaa mbali na Yanga ikibidi tumia ile kauli mbiu sisi tuna watu.
Yn wavunje mkataba na Azam kisa mtu mmoja tuu ambaye hana cheo chochote pale Azam.? Em acha utani bhana, kufahamu hilo jambo moja tuu mnalishikia bango hvy wakati yapo mengi chini ya meza.Yanga kwann wasivunje mkataba na azam
Acha umama weweView attachment 2961090
View attachment 2961092
View attachment 2961093
View attachment 2961094
Wananchi huyu shabiki wa Simba aitwae Patrick Nyembera anaefanya kazi Azam media amekuwa akitumia nafasi yake pale Azam kuihujumu Yanga.
Popote utapomuona huyu kolo mwambie kaa mbali na Yanga ikibidi tumia ile kauli mbiu sisi tuna watu.
Unajuwa Kwa nini Majizo alimtimuwa Gerald Hando kwenye redio yake?Yn wavunje mkataba na Azam kisa mtu mmoja tuu ambaye hana cheo chochote pale Azam.? Em acha utani bhana, kufahamu hilo jambo moja tuu mnalishikia bango hvy wakati yapo mengi chini ya meza.
Sasa mkuu mbona unataka kufananisha vitu visivyofanana, alichoongea Gerald kina effects gn na alichosema Huyo mfanyakazi wa Azam kina effects Gani.?Unajuwa Kwa nini Majizo alimtimuwa Gerald Hando kwenye redio yake?
Huyu sio mwandishi wa habari huyu ni shabiki maandazi wa makolo.Hayo ni mawazo yako binafsi, yeye ni muandishi wa habari hvy amefanya kazi yake, ingekuwa kilichoongelewa ni uongo au kimetoka kwenye mdomo wako bc ungekuwa na hoja.
Hamtaki ukweli eee 😂 poleni mashabiki wa soka la kibongoNyembera ndio aache umama hatutaki kabisa ajiusishe na mambo yetu ya Yanga tutapewa kesi mbaya
Kwahy sio mwandishi.? Sasa amewezaje kuhojiana na Mayele na kurushwa Azam 😂Huyu sio mwandishi wa habari huyu ni shabiki maandazi wa makolo.
Ushabiki unakuondoa akili za kawaida kabisa team sio familia kuna mambo mengi ya kujiongezea kipato yafikirie ,sijajua watanzania tumerogwa au kitu gani ,nimeishi UK ni wendawazimu wa football lakini team ni team maisha ni maisha.Huku team na maisha ni sawasawaNyembera ndio aache umama hatutaki kabisa ajiusishe na mambo yetu ya Yanga tutapewa kesi mbaya
Umesikia habari ya upande mmoja una hakika gani kilicho ongelewa siyo uongo?Hayo ni mawazo yako binafsi, yeye ni muandishi wa habari hvy amefanya kazi yake, ingekuwa kilichoongelewa ni uongo au kimetoka kwenye mdomo wako bc ungekuwa na hoja.